Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Michache kwako usiye na shughuli za kufanya!Kwanini wasiende kutumikia jela miezi 5 ni michache sana
bora hizo pesa wakanunue kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chama chao
Michache kwako usiye na shughuli za kufanya!Kwanini wasiende kutumikia jela miezi 5 ni michache sana
bora hizo pesa wakanunue kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chama chao
Anakula kwa shemejie atajua nini?Michache kwako usiye na shughuli za kufanya!
At the end of the day kesi yenyewe imekaa kibinafsi vile vileHili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hati ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Kwani ni kesi ya uhujumu uchumiKulipa faini ni kukubali kosa, maana yake wamekutwa na jinai ivyo ubunge udiwani wasahau
Sasa wanakata rufaa huku wamipa faini maana yake ni nini? Kulipa ni kukubaliana na hukumuWamesema watakata rufaa!Huna information halafu unaandika uzi!Au ulitaka wakate rufaa huku wakitumikia kifungo?Unaweza kukuta hukumu ya rufaa inatoka kifungo kimeisha!
Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hati ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Ungekuwa umepita maelezo kabla ya kukurupuka kujibu usingekuwa umejibu hivyo,hebu chukua muda kupitia hayo tumeshajibu kwenye comment zilizofuata!Sasa wanakata rufaa huku wamipa faini maana yake ni nini? Kulipa ni kukubaliana na hukumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wanakata rufaa huku wamipa faini maana yake ni nini? Kulipa ni kukubaliana na hukumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato? Hapa jibu ni kwamba sio inaweza kuanza, iliishaanza muda mrefu na ulikaa kimya! Kama ni kweli umefuatilia hii kesi bila shaka utakuwa mkkweli ukikubaliana na mimi kwamba hata wangekata rufaa wapi, hawawezi kuchomoka. Kwa sababu ya malengo ya kesi yenyewe, wananchi kuchangia hawa ndugu wa katoka itakuwa ushindi mkubwa kuliko kutafuta rufaa ambayo matokeo yake inaweza kuwapoteza kabisa! Mahakama ya umma inajua hawa ndugu hawana hatia. Na hiyo ndio mahakama nzuri kuliko hii tunayoilipia kodi zetu!Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hati ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hati ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
CCM wanao mchangia Mashinji nao ni watakatisha pesa.?tunawasubiri watumaji wenye historia za kutakatisha fedha chafu wajikamatishe
Kumbuka kabendera na wengine juu ya uhujumu uchumi...Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hati ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Tuweke ubinafsi na uvyama pembeni, bali tutangulize utu.
Michango iliyochangwa wakati wa majanga ya kuzama vivuko na Tetemeko, pesa hiyo haikupita BOT wala haikukaguliwa.
Tulishuhudia Raisi akibadili matumizi ya pesa hizo wakati zilichangwa na raia wema ili ziwasaidie wahanga.
Sasa leo CHADEMA inaonekana eti inakiuka sheria kuomba mchango kwa wananchi. Ewe mpenda haki na demokrasia, usisite kutoa mchango wa chochote hata kama ni sh. 1000/=. Tone na tone hujaza ndoo. Tukipatikana watu laki 350,000 tukachangia elfu 1000 kwa kila mmoja, mbona mapema tu ndoo inajaa?
MBONA RAISI KAMTUMA KABUDI AENDE KUOMBA MCHANGO WA ELIMU KWA TRUMP NA WB?
Na kwanini na nyinyi hamukuzisamehe zile pesa zilizo za word bank mumemtuma yule mwenye macho makali kama taa ya samitrela kenda kuomba msamaha usaKwanini wasiende kutumikia jela miezi 5 ni michache sana
bora hizo pesa wakanunue kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chama chao
Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hati ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!