Michano, Punch lines special thread

Michano, Punch lines special thread

...umelala na demu wako usiku ananiita miimi,
usimwache madem wote wananiita honey,
I'm a gentleman nisiigopa majukuum,
we ni brother man unaeshinda maskani kula nduum,

.........
.kama mwanangu ROMA simwoni amepoteaa,
hivi kalajeremia DEAR GOD aliotee?
wala siamini wanangu mmepoteaa,
kweli game ngumu you better take care.......


MR. NAY

neema anakata mkwanja pay mdebwedo/
mbishi sina ujanja kwa huyu ney wa mitego

nikki mbishi
 
hakuna magari hakuna anayepaki sheli/
tajiri kuliko wote ndo kwanza ana baiskeli/
SONGA-NINAPOTOKA
 
Dada unazigo kubwa nakusaidia/
kulibeba halafu unadai nakubaishia/
sa Mungu akupe nini /
au manyaunyau akupe jini/
basi ungemwomba akupe mimi/

nikki mbishi
 
Niache nibakie jirani ndugu wa salamu amani/
maisha bora kwa kila mtanzania ni salamu ya mnyang'anyi/
Moko wa Miujiza-mtumwa wa kifrika
 
wanataka ninyoe viduku nibane pua/
ndio niwe msanii wanaomtambua/

moko wa miujiza
 
mimi ndo mwana wa mama alienifunza/
kwamba hakuna maisha bora kwa kijana asiyejitunza/
hakuna maisha bora kwa kijana asiyejifunza/
kujitunza hakuna maana kwa kijana usiyejifunza/
MOKO WA MIUJIZA
 
Dojo lipo kimya coz master is on/u just a bustard nigga u can't stop the don

Nikki mbishi..babu bomba
 
mimi ndo mwana wa mama alienifunza/
kwamba hakuna maisha bora kwa kijana asiyejitunza/
hakuna maisha bora kwa kijana asiyejifunza/
kujitunza hakuna maana kwa kijana usiyejifunza/
MOKO WA MIUJIZA

soga za mzawa
 
Hivi vitu viko wazi,kama vazi la kahaba.
nasambaza maradhi,alafu nakupa saba.
machozi ni haba,uokozi ni njozi baba.
ulimwengu wa saba,jehanamu ya aina yake,
kipe kitu kikupe,kikutupe kupe kwake.
kikunyonye damu kwa hamu,
kama hujafaham,dogo mwanaharam,
kalamu inamwaga dam.
nakuacha mweupe ka'mkologo,
chata ka' wagogo.
wabongo acheni nyodo,wote mnakula hongo,
hivi hii ni serikali,au sera kali kwa mbali,au
sera za mali.......

lyrics by hashim dogo in the "shadow of a dark destiny".
 
A dose of Hashim:
Words unspoken and words unheard are two
different things
Like insanity and vanity are two different kings
Peripheral swings of sophistry
I'm the deepest thing since Nyereres hands in
the ministry of finance
Dancing with the devil for romance.
 
Wanaungana kukandamiza wanyonge wakati wanyonge wanaungana kukandamiza matonge...
 
Mule mule
Hivi vitu viko wazi,kama vazi la kahaba.
nasambaza maradhi,alafu nakupa saba.
machozi ni haba,uokozi ni njozi baba.
ulimwengu wa saba,jehanamu ya aina yake,
kipe kitu kikupe,kikutupe kupe kwake.
kikunyonye damu kwa hamu,
kama hujafaham,dogo mwanaharam,
kalamu inamwaga dam.
nakuacha mweupe ka'mkologo,
chata ka' wagogo.
wabongo acheni nyodo,wote mnakula hongo,
hivi hii ni serikali,au sera kali kwa mbali,au
sera za mali.......

lyrics by hashim dogo in the "shadow of a dark destiny".
 
marapa wana simanzi ka nafsi iliyokosa mvuto/washkaji hawana wasi wala mshtuko,wanajua hata akifa NAS Hassan yupo.
 
Wanaponiona hukosa amani kaa bitozi aliyejinyea/wanasema hizi hawafanyi sikiza voco inavyoenea.
 
"Mabishoo hali duni mana mnapenda vya dezo/mi nishafanya kila uhuni hadi kuvaa kondom mlegezo""WANASEMAJE?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom