Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Duu kumbe zile halelujah na Aaamen ndio tamati yake hii
emoji144.png
emoji144.png
emoji144.png
emoji144.png
ivi wanaojiita manabii wanaouza vitamba, maji,mafuta nk navyo sio sampuli ya vizizi.
 
Mkuu na je mfano mtu yupo katika nyakati za uharibifu then wakati wa neema ukamjia je kuna uwezekano wa yeye kudumu kwenye neema alafu uharibifu ukamjia tena baadae?? Au anapita nyakat za neema then zikaja nyakat za uharibifu je nyakati za neema zinaweza kumjia tena and vise versa?
 
Mkuu na je mfano mtu yupo katika nyakati za uharibifu then wakati wa neema ukamjia je kuna uwezekano wa yeye kudumu kwenye neema alafu uharibifu ukamjia tena baadae?? Au anapita nyakat za neema then zikaja nyakat za uharibifu je nyakati za neema zinaweza kumjia tena and vise versa?
Uharibifu mkubwa hutokea mara moja tu... Ukimaliza umemaliza labda uwe na laana za ukoo
 
Leo nimegundua Mshana Jr una karama nyingi ambazo kupitia JF zinazidi kufunuliwa. Kuna nyakati huwa tunahitaji sana maneno ya kutubariki kama haya, hongera mkuu Mshana Jr

Lol!! Akiongea zile topic za kutisha mnamwita mganga wa kienyeji, hii kagusa center ya kila mtu, full Karama kutoka mbinguni
 
Lol!! Akiongea zile topic za kutisha mnamwita mganga wa kienyeji, hii kagusa center ya kila mtu, full Karama kutoka mbinguni
Ndiyo maana nikasema kalama, ziko zaidi ya moja.Kwahiyo haijalishi kwamba kuna kundi halifurahishwi na hizo topic zake za kutisha kuhusu uchawi na uganga wake lakini haiondoi kipawa chake. Hiki cha leo ni kipya ndiyo maana nikasema Mshana Jr ana karama nyingi ikiwepo na hii mpya ambazo zinazidi kuonekana kupitia JF
 
Back
Top Bottom