Alitakiwa afanye hivyo sio kuja kutuambia huku.... kwanza kutongozwa bahati mamy!!!
Asante sana Mkuu, not enough hebu ifuatilie hiyo namba tatu halafu unambie vizuri.
Tumemwomba Maxence awatengee jukwaa lao la mambo ya Dating ili mambo yote wayamalizie huko.
Hope this might be possible.
Respect mkuu. Kwa kuongezea point yako: The person seeking relief must not himself/herself guilty of illegal or immoral conduct with regard to the same act which would disentitle him/her to any assistance of JF members. Whoever seeking help must come with clean hands.
Respect
allien,
u make me laugh enough, maana ni kama unatoa (da'wa) ya kukomesha mambo kama haya.
Mkuu; nadhani itafaa sana kuboresha jukwaa letu.
Ukiangalia karibu kila siku kuna thread ya ama mtu kutafuta mume, au mke, au mtu wa kuzaa naye nk. Japokuwa yanafit katika jukwaa la mahusiano, lakini kwa mwendo huu, inabidi wawe na sehemu ya kutongozana.
Respect.
Brilliant.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22 nimemaliza chuo na nina ishi na wazazi wangu. Nina boy friend wangu anaishi mbali kidogo na nyumbani. Kila siku lazima tuonane na lazima anilambe kinyume na hapo ni ugomvi. Akipitisha siku napata shida sana inabidi nitafute mbadala ili niweze kulala. Boy friend wangu analalamika sana na anatishia kuniacha. Mie nampenda sana na sitaki aniache.
Kama kuna dawa jamani ya kuweza kunituliza masham sham yangu mnisaidie.
Mimi naishi na wazazi wangu hivyo muda wa kumegwa naona kama hautoshi. Huwa napenda kila siku nifanye mapenzi hiyo ndo hobby yangu.
Sifa za mume.
1. Awe na uume mkubwa na mrefu ili nitosheke
2. Awe na uwezo wa kunipiga angalau bao 2 (kama mgonjwa nitavumilia)
3. Asiwe na kipato kikubwa kwani hao wanasumbua, wanakua busy atasababisha nitoke nje ya ndoa.
4. Akubali tuwe tunaishi wenyewe tu kwani huwa nina makelele sana wakati wa kufanya mapenzi.
Mimi nimesoma hivyo naamini nitapata kazi nzuri na tuta enjoy maisha na mume wangu
Karibu
Jamani mwenzenu yamenikuta ya kunikuta, nilikuwa mgonjwa jana siku nzima sikuweza kwenda kokote pressure ilikuwa juu.
Mr wangu alivyo ondoka nyumbani juzi tarehe 14 asubuhi hakurudi tena mpaka jana jioni. Imeniuma sana sababu hajanipa sababu zozote za msingi kwanini hakurudi nyumbani.
Niko kwenye maamuzi magumu nataka nimchukuwe mtoto wangu nikatafute kwa kuishi.
kweli jf ni zaidi ya uijuavyo..kuna watu wamekuja hapa kutafuta wake/waume i like this new level of openness kwenye society yetu kwa kweli.
One page Mkuu.
Hebu mfano angalia huyu NOT ENOUGH anavyowachezea watu in black and white, halafu fanya analysis yako mwenyewe:
Then:
And finally:
Mibaba bana inabore sana, mnakaa wiki mbili hamjala ngono siku likinywa vibia vyake uko linakuja linapanda dakika moja kwisha na lina anza kukoroma. Lakini linajifanya mtu wa madeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeemu huko nje. Ni aibu tu mnapeleka huko nje unafuata visichana vimezoea dozi kubwa wewe unaenda kupiga kabao kako kamoja na kunza kuhema na kujamba jamba ovyo.
Ni hela tu wanawachukulia hakuna dozi yoyote unayotoa, kama wewe kidume si uonyeshe udume wako nyumbani kwanza? Saa nyingine si kwamba tunaona wivu unatembea nje ila ni jinsi gani unaenda kutia aibu huko nje na vibao vyako visivyo na TIJA.
One page Mkuu.
Hebu mfano angalia huyu NOT ENOUGH anavyowachezea watu in black and white, halafu fanya analysis yako mwenyewe:
Then:
And finally:
LD;
Respect sana Mkuu.
Afadhali wewe tunakuamini sana hapa JF hasa baada ya kukiumbua kile Kibabu.
Respect Madame.
Haya sasa...yaleyaleeeee!
Nashindwa kuwaelewa nyie AKINA dada...kuna mmoja alidai kwanini hapati PM kwa muda mrefu kwenye inbox yake, hadi anajisikia vibaya!
Weye unakuja na gia ingine...huh!
Kwani kuapproach ni vibaya jamani?...Si ni kujenga mahusianmo ambayo huenda baadaye yakawa positive?
Nadhani tusiogope PM, sisi ni watu wazima, tuna utashi...Once ukiona hakufai unampa live, na siyo kutunga threads...!
Sasa wa mtaani kwenu wasioijua JF unawasemelea kwa nani?...Usije ukawakimbia 'sweetheart' watarajiwa bana...kuna watu serious hapa!
Mkuu usisahau na hii
OMG !
Huyu NOT ENOUGH ! Thanks guys for exposing her scam, why are you hatin on PM's while u had such controversial posts ?
Daaa mkuu unakumbumbuku sana eeh!! Ngoja niache usije ukaanza ku conect dots bureeee!!
Seriously she is a scam. Mods have to do something. Halafu nina wasiwasi nae kama ni mwanamke.