samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,179
Ni bora tukaacha kwanza kila kitu tukawa na uwezo wa kuzalisha umeme wa kutosha...
tukaacha kila kitu, tukawa na state owned iron ore mining pale mchuchuchuma...
Tukaacha kila kitu Bandari zetu zikawa na ufanisi wa kutosha....
mwisho kabisa; MCHAWI WA AFRICA KWA SASA NI MWAFRICA MWENYEWE..
tukaacha kila kitu, tukawa na state owned iron ore mining pale mchuchuchuma...
Tukaacha kila kitu Bandari zetu zikawa na ufanisi wa kutosha....
mwisho kabisa; MCHAWI WA AFRICA KWA SASA NI MWAFRICA MWENYEWE..