Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Hata kwa bandle la mkopo, ni lazima niingie JF coz siku zote kuna vitu vingi najifunza humu kupitia maisha ya watu, busara/ hekuma za watu (akiwemo Mshana Jr), story , nk.
Uzidi kubarikiwa zaidi brother.
 
bwana anasema wakusanyikapo wawili au watatu mimi nipo pamoja nao,muda wa usiku ndio mzuri maana kuna utulivu hata maombi yanafika.
Aaamen ila hiyo username na huo mtazamo wa ya kwamba maombi ya usiku ndio yanafika kutokana na utulivu...! Mmh
 
Hata kwa bandle la mkopo, ni lazima niingie JF coz siku zote kuna vitu vingi najifunza humu kupitia maisha ya watu, busara/ hekuma za watu (akiwemo Mshana Jr), story , nk.
Uzidi kubarikiwa zaidi brother.
Asante sana napokea kwa unyenyekevu mkuu barikiwa zaidi
 
Mshana nakupenda sana,kila siku unawatia watu moyo,huu ujumbe nauhakika kuna watu watakuwa imani zao zimeinuka na kuona mwanga wa tochi umewamulika katika maisha yao,tunawahitaji watu kama 5 hivi jamvini hapa wenye maandishi kama yako,ubarikiwe sana.
 
Mshana nakupenda sana,kila siku unawatia watu moyo,huu ujumbe nauhakika kuna watu watakuwa imani zao zimeinuka na kuona mwanga wa tochi umewamulika katika maisha yao,tunawahitaji watu kama 5 hivi jamvini hapa wenye maandishi kama yako,ubarikiwe sana.
Asante sana amu, napokea kwa unyenyekevu mkuu
 
Kwa kweli ni ktk ubora wako ule ule uliozoeleka. Hujawahi kutuangusha mkuu Mshana JR pa1 sana.
 
Hii Dunia kuna vingi sana hatuvijui.
Hebu turudi kwa mdogo wetu Lulu... Historia yake ya udogoni haifahamiki sana mpaka alipokutana na Kanumba na kutokea yote yaliyotokea!
Katika umri mdogo na uzuri aliokuwa nao na bila kuwa na uzoefu wowote wa dunia katili... Hata kabla hajafurahia maisha ya usichana wake akakumbwa na makubwa mazito huku mabinti wenzake wenye umri kama wake wakifurahia maisha bila changamoto zozote kubwa!
Cha kushangaza sana akauvaa ujasiri wa ajabu.. Wengi wameshindwa na kuamua kuingia kwenye madawa ama hata kujiua.. Lulu akawa kama public enemy na kwa sehemu kubwa kila alichokifanya kikawa na gundu
Yaliyotokea mpaka kile kifungo na ule ujasiri wa kukubali kifungo bila kukata rufaa ili uharibifu uishe ilikuwa ni dalili tosha kuwa sasa kajitambua..
Inawezekana kabisa bado kidogo.. Lakini mwendo ameupiga na anakaribia kumaliza ngwe ngumu...
Wengi walimcheka, kumbeza na kumdhihaki lakini je ikiwatokea wao wataweza kuhimili vishindo alivyohimili yeye?
 
Back
Top Bottom