Hivi hii Miayo ambayo tunapiga hadi michozi inatutoka chanzo chake nini hasa?? Na kwa nini michozi itutiririke kama tumefiwa au tuna furaha wakati sivyo??
Miayo ni sehemu ya mwili kuji aclamatize na situations ulipokuwa. Hata kama una usingizi. Miayo ina kutayarisha kulala. Ukiwa na njaa, Miayo inakuarifu ukale..
Usikerekeke na miayo Kigarama. Mwili wako una kujulisha kuwa upo TIP TOP.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.