Michano, Punch lines special thread

Michano, Punch lines special thread

"Mtaani kuna wanyama njoo uone vicheche ukiweza tembeza rungu kama comrade kipepe"
 
ugumu wa maisha usifanye uazime nguo/
kuvaa joho kwenye picha haimaanishi ulihitimu chuo

mwite stamina

tajiri hapimwi kwa kuombwa mjini sijaja kumtembelea mjomba/
kujamba sio kushiba labia ni hodi ya kimba/

Hizi nazo si haba (lazima ziwepo kwenye nominees) duh nadhani kazi ya U-Ujudge itanishinda naomba msaada
 
Mi mombasa kwa nyuma bahasha kwa mbele/
ukija wangu umetuna ukishtuka umetafunwa bila kelele/
hili mende la mistari linapiga misele/
nimekamata wanane watisa ni bele/
nawaangukia wanywa pombe kama masele/
na wasanii naosikia kwamba michele/
 
kuchana hatujasahau zetu kabisa ila zali kwao angalau/
Hatuchani bure si tunachana ukipanda dau/

miss ngatara pitia huku

Mimi nikiwa huru, uhuru kwa masela, shangwe kibao utadhani lulu katoka jela,
 
Last edited by a moderator:
Mimi nikiwa huru, uhuru kwa masela, shangwe kibao utadhani lulu katoka jela,

kwa rap nimekufuru sijawahi kumbwela/
natawala kwao zaidi ya makaburu kwa mandela/
rapa mwenye mzuka sijavutakaya/
nipo confident kila ngoma nikigusa waya/
 
kwa rap nimekufuru sijawahi kumbwela/
natawala kwao zaidi ya makaburu kwa mandela/
rapa mwenye mzuka sijavutakaya/
nipo confident kila ngoma nikigusa waya/

Ndani ya bus la rap kabuka naona haya,

Oya suka basi punguza pupa nashuka fire,

Nipeni kesi kama aliopewaga zombe,

Chinja watata wananiita baba la wanyonge,
 
Ndani ya bus la rap kabuka naona haya,

Oya suka basi punguza pupa nashuka fire,

Nipeni kesi kama aliopewaga zombe,

Chinja watata wananiita baba la wanyonge,

chapa marapa kama morani anavyoswaga ng'ombe/
nikasaka mike mchizi anamsaka aliyemwaga pombe/
dundo napasua biti zangu kali
ndo baruti wakati zao nyundo za mabua
wajomba tunakonga fasihi
huku nikki kule songa na pii
 
halafu we MO11 hii mistari ni yako kweli?.
itakuwa poa mkiandika jina la raper na jina la wimbo ili kuwatendea haki wahusika kwa ubunifu na utunzi wao.kila nikicheki naona mistari yako mingi ni vipande vya stamina,sterio,songa na one the incredible.
 
Last edited by a moderator:
#vipi DJ haupigi hewani na unasikiza ghetto demu wako mtaani hizi lines anapigia nyeto

#Nakula bata hata kama haupendi hukuwepo wakati nazisaka usinipangie ku-spendi.
 
halafu we MO11 hii mistari ni yako kweli?.
itakuwa poa mkiandika jina la raper na jina la wimbo ili kuwatendea haki wahusika kwa ubunifu na utunzi wao.kila nikicheki naona mistari yako mingi ni vipande vya stamina,sterio,songa na one the incredible.

sijatoa mstari wangu hata mmoja huo wa mwisho p the mc
 
Last edited by a moderator:
chapa marapa kama morani anavyoswaga ng'ombe/
nikasaka mike mchizi anamsaka aliyemwaga pombe/
dundo napasua biti zangu kali
ndo baruti wakati zao nyundo za mabua
wajomba tunakonga fasihi
huku nikki kule songa na pii

Kwenye beat nikinata,

marapa hawatulii kama binti mwenya wigi la mashaka,

Penda kupendwa na mshiko, Leta mwaliko,

Mimi ni yule dokta nae remba mwandiko,
 
Kwenye beat nikinata,

marapa hawatulii kama binti mwenya wigi la mashaka,

Penda kupendwa na mshiko, Leta mwaliko,

Mimi ni yule dokta nae remba mwandiko,

japo najua kupeta inachekesha eti nyumbani hawapiki eti kisa sijaleta jiko
unataka luku zunguka kama panya buku
vigumu kupata ujumbe kwenye mwili wa baba luku\
 
japo najua kupeta inachekesha eti nyumbani hawapiki eti kisa sijaleta jiko
unataka luku zunguka kama panya buku
vigumu kupata ujumbe kwenye mwili wa baba luku\

Ndani ya kanisa, hata uwe jambazi wa kutisha huwezi kutoa sadaka ya mtutu,

Karibu kwenye ukumbi wa kasheshe,

Uchumi umeshuka tunakula vumbi mpaka cheche,
 
haijalishi ulikua na wangapi bali wangapi uko nao..washkaji ambao... kosa lako lao wakati hauna mafao/

wanaokufikiria wewe muda ambao/ wenzao walionao wanafikiria wengine ndo wanao/

now kupata washkaji ukiwa na pesa... ni rahisi/
kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi-

NGOSHA (FID Q)- Sihitaji marafiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom