Miaka nenda rudi ya madeni, hakuna Ulaya au Amerika walipotaifisha mali

Mambo mengi yanatokana na ujinga wetu wenyewe.Afrika tuna tatizo sugu la ujinga linalotufanya tushindwe kufikiri sawasawa.matokeo yake mtu akipata kacheo kidogo anakua mbinafsi,fisadi,roho mbaya uku akiwa na akili tegemezi.
 
Wameivuruga zambia,zambia ya Mzungu ilikuwa tamu ajira tele tena pesa nzuri ukimaliza mkataba mtaji tosha uhitaji ajira.
Saa hizi wanaishambulia Congo,awajui lugha lakini wanaujasili wa kupenya popote hata porini unawakuta wanasaka pesa.
Wanapewa pesa na nchi yao wanasaini lazima pesa irudi na faida au urudi maiti usiporudi na pesa.
😂😂😂
 
Wachina watalifilisi bara hili zaidi ya lilivyofilisiwa na wakoloni wazungu.
 
Miaka ya katibuni, baadhi ya watanzania na waafrika kwa ujumla, wameweehukia mikopo ya kutoka Chima. Tna wengine kufikia kuwadharau wahisani na wakopeshaji wetu wa asili ambao ni mataifa ya Ulaya na America.

Kwa ujinga tu, wengine wakafikia kuwaita hawa watoaji misaada na wakopeshaji wetu wa asili, yaani nchi za Ulaya na America, kuwa ni mabeberu wanaopora rasilimali za Afrika, na huku wakiongezea kuwa wamempata rafiki mpya, mwenye mapenzi mema na Afrika, Mchina.

Pamoja na Afrika kuelemewa na madeni makubwa toka nchi za Ulaya na America, haikuwahi kutokea wakopeshaji hao kuchukua vitega uchumi vya nchi mdaiwa, kama viwanja vya ndege au bandari, hata mara moja, kama anavyofanya Mchina.

Nadhani,memesikia, Airport ya Uganda imechukuliwa na wachina kwa sababu Uganda imeshindwa kulipa deni kwa wakati. Bandari ya Mombasa inanyemelewa kwa sababu hizo hizo. Airport na Shirika la umeme Zambia, vipo mbioni kuchukuliwa. Bandari ya Gambia imechukuliwa kwa sababu hizo hizo.

Hivi China, inapochukua vyanzo hivyo vikubwa vya mapato vya mataifa haya maskini, huo ndio upendo wao kwa Afrika au ni mbinu ya kuididimiza Afrika?

China inanufaika sana kutoka Afrika kuliko nchi za Afrika zinavyonufaishwa na China. Afrika limekuwa ndiyo soko kubwa la bidhaa zake duni na zisizo na ubora. Haijaridhika na hayo yote, sasa wanataka kuja moja kwa moja na kubeba hata kile kidogo ambacho nchi za Afrika inacho.

Kwangu mimi, China inaitumbukiza kwenye umaskini mkubwa Afrika kwa bidhaa zake duni. Waafrika kwa sababu ya umaskini, wanalazimika kununua bidha hizi duni za China ambazo ni aghali sana. Nasema ni aghali sana, kwa sababu, ukinunua kiatu toka China cha shilingi laki 1 kinadumu miezi 6, ukinunua kiatu toka Italy sh laki 2, kinadumu miaka 6, kipi ni aghali zaidi? Kiatu cha China kinachodumu miezi sita ni sawa unatumia sh 100,000÷6 kwa mwezi. Ina maana kila mwezi imekugharimu zaidi ya sh 16,000. Cha Italy, kilichodumu miaka 6 (miezi 72) ina maana kila mwezi imekugharimu 200,000÷72, sawa na sh 2,777. Na hiyo ipo kwenye magari, jenereta za umeme, na kila aina ya machine.

Bidhaa za China ni bei nafuu wakati unanunua, ukienda kwenye matumizi, bidhaa za China ni aghali sana.

