Hakika Munga Tehenan alitufunza mengi. Kupitia mafunzo yake tulijitambua. Munga nilimlilia mwaka huo 2008 alipofariki tarehe 05 Mei.
Nakumbuka gazeti lake la Jitambue. Ulale pema marehemu Munga Tehenan.
Hakika Munga Tehenan alitufunza mengi. Kupitia mafunzo yake tulijitambua. Munga nilimlilia mwaka huo 2008 alipofariki tarehe 05 Mei.
Nakumbuka gazeti lake la Jitambue. Ulale pema marehemu Munga Tehenan.
Miaka ya uharibifu(miaka iliyoliwa na nzige) itapita,itapita na narudi itapita na kusahauliwa kwa jina la Mungu aliye hai na tutapewa miaka ya neema na shibe sema Amen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.