Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Ameeen,.maisha yana mengi yakujifunza saana sana ni kutambua tuu kuwa kila jambo na majira yake chini ya jua,.ukijua hili hata wakati wa msiba unaweza tabasam ukijua kuna wakati upo nao nitacheka kicheko,..

"Neno moja nalitaka toka kwa Bwana,nalo ni hili;nikae nyumbani mwake siku zote za maisha yangu"
Mumu umenifurahisha sio siri.
Ubarikiwe.
 
Mhubiri 9:11
11Tena, nimeona kitu kimoja hapa duniani, kwamba wenye mbio hawafaulu katika riadha, wala wenye nguvu hawashindi vita; wenye busara hawapati chakula, wenye akili hawatajiriki, wala wenye ujuzi hawapandi vyeo; lakini wakati wa bahati huwapata wote pamoja (BHN).

Mhubiri 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote (Churchages.net).
 
Back
Top Bottom