Kama una kiwanda au shughuli yako inayotumia mashine mbalimbali, na unataka kufanya shughuli zako kwa uhakika, ziepuke sana bidhaa za China. Utafilisika, huku wachina wakitajirika bila ya kukuonea huruma.

Ukoloni wa Mchina utakuwa mbaya zaidi kuzidi hata biashara ya utumwa iliyofanywa na mwarabu. Mataifa ya Afrika yajihadhari sana Mchina. China inaiona Afrika kama ndilo bara litakaloifanya ibadilishe maisha ya wananchi wake, ambao wengi wapo kwenye umaskini mkubwa.
Kuna siku nilikuwa na ongea na mtu mmoja mkubwa alie kuwa akishabikia sana wachina na kukuwa kwa dola ya wachina kitu nilimwambia na hiki umekiandika nikama mimi na wewe tumewahi kitana na tukapanga hii story.
Ngoja nikwambie jambo siku China itakuwa super power nation. Shetani atatoka ktk hali yakuto onekana na kuwa dhahiri ktk macho yetu. Dunia itakuwa mahali pa hatari na shida kuishi haki za watu zita vunjwa na dam nyingi itamwagika. Naimani kama kila taifa lina kisima cha damu za watu wake zilizo mwagika basi china uwenda ikawa ktk top ten nation zinazo mwaga dam kwa wingi duniani.
Mtu anaye support wachina hajuwi kesho yake wala hajuwi ana support kitu gani. Hili ndio taifa halina Mungu na ndio taifa siku moja Mungu atalipa kichapo kitakatifu yani mpaka wakiri Mungu yupo na anaishi Milele na milele.
 
Kwahiyo bandari ya bagamoyo ni ya mzungu ama mchina?
Kwani imeshajengwa?
Mjadala huu ni angalizo kwa wote wanaodhani mchina ni rafiki mwema.
Kwahiyo kama kuna timu ya kitaifa ya mapatano kuhusu bandari hiyo wachukue tahadhali.
 
Miaka ya katibuni, baadhi ya watanzania na waafrika kwa ujumla, wameweehukia mikopo ya kutoka Chima. Tna wengine kufikia kuwadharau wahisani na wakopeshaji wetu wa asili ambao ni mataifa ya Ulaya na America.

Kwa ujinga tu, wengine wakafikia kuwaita hawa watoaji misaada na wakopeshaji wetu wa asili, yaani nchi za Ulaya na America, kuwa ni mabeberu wanaopora rasilimali za Afrika, na huku wakiongezea kuwa wamempata rafiki mpya, mwenye mapenzi mema na Afrika, Mchina.

Pamoja na Afrika kuelemewa na madeni makubwa toka nchi za Ulaya na America, haikuwahi kutokea wakopeshaji hao kuchukua vitega uchumi vya nchi mdaiwa, kama viwanja vya ndege au bandari, hata mara moja, kama anavyofanya Mchina.

Nadhani,memesikia, Airport ya Uganda imechukuliwa na wachina kwa sababu Uganda imeshindwa kulipa deni kwa wakati. Bandari ya Mombasa inanyemelewa kwa sababu hizo hizo. Airport na Shirika la umeme Zambia, vipo mbioni kuchukuliwa. Bandari ya Gambia imechukuliwa kwa sababu hizo hizo.

Hivi China, inapochukua vyanzo hivyo vikubwa vya mapato vya mataifa haya maskini, huo ndio upendo wao kwa Afrika au ni mbinu ya kuididimiza Afrika?

China inanufaika sana kutoka Afrika kuliko nchi za Afrika zinavyonufaishwa na China. Afrika limekuwa ndiyo soko kubwa la bidhaa zake duni na zisizo na ubora. Haijaridhika na hayo yote, sasa wanataka kuja moja kwa moja na kubeba hata kile kidogo ambacho nchi za Afrika inacho.

Kwangu mimi, China inaitumbukiza kwenye umaskini mkubwa Afrika kwa bidhaa zake duni. Waafrika kwa sababu ya umaskini, wanalazimika kununua bidha hizi duni za China ambazo ni aghali sana. Nasema ni aghali sana, kwa sababu, ukinunua kiatu toka China cha shilingi laki 1 kinadumu miezi 6, ukinunua kiatu toka Italy sh laki 2, kinadumu miaka 6, kipi ni aghali zaidi? Kiatu cha China kinachodumu miezi sita ni sawa unatumia sh 100,000÷6 kwa mwezi. Ina maana kila mwezi imekugharimu zaidi ya sh 16,000. Cha Italy, kilichodumu miaka 6 (miezi 72) ina maana kila mwezi imekugharimu 200,000÷72, sawa na sh 2,777. Na hiyo ipo kwenye magari, jenereta za umeme, na kila aina ya machine.

Bidhaa za China ni bei nafuu wakati unanunua, ukienda kwenye matumizi, bidhaa za China ni aghali sana.

Kama una kiwanda au shughuli yako inayotumia mashine mbalimbali, na unataka kufanya shughuli zako kwa uhakika, ziepuke sana bidhaa za China. Utafilisika, huku wachina wakitajirika bila ya kukuonea huruma.

Ukoloni wa Mchina utakuwa mbaya zaidi kuzidi hata biashara ya utumwa iliyofanywa na mwarabu. Mataifa ya Afrika yajihadhari sana Mchina. China inaiona Afrika kama ndilo bara litakaloifanya ibadilishe maisha ya wananchi wake, ambao wengi wapo kwenye umaskini mkubwa.
Mwaka 2019 Rais wa China kwenye mkutano wa Chama Cha CCP aliwahi kusema 'Now it is time to go in Africa' huo ni mkakati wa kulichukua bara lite la Africa Nashangaa hata wanaoshabikia bandari ya Bwaga moyo ijengwe na hawa watu wenye macho madogo,siyo maneno yangu ni maneno ya Mme wake na queen Elizabeth aliyesema hayo akimnong'oneza mke wake bahat mbaya wakamnasa
 
Kwahiyo bandari ya bagamoyo ni ya mzungu ama mchina?
Wanasema mwenzako akinyolewa, wewe tia maji.

Mkataba wa bandari ya Bagamoyo utazamwe kwa umakini mkubwa. Tahadhari kubwa ichukuliwe, tukitambua kuwa tuna-deal na partner mjanja. Tukikosea tu, imekula kwetu.

Vitu ambavyo tunatakiwa kuviweka wazi ni:

1) si zaidi ya idadi gani ya wachina watakaoruhusiwa kufanya kazi hapo

2) kusiwepo na zuio lolote la kuendeleza bandari zetu

3) baada ya muda gani bandari itamilikiwa kwa 100% na Tanzania, bila ya kujali pesa waliyowekeza imerudi au haijarudi

4) Kodi zote zitakusanywa na mamlaka za Tanzania, isipokuwa port charges ndiyo zitakusanywa na Wachina.
 
Viongozi wengi wa Africa ni wajinga sn ndiyo maana China inajua kucheza nao
Umenena kuna siku ndugai kapokelewa china na msafara plus watoto wazuri wa kichina yaani mapokezi ya vip, nadhani ajenda nyuma yake awatetee Bandari ya bagamoyo ipite, wachina wanajua Sana kuwamangungo watawala wa kiafrica yaani wanashangazwa wakienda china kusaini mikataba.
 
Wanasema mwenzako akinyolewa, wewe tia maji.

Mkataba wa bandari ya Bagamoyo utazamwe kwa umakini mkubwa. Tahadhari kubwa ichukuliwe, tukitambua kuwa tuna-deal na partner mjanja. Tukikosea tu, imekula kwetu.

