MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
...umelala na demu wako usiku ananiita miimi,
usimwache madem wote wananiita honey,
I'm a gentleman nisiigopa majukuum,
we ni brother man unaeshinda maskani kula nduum,
.........
.kama mwanangu ROMA simwoni amepoteaa,
hivi kalajeremia DEAR GOD aliotee?
wala siamini wanangu mmepoteaa,
kweli game ngumu you better take care.......
MR. NAY
neema anakata mkwanja pay mdebwedo/
mbishi sina ujanja kwa huyu ney wa mitego
nikki mbishi