Miaka nenda rudi ya madeni, hakuna Ulaya au Amerika walipotaifisha mali

Wachina katika suala la hela wapo tayari kufanya chochote. Kama kuna manunuzi unataka kufanya, manunuzi makubwa labda tuseme kuanzi dola laki 5, hata ungemtaka mkewe au binti yake, anakupa. Kwenye pesa, mchina, utu anaweka pembeni.
 
Aya yako ya pili kutoka mwisho nakupinga, hivi kama sio mchina kuleta pikipiki hizi bodaboda hali ingekuaje. Mchina ana madhila yake ila mazuri yake ni mengi zaidi kwa afrika
 
Aya yako ya pili kutoka mwisho nakupinga, hivi kama sio mchina kuleta pikipiki hizi bodaboda hali ingekuaje. Mchina ana madhila yake ila mazuri yake ni mengi zaidi kwa afrika
Hizi bodabado kuna pande 2. Moja ni kwenye upande wa faida, na nyingine ni hasara.

1) Kwenye faida ni kwamba hizi boda boda watu wengi wana uwezo wa kúzinunua

2) Kwenye hasara, ni kwamba hazina ubora. Nyingi zinakufa ndani ya miaka 2. Unalazimika kufanya matengenezo wakati wote. Pikipiki kama ya mjapani, Honda, inaitwa roho ya paka, sijui kama huwa inakufa, kama inakufa ni baada ya miaka mingapi. Utanunua kwa bei kubwa lakini utaitumia kwa miaka mingi, bila kuhitajika kufanya matengenezo ya mara kwa mara. Aliyenunua pikipiki ya mchina, atanunua hata 6, wewe bado una ile ile moja.
 
Hao wa ulaya wanatuibia kwa njia nyingine, wao wanacontrol masoko ya rasilimali zetu kama vile madini etc.

Halafu kama Mchina anachukua asset hilo ni kosa ls viongozi wa Afrika, walikuwa wapi wakati wanaingiza vipengele hivyo kwenye mikataba?

Mchina hakulazimishi kuchukua mkopo kwake ni njaa yako tu
 
Ile bandar ya Bwagamoyo,mbona tunasikia yeye ndiye anapewa,hivi tutapona kweli? Sasa naamini mtanikumbuka.Nawashauri waganda wawavamie kwa bunduki,marungu,mapanga waachie mali za Waganda.au tufuate nyayo za nduli.Nchi yetu,kiwanja chetu eti aje Mchina akichukue? Si patawaka moto,Ina maana hata jeshi la kuchukua hiyo nchi hakuna,ndege za Uganda zitatua kwenye kiwanja cha China Airport Kampala.Baadaye Hii ya hapa itaitwa China Bwagamoyo Habours Tanzania.
Mungu tusaidie.
 
Jiwe alipoona mikopo ua china haingiliwi maswala ya utawala bora na demokrasia akakimbilia huko akidai ni marafiki wa muda mrefu.

Bagamoyo Port tu ilimtoa baru😅😅😅
 
CCM na mikataba ya siri. Chifu mangungo treaty
 
Wasipokopa watapata wapi pesa za kushinda angani kwenye ndege kuzulula huku na kule??
 
Kwa mchina sidhani kama kuna mtza anamkamata hata milioni moja kwa mwezi mshahara,hovyo Sana hawa watu
Nashangaa baadhi ya watu wa hovyo wanaifagilia china. Ni vile tu wanajali matumbo yao. China ni mtu wa kutujenhea barabara tu na kumwacha aende zake. Hawana utu wale.
 
K
Wakorea kaskazini hawana tofauti na waafrika wote wanahitaji ukombozi.Kim kaibaka korea kama kampuni yake binafsi anaishi kifalme huku watu wake dhoofu hali kabisa.
Kuna wapuuzi hawana exposure au kwa maslahi ya matumbo yao wanatetea upuuzi wa Jon Kim
 
Pesa zenyewe mseveni alikuwa anakopa anafanyia uchaguzi wa kupora wapinzani magari ya washa washa wakati waganda hata maji ni tatizo kubwa.
 
Pole sana Mkuu. ile tasisi imejaza watu wa chama tu. Usitegemee efficiency ya maamna.
 
60yrs of independence under CCM
 
M
Mzungu ukikopa pesa zake ueleze kwa uwazi unaemda kufanyia nini na uoneshe hicho kitu ulichofanyia a-to-z. Viongozi wa afrika hawapendi uwazi, uadilifu wala ushirikishwaji. Ndio maana wanachukia mikopo ya wazungu wanakimbilia ya China.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…