MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
Ndani ya kanisa, hata uwe jambazi wa kutisha huwezi kutoa sadaka ya mtutu,
Karibu kwenye ukumbi wa kasheshe,
Uchumi umeshuka tunakula vumbi mpaka cheche,
kuna fakebook na pia Facebook/
tozi analalama eti songa mbona humpendi jux /