Vitu ambavyo tunatakiwa kuviweka wazi ni:

1) si zaidi ya idadi gani ya wachina watakaoruhusiwa kufanya kazi hapo

2) kusiwepo na zuio lolote la kuendeleza bandari zetu

3) baada ya muda gani bandari itamilikiwa kwa 100% na Tanzania, bila ya kujali pesa waliyowekeza imerudi au haijarudi

4) Kodi zote zitakusanywa na mamlaka za Tanzania, isipokuwa port charges ndiyo zitakusanywa na Wachina.

Mkijenga bandari ya bwagamoyo, tayari ishakula kwetu haijalishi uko makini kiasi gani.

Mchina anataka uweke assets za taifa, ukishindwa kulipa kwa mda anaichukua aliyojenga kujumlisha na kingine mfano dar es salaam airport ama bandari ya Dar.

Yani ni sawa na wewe umtafute masikini kijijini kabisa umwambie nakupa milion hizi 5 nikufyekee pori miti na ukishindwa kunilipa baada ya miaka miwili nitakufanya mtumwa wangu wewe na familia yako. Ni obviosly huyo masikini atakuwa mtumwa.

Tanzania haiwezi lipa deni na bilion 7$ usd kwa servide provider mmoja yani mchina, hapo wao wanasema come rain or shine lazima wajibebee wachina chao na kuwa enslave. Hii haihitaji wala kuwa Jewish prophet au kuwa na diploma ya uchumi kuona
 
Mwaka 2019 Rais wa China kwenye mkutano wa Chama Cha CCP aliwahi kusema 'Now it is time to go in Africa' huo ni mkakati wa kulichukua bara lite la Africa Nashangaa hata wanaoshabikia bandari ya Bwaga moyo ijengwe na hawa watu wenye macho madogo,siyo maneno yangu ni maneno ya Mme wake na queen Elizabeth aliyesema hayo akimnong'oneza mke wake bahat mbaya wakamnasa
Bora ukoloni wa mabeberu KILA mtu ni shahidi maendeleo yameonekana na sio ukoloni huu mpya wa mchina akishirikishiana na madikteta
 
Nimestuka miez iliuopita nimenunua tv imekaa wiki mbil display ikatoa mwanga mweupe kuashiria imeungua nikavuta nyingine mwendo huo huo nikasema labda vyanzo vyangu vya umeme vinapower kubwa nikavuta nyingine kilichofuata nikaenda mkoromea muuzaji ndipo akanichana ukweli sasa najiuliza hivi hiyi tbs kazi yake nini mbona tunapigwa wao wanakenua meno hivi hawaoni haya

|√uma |_ao
View attachment 2024221
Hata US wanatumia bidhaa za mchina,
Hata chupi made in US ni gharama sana, hata wamarekani wenyewe wananunua chinese products,, sababu raia wa nchi hizi za magharibi wanataka uwalipe dola 10 kwa saa kufanya kazi gharama za uzalishaji zinakua juu, viwanda vinahama marekani, vinahamia china, bangladeshi, vietnam ambako kuna cheap labours
 
Viongozi wa africa wanaipenda China vile hawakemei maovu Yao Matokeo Sasa Africa inaanzwa kuuzwa kihalali in the name of mikopo
Kuna maswali najiuliza mbona kama wanasiasa wa tanzania baraz Wana uwezo mkubwa sana katka comedy kuliko hata politics Kuna haja yakua halalisha kua politics in tz is directly proportional to comedy

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sio lazima kwa WaAfrica kukopa.....mfano kwa sasa Tanzania ilipaswa kutumia resources zake kujiletea maendeleo..na kuachana na hii mikopo ya kijinga kijinga, ....

Hakuna mwema kwa mwafrica, lamsingi ni mwafrica atumie maarifa na akili zake mwenyewe kujiletea maendeleo yake mwenyewe akiachana na urafiki wa kipumbavu na wapumbavu..
Unawaona viongozi wa ccm na serikali wana akili hiyo kweli *

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom