Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Hakika Munga Tehenan alitufunza mengi. Kupitia mafunzo yake tulijitambua. Munga nilimlilia mwaka huo 2008 alipofariki tarehe 05 Mei.
Nakumbuka gazeti lake la Jitambue. Ulale pema marehemu Munga Tehenan.
 
Hakika Munga Tehenan alitufunza mengi. Kupitia mafunzo yake tulijitambua. Munga nilimlilia mwaka huo 2008 alipofariki tarehe 05 Mei.
Nakumbuka gazeti lake la Jitambue. Ulale pema marehemu Munga Tehenan.
Rip my mentor
 
Kwani yule dada/binti ameshaolewa? Ulimtumia kama case study kwenye fundisho lako?
 
Miaka ya uharibifu(miaka iliyoliwa na nzige) itapita,itapita na narudi itapita na kusahauliwa kwa jina la Mungu aliye hai na tutapewa miaka ya neema na shibe sema Amen.
 
... Natazama kutakuwako miaka saba ya neema na miaka saba ya uharibifu....ivi kwa nini walitumia namba 7 na sio namba ingine?
 
... Natazama kutakuwako miaka saba ya neema na miaka saba ya uharibifu....ivi kwa nini walitumia namba 7 na sio namba ingine?
Namba ya ukamilifu huo....kiroho kila kitu hukoma kwenye namba7
 
Back
Top Bottom