Miaka niliyoishi si haba

Miaka niliyoishi si haba

Life is full of surprises kwakweli halafu ni mafupi

Tufurahie tu

Jpo sijausoma uzi mpaka mwisho🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Kwa umri wangu huu, nimeona wana sisiem wakisema magufuli ni jembe , ila magu akasema kukubali mkataba wa bandari labda uwe kichaa, ila hao hao walio mkubali magufuli wanadai wanaopinga mkataba wa bandari ni wapotoshaji , kiufupi nimeona unafki na uchawa wa kiwango cha lami.
 
Life is full of surprises kwakweli halafu ni mafupi

Tufurahie tu

Jpo sijausoma uzi mpaka mwisho[emoji2222][emoji2222]
Jpo sijausoma uzi mpaka mwisho[emoji23]
 
Nimeona mtoto wa mchungaji anavuta bangi na kula ugoro babaake kashindwa kumbadilisha
 
"Maisha sio yale uliyofikiri, maisha ni haya ambayo hesabu zako za shule zinakataa kujaza jedwali la upendo lililo wazi."
 
Nimeona mtz [emoji16][emoji16] mwenye degree akienda omba utajiri kwa mganga ambae
Analala kwenye nyumba ya nyasi [emoji3061][emoji3061]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom