Miaka nenda rudi ya madeni, hakuna Ulaya au Amerika walipotaifisha mali

Pale wapumbavu wawili mnapokutana kuwasujudia na kuwasifia mabwana zenu.

huyo mchina mnaempigia kelele, kuna bidhaa&huduma kama si mkono wa huruma ya mchina bas kuna baazi ya waafrika choka mbaya wasingeweza kupata hizo bidhaa&huduma.

just imagine humu lijitu liko bize kumtusi mchina uku likitumia kitecno, infinix&itel kutype upumbavu humu wakat hata hiyo sim umepata baada ya mchina kukuletea bidhaa inayoenda sawa na uchumi wako.

humu wengi hakuna mjualo, na wengi koment zenu zimejaa chuki bila kutafakar, ni kwel mchina anazngua, lkn hazngui bila kukarbishwa ama hakuforce kukuchuna, bali ni ninyi wapumbav pamoja na umasikin wenu ndyo unawafanya mtake huduma zake mbovu/chini ya kiwango.

nasikitika kusema kuwa wengi hamumjui mchina vzr, mnamzania kwa upande mmoja tu,

mngejuwa kuwa mchina n mtu mfanyabiashara, ambaye hataki kupoteza aina yoyote ya shilingi, iwe ya masikin ama tajir yeye anahitaji tu, ndiomaana akaunda bidhaa za aina mbili, yaan zenye quality ambazo kimsingi bidhaa hiz huwez pata soko lake ktk nchi masikin, bal utazpata bidhaa hizo kwa wanaojweza,
vivyo hivyo hata kwa wanyonge, nao hajawaacha nyuma maana kawawekea bidhaa za pesa zao ambazo ni chini ya kiwango kuendana na uchumi wa muhtaj.

msimlaum mchina kwa kuchukua mali za waafrika, maana hata ktk mikataba mlisain wenyewe na hakuna aliewashurutisha kusaini.

na ndvyo ilivyo hata mikataba ya mabenk, unaposhindwa kulipa lazma mali zako wazibebe, kwahiyo hata kwa mchina ni sawa akifanya hivyo kwakuwa yupo kibiashara na hakuna cha bure, hawez kuwapa misaada bure wakat nchini mwake kuna wahitaji vile vile.

huyo mzungu mnaemsifia kuwa hana ubaya kweny mikopo yake, mujue kuwa nae ni mnyonyaji ambaye anakukopesha kwa faida vile vile, faida moja wapo n kukushurutisha ufuate sera za nchi zao mfano demokrasi itakayowafanya mzid kurud nyuma kiuchum kwa kuibua makundi yanayopingana ndan ya nchi, na hapa ndpo anapapenda il mzid kuwa wanyonge awape misaada mshindwe kulipa na yeye azid kuwaibia rasilimali zenu ,
mfano hakuna taifa lolote afrika lililofuata demokrasia likaendelea, halipo, hata hapa Tz mnaona jins watu wanavyopingana sabbu ya utofaut wa itikadi badara ya kufocus kwenye kujenga nchi kiumoja, watu wako bize kulilia mambo yakipuuzi.

Pia kuna mambo yakipuuz kama hayo ya utetez wa haki zakipuuzi kama za kulea mashoga na wasagaji haya ndyo mzungu anayataka baada ya kukusaidia.

pia mzungu anawawekea mashart mepes ktk ulipaj wa maden sababu anawalipa fidia za ushenz aliowatendea babu zetu(ukoloni) ikiwa kama kifuta machozi ama kuwasahaulisha ushetan wao na muwaone wema sana, lkn mngetafakar kuwa kile wanachokichuma afrika ni kikubwa kulko wanachowakopesheni, hata wakisamehe madeni hawapungukiwi kwa lolote,

muacheni mchina apige biashara na wapumbavu, ilimladi hakuna aliewaforce mkubali mashart ya mikopo na misaada yake.

Afrika kuendelea inamuhitaji sana mchina na mkoloni mwenye roho mbaya ili akili ziwakae sawa, hayo mambo ya demokrasi hayana faida na hayawez leta maendeleo kwa taifa lolote lile, hata hao wanaowaforce mfuate demokrasia, ktk nchi zao hakuna iyo kitu, na wala hawakuitumia wakat wanajenga nchi zao.

wanakundi fulan wakisika demokrasia si chanzo cha maendeleo wanapanik sana, maana wamejikita ktk kuulilia huu upuuzi si kwa manufaa ya nchi bali kwa manufaa ya genge lao ili wapate chance ya kupata madaraka.
 
M

Mzungu ukikopa pesa zake ueleze kwa uwazi unaemda kufanyia nini na uoneshe hicho kitu ulichofanyia a-to-z. Viongozi wa afrika hawapendi uwazi, uadilifu wala ushirikishwaji. Ndio maana wanachukia mikopo ya wazungu wanakimbilia ya China.
Mzungu hataki ujanja ujanja! Amenyooka, Samia atatafuna sana hela zao, sababu hana janjajanja, amenyooka
 
Pesa zenyewe mseveni alikuwa anakopa anafanyia uchaguzi wa kupora wapinzani magari ya washa washa wakati waganda hata maji ni tatizo kubwa.
M7 ni mtu wa ajabu sana, ila pamoja na madhaifu yake yote kaleta stability Uganda, Maana jamaa nao walikuwa hawajatulia kabisa
 
Mabeberu wana utu sana wale. All they care is humanity.
Hawataki yeyote aonewe, sasa viongozi Miungu Mtu waliokulia kwenye maisha ya umaskini vijijini huko hawaelewi kabisa, mateso ya utoto wao wanataka wayafidie kuwakomoa wengine! Siku zote nitamsapoti Rich politician, aliyetoka kwenye background inayoeleweka
 
Ile bandar ya Bwagamoyo,mbona tunasikia yeye ndiye anapewa,hivi tutapona kweli? Sasa naamini mtanikumbuka.Nawashauri waganda wawavamie kwa bunduki,marungu,mapanga waachie mali za Waganda.au tufuate nyayo za nduli.Nchi yetu,kiwanja chetu eti aje Mchina akichukue? Si patawaka moto,Ina maana hata jeshi la kuchukua hiyo nchi hakuna,ndege za Uganda zitatua kwenye kiwanja cha China Airport Kampala.Baadaye Hii ya hapa itaitwa China Bwagamoyo Habours Tanzania.
Mungu tusaidie.
Hii ya Bwagamoyo nadhani tusubiri tuone Terms and Conditions, kama ni za hovyo basi Serikali ipigiwe kelele, Kelele zikiwa nyingi wataacha
 
Pale wapumbavu wawili mnapokutana kuwasujudia na kuwasifia mabwana zenu.

huyo mchina mnaempigia kelele, kuna bidhaa&huduma kama si mkono wa huruma ya mchina bas kuna baazi ya waafrika choka mbaya wasingeweza kupata hizo bidhaa&huduma.

just imagine humu lijitu liko bize kumtusi mchina uku likitumia kitecno, infinix&itel kutype upumbavu humu wakat hata hiyo sim umepata baada ya mchina kukuletea bidhaa inayoenda sawa na uchumi wako.

humu wengi hakuna mjualo, na wengi koment zenu zimejaa chuki bila kutafakar, ni kwel mchina anazngua, lkn hazngui bila kukarbishwa ama hakuforce kukuchuna, bali ni ninyi wapumbav pamoja na umasikin wenu ndyo unawafanya mtake huduma zake mbovu/chini ya kiwango.

nasikitika kusema kuwa wengi hamumjui mchina vzr, mnamzania kwa upande mmoja tu,

mngejuwa kuwa mchina n mtu mfanyabiashara, ambaye hataki kupoteza aina yoyote ya shilingi, iwe ya masikin ama tajir yeye anahitaji tu, ndiomaana akaunda bidhaa za aina mbili, yaan zenye quality ambazo kimsingi bidhaa hiz huwez pata soko lake ktk nchi masikin, bal utazpata bidhaa hizo kwa wanaojweza,
vivyo hivyo hata kwa wanyonge, nao hajawaacha nyuma maana kawawekea bidhaa za pesa zao ambazo ni chini ya kiwango kuendana na uchumi wa muhtaj.

msimlaum mchina kwa kuchukua mali za waafrika, maana hata ktk mikataba mlisain wenyewe na hakuna aliewashurutisha kusaini.

na ndvyo ilivyo hata mikataba ya mabenk, unaposhindwa kulipa lazma mali zako wazibebe, kwahiyo hata kwa mchina ni sawa akifanya hivyo kwakuwa yupo kibiashara na hakuna cha bure, hawez kuwapa misaada bure wakat nchini mwake kuna wahitaji vile vile.

huyo mzungu mnaemsifia kuwa hana ubaya kweny mikopo yake, mujue kuwa nae ni mnyonyaji ambaye anakukopesha kwa faida vile vile, faida moja wapo n kukushurutisha ufuate sera za nchi zao mfano demokrasi itakayowafanya mzid kurud nyuma kiuchum kwa kuibua makundi yanayopingana ndan ya nchi, na hapa ndpo anapapenda il mzid kuwa wanyonge awape misaada mshindwe kulipa na yeye azid kuwaibia rasilimali zenu ,
mfano hakuna taifa lolote afrika lililofuata demokrasia likaendelea, halipo, hata hapa Tz mnaona jins watu wanavyopingana sabbu ya utofaut wa itikadi badara ya kufocus kwenye kujenga nchi kiumoja, watu wako bize kulilia mambo yakipuuzi.

Pia kuna mambo yakipuuz kama hayo ya utetez wa haki zakipuuzi kama za kulea mashoga na wasagaji haya ndyo mzungu anayataka baada ya kukusaidia.

pia mzungu anawawekea mashart mepes ktk ulipaj wa maden sababu anawalipa fidia za ushenz aliowatendea babu zetu(ukoloni) ikiwa kama kifuta machozi ama kuwasahaulisha ushetan wao na muwaone wema sana, lkn mngetafakar kuwa kile wanachokichuma afrika ni kikubwa kulko wanachowakopesheni, hata wakisamehe madeni hawapungukiwi kwa lolote,

muacheni mchina apige biashara na wapumbavu, ilimladi hakuna aliewaforce mkubali mashart ya mikopo na misaada yake.

Afrika kuendelea inamuhitaji sana mchina na mkoloni mwenye roho mbaya ili akili ziwakae sawa, hayo mambo ya demokrasi hayana faida na hayawez leta maendeleo kwa taifa lolote lile, hata hao wanaowaforce mfuate demokrasia, ktk nchi zao hakuna iyo kitu, na wala hawakuitumia wakat wanajenga nchi zao.

wanakundi fulan wakisika demokrasia si chanzo cha maendeleo wanapanik sana, maana wamejikita ktk kuulilia huu upuuzi si kwa manufaa ya nchi bali kwa manufaa ya genge lao ili wapate chance ya kupata madaraka.
Hizo bidhaa toka china mfano hizo simu si mchina anauza kwan anatoa bure? kabla ya simu za mchina mbona nokia, siemens, sagem, motorolla, n.k zilikuwepo tena wala hazikuwa zinatoka china. Hata ukikataa vipi mchina ana masharti ambayo siyo mazuri kwenye mikopo yake na ndiyo maana nchi ambazo viongozi wake hawapendi uwazi na uwajibikaji wanakimbilia mikopo ya mchina, na matokeo yake ndiyo hayo ya vitu nyeti kutwaliwa na mdai. Mchina hawezi endeleza Afrika, ingekuwa hivyo Tanzania ingekuwa mbali basi maana Tz na china ni marafiki wa kupika na kupakua toka enzi ya Nyerere. Wachina haohao ndio wanaongoza kwa bidhaa feki, walitengeneza maziwa feki ya watoto wachanga mpaka ikawa scandal tena kubwa halaf we unasema waachwe wafanye biashara? Utafiti uliofanywa na MUHAS unaonyesha madawa mengi ya miti shamba ya china yanapelekea figo kufeli halafu wewe unasema waachwe wafanye biashara?
 
Tukubaliane tusivyokubaliana. China na Mabeberu wote lao moja. Kutengeneza faida kupitia migongo yetu. Yawezekana mchina bidhaa zake dhaifu zaidi. Cha kushangaza madukani huko ughaibuni vitu toka China ndivyo vilivyojaa. Kifupi beberu amekimbilia kwenye servicing na financial services zaidi kuliko manufacturing. Labda tulaumu tu kuwa bidhaa za mchina kuja Afrika ni duni zaidi ya zile zinazoenda magharibi.
Labda na twende mbali kwa kutaka bidhaa zenye quality zaidi and durable.
Otherwise we will continue doing business with Beijing for quite some time
 
Hawataki yeyote aonewe, sasa viongozi Miungu Mtu waliokulia kwenye maisha ya umaskini vijijini huko hawaelewi kabisa, mateso ya utoto wao wanataka wayafidie kuwakomoa wengine! Siku zote nitamsapoti Rich politician, aliyetoka kwenye background inayoeleweka
I support you. They are just Saddist. Kila mwenye pesa wanaamini ni mwizi kwa ujinga wao.
 
Miaka ya katibuni, baadhi ya watanzania na waafrika kwa ujumla, wameweehukia mikopo ya kutoka Chima. Tna wengine kufikia kuwadharau wahisani na wakopeshaji wetu wa asili ambao ni mataifa ya Ulaya na America.

Kwa ujinga tu, wengine wakafikia kuwaita hawa watoaji misaada na wakopeshaji wetu wa asili, yaani nchi za Ulaya na America, kuwa ni mabeberu wanaopora rasilimali za Afrika, na huku wakiongezea kuwa wamempata rafiki mpya, mwenye mapenzi mema na Afrika, Mchina.

Pamoja na Afrika kuelemewa na madeni makubwa toka nchi za Ulaya na America, haikuwahi kutokea wakopeshaji hao kuchukua vitega uchumi vya nchi mdaiwa, kama viwanja vya ndege au bandari, hata mara moja, kama anavyofanya Mchina.

Nadhani,memesikia, Airport ya Uganda imechukuliwa na wachina kwa sababu Uganda imeshindwa kulipa deni kwa wakati. Bandari ya Mombasa inanyemelewa kwa sababu hizo hizo. Airport na Shirika la umeme Zambia, vipo mbioni kuchukuliwa. Bandari ya Gambia imechukuliwa kwa sababu hizo hizo.

Hivi China, inapochukua vyanzo hivyo vikubwa vya mapato vya mataifa haya maskini, huo ndio upendo wao kwa Afrika au ni mbinu ya kuididimiza Afrika?

China inanufaika sana kutoka Afrika kuliko nchi za Afrika zinavyonufaishwa na China. Afrika limekuwa ndiyo soko kubwa la bidhaa zake duni na zisizo na ubora. Haijaridhika na hayo yote, sasa wanataka kuja moja kwa moja na kubeba hata kile kidogo ambacho nchi za Afrika inacho.

Kwangu mimi, China inaitumbukiza kwenye umaskini mkubwa Afrika kwa bidhaa zake duni. Waafrika kwa sababu ya umaskini, wanalazimika kununua bidha hizi duni za China ambazo ni aghali sana. Nasema ni aghali sana, kwa sababu, ukinunua kiatu toka China cha shilingi laki 1 kinadumu miezi 6, ukinunua kiatu toka Italy sh laki 2, kinadumu miaka 6, kipi ni aghali zaidi? Kiatu cha China kinachodumu miezi sita ni sawa unatumia sh 100,000÷6 kwa mwezi. Ina maana kila mwezi imekugharimu zaidi ya sh 16,000. Cha Italy, kilichodumu miaka 6 (miezi 72) ina maana kila mwezi imekugharimu 200,000÷72, sawa na sh 2,777. Na hiyo ipo kwenye magari, jenereta za umeme, na kila aina ya machine.

Bidhaa za China ni bei nafuu wakati unanunua, ukienda kwenye matumizi, bidhaa za China ni aghali sana.

Kama una kiwanda au shughuli yako inayotumia mashine mbalimbali, na unataka kufanya shughuli zako kwa uhakika, ziepuke sana bidhaa za China. Utafilisika, huku wachina wakitajirika bila ya kukuonea huruma.

Ukoloni wa Mchina utakuwa mbaya zaidi kuzidi hata biashara ya utumwa iliyofanywa na mwarabu. Mataifa ya Afrika yajihadhari sana Mchina. China inaiona Afrika kama ndilo bara litakaloifanya ibadilishe maisha ya wananchi wake, ambao wengi wapo kwenye umaskini mkubwa.
Shida tuliyonayo kwa sasa wengine tungependa tununue bidhaa nzuri kutoka Japan, USA na nchi za ulaya lakini ingia kwenye soko siku hizi havipo kabisa mfano vifaa vya umeme utafikiri vyote vinatoka china hamna brand za ulaya hii ni hatari. Wa kulaumiwa ni shirika la viwango Tannzania wamezidiwa. Vitu vya china vinavyokuja TZ tofauti na SA kwa ubora vya kwetu ni hafifu mno sababu wa kukosa mamlaka yenye nguvu ya udhibiti.
 
Nimeikumbuka sna kampuni ya ujenzi wa mwendo Kaz kipindi kile2015 ya stragba ilikuwa Ni kampuni za mabeberu ila ilikuwa vzr San watz walifaidika na kunufaika kuwa vibarau kwa hao mabeberu CYO Hawa wapuuuzi wa sas HV ambapo Kila kandaras za ujenzi wamepewa wao Kila Kona ya nnchi Ni mchina Yuko ...sijui tunaelekea wapi
Strabag hata Konoike nao walikuwa njema wale wajapani! Yani katika Asia watu wenye tabia za kizungu atleast ni wajapani😅
 
Pale wapumbavu wawili mnapokutana kuwasujudia na kuwasifia mabwana zenu.

huyo mchina mnaempigia kelele, kuna bidhaa&huduma kama si mkono wa huruma ya mchina bas kuna baazi ya waafrika choka mbaya wasingeweza kupata hizo bidhaa&huduma.

just imagine humu lijitu liko bize kumtusi mchina uku likitumia kitecno, infinix&itel kutype upumbavu humu wakat hata hiyo sim umepata baada ya mchina kukuletea bidhaa inayoenda sawa na uchumi wako.

humu wengi hakuna mjualo, na wengi koment zenu zimejaa chuki bila kutafakar, ni kwel mchina anazngua, lkn hazngui bila kukarbishwa ama hakuforce kukuchuna, bali ni ninyi wapumbav pamoja na umasikin wenu ndyo unawafanya mtake huduma zake mbovu/chini ya kiwango.

nasikitika kusema kuwa wengi hamumjui mchina vzr, mnamzania kwa upande mmoja tu,

mngejuwa kuwa mchina n mtu mfanyabiashara, ambaye hataki kupoteza aina yoyote ya shilingi, iwe ya masikin ama tajir yeye anahitaji tu, ndiomaana akaunda bidhaa za aina mbili, yaan zenye quality ambazo kimsingi bidhaa hiz huwez pata soko lake ktk nchi masikin, bal utazpata bidhaa hizo kwa wanaojweza,
vivyo hivyo hata kwa wanyonge, nao hajawaacha nyuma maana kawawekea bidhaa za pesa zao ambazo ni chini ya kiwango kuendana na uchumi wa muhtaj.

msimlaum mchina kwa kuchukua mali za waafrika, maana hata ktk mikataba mlisain wenyewe na hakuna aliewashurutisha kusaini.

na ndvyo ilivyo hata mikataba ya mabenk, unaposhindwa kulipa lazma mali zako wazibebe, kwahiyo hata kwa mchina ni sawa akifanya hivyo kwakuwa yupo kibiashara na hakuna cha bure, hawez kuwapa misaada bure wakat nchini mwake kuna wahitaji vile vile.

huyo mzungu mnaemsifia kuwa hana ubaya kweny mikopo yake, mujue kuwa nae ni mnyonyaji ambaye anakukopesha kwa faida vile vile, faida moja wapo n kukushurutisha ufuate sera za nchi zao mfano demokrasi itakayowafanya mzid kurud nyuma kiuchum kwa kuibua makundi yanayopingana ndan ya nchi, na hapa ndpo anapapenda il mzid kuwa wanyonge awape misaada mshindwe kulipa na yeye azid kuwaibia rasilimali zenu ,
mfano hakuna taifa lolote afrika lililofuata demokrasia likaendelea, halipo, hata hapa Tz mnaona jins watu wanavyopingana sabbu ya utofaut wa itikadi badara ya kufocus kwenye kujenga nchi kiumoja, watu wako bize kulilia mambo yakipuuzi.

Pia kuna mambo yakipuuz kama hayo ya utetez wa haki zakipuuzi kama za kulea mashoga na wasagaji haya ndyo mzungu anayataka baada ya kukusaidia.

pia mzungu anawawekea mashart mepes ktk ulipaj wa maden sababu anawalipa fidia za ushenz aliowatendea babu zetu(ukoloni) ikiwa kama kifuta machozi ama kuwasahaulisha ushetan wao na muwaone wema sana, lkn mngetafakar kuwa kile wanachokichuma afrika ni kikubwa kulko wanachowakopesheni, hata wakisamehe madeni hawapungukiwi kwa lolote,

muacheni mchina apige biashara na wapumbavu, ilimladi hakuna aliewaforce mkubali mashart ya mikopo na misaada yake.

Afrika kuendelea inamuhitaji sana mchina na mkoloni mwenye roho mbaya ili akili ziwakae sawa, hayo mambo ya demokrasi hayana faida na hayawez leta maendeleo kwa taifa lolote lile, hata hao wanaowaforce mfuate demokrasia, ktk nchi zao hakuna iyo kitu, na wala hawakuitumia wakat wanajenga nchi zao.

wanakundi fulan wakisika demokrasia si chanzo cha maendeleo wanapanik sana, maana wamejikita ktk kuulilia huu upuuzi si kwa manufaa ya nchi bali kwa manufaa ya genge lao ili wapate chance ya kupata madaraka.
acha ujinga basi kuwa serious hivi unaona raha watu tupigwe kisa huzaa zao Zipo cheap huu mbona ni utapeli wana utofauti gani na wale wa kariakoo wakuuziwa sabuni bei ya simu
SGN_11_26_2021_1637934876563.jpg
 
Kwanza mademu wa Ulaya wazuri kishenzi, afu wachina wasenge tu mimi nawaona watu wasiofaa kushirikiana nao mbwa kabisa hawa watu!
 
Hao wa ulaya wanatuibia kwa njia nyingine, wao wanacontrol masoko ya rasilimali zetu kama vile madini etc.

Halafu kama Mchina anachukua asset hilo ni kosa ls viongozi wa Afrika, walikuwa wapi wakati wanaingiza vipengele hivyo kwenye mikataba?

Mchina hakulazimishi kuchukua mkopo kwake ni njaa yako tu
Kwani hata huko mataifa mengine, huwa tunalazimishwa kuchukua mikopo?

Hapa tunaongelea kukosekana kwa dhamira njema. Kama wewe unakuja kuomba mkopo kwangu, kwa dhamira kuwa upige hatua ili unilipe, kumbe mimi dhamira yangu, ushindwe ili niichukue nyumba yako, hiyo ni dhamira mbaya.

Kuna wakati, nikiwa kwenye conference South Africa, kulikuwa na presentation moja ya mtaalam wa Ujasusi wa uchumi toka South Africa, topic yake ilikuwa, 'China threat to Africa Economy', alieleza vitu vingi with evidences. Wakati ule nilidhani mambo hayo yapo mbali, sikufikiria yalikuwa karibu kiasi hiki.

Moja ya uthibitisho alioutoa, alisema, kama kuna nchi ya Africa ambayo haina deni na nyingine ina deni kubwa kwa China, zote mbili zikaomba mkopo toka China, inayopewa mkopo kiurahisi ni ile yenye deni kubwa. Alisema kuwa China inampa yule mwenye deni kubwa ili afikie haraka kwenye kiwango cha kushindwa kulipa, na China ichukue rasilimali zake. Alieleza jinsi China ilivyoingia kwenye mkataba na DRC wa mkopo wa dola bilioni 30, na DRC ikishindwa kulipa, maeneo yenye leseni za madini yanayomilikiwa na makampuni ya China, yanakuwa mali ya China. Aliongelea kuhusu deni la Gambia, na malengo yaliyofichika ya China.

Wakati ule, kila kitu kilionekana kama fiction, leo yanatokea. Nikakumbuka presentation ile. I wish ningekuwa nayo, niiweke hapa.

Nakumbuka pia aluelezea maeneo ambayo tayari yapo kwenye mipango ya China. Kwa Afrika Mashariki, ni Ziwa Victoria. Japo mpaka sasa, hatujaona harakati za wazi za China kutaka kumiliki hilo ziwa.
 
Pale wapumbavu wawili mnapokutana kuwasujudia na kuwasifia mabwana zenu.

huyo mchina mnaempigia kelele, kuna bidhaa&huduma kama si mkono wa huruma ya mchina bas kuna baazi ya waafrika choka mbaya wasingeweza kupata hizo bidhaa&huduma.

just imagine humu lijitu liko bize kumtusi mchina uku likitumia kitecno, infinix&itel kutype upumbavu humu wakat hata hiyo sim umepata baada ya mchina kukuletea bidhaa inayoenda sawa na uchumi wako.

humu wengi hakuna mjualo, na wengi koment zenu zimejaa chuki bila kutafakar, ni kwel mchina anazngua, lkn hazngui bila kukarbishwa ama hakuforce kukuchuna, bali ni ninyi wapumbav pamoja na umasikin wenu ndyo unawafanya mtake huduma zake mbovu/chini ya kiwango.

nasikitika kusema kuwa wengi hamumjui mchina vzr, mnamzania kwa upande mmoja tu,

mngejuwa kuwa mchina n mtu mfanyabiashara, ambaye hataki kupoteza aina yoyote ya shilingi, iwe ya masikin ama tajir yeye anahitaji tu, ndiomaana akaunda bidhaa za aina mbili, yaan zenye quality ambazo kimsingi bidhaa hiz huwez pata soko lake ktk nchi masikin, bal utazpata bidhaa hizo kwa wanaojweza,
vivyo hivyo hata kwa wanyonge, nao hajawaacha nyuma maana kawawekea bidhaa za pesa zao ambazo ni chini ya kiwango kuendana na uchumi wa muhtaj.

msimlaum mchina kwa kuchukua mali za waafrika, maana hata ktk mikataba mlisain wenyewe na hakuna aliewashurutisha kusaini.

na ndvyo ilivyo hata mikataba ya mabenk, unaposhindwa kulipa lazma mali zako wazibebe, kwahiyo hata kwa mchina ni sawa akifanya hivyo kwakuwa yupo kibiashara na hakuna cha bure, hawez kuwapa misaada bure wakat nchini mwake kuna wahitaji vile vile.

huyo mzungu mnaemsifia kuwa hana ubaya kweny mikopo yake, mujue kuwa nae ni mnyonyaji ambaye anakukopesha kwa faida vile vile, faida moja wapo n kukushurutisha ufuate sera za nchi zao mfano demokrasi itakayowafanya mzid kurud nyuma kiuchum kwa kuibua makundi yanayopingana ndan ya nchi, na hapa ndpo anapapenda il mzid kuwa wanyonge awape misaada mshindwe kulipa na yeye azid kuwaibia rasilimali zenu ,
mfano hakuna taifa lolote afrika lililofuata demokrasia likaendelea, halipo, hata hapa Tz mnaona jins watu wanavyopingana sabbu ya utofaut wa itikadi badara ya kufocus kwenye kujenga nchi kiumoja, watu wako bize kulilia mambo yakipuuzi.

Pia kuna mambo yakipuuz kama hayo ya utetez wa haki zakipuuzi kama za kulea mashoga na wasagaji haya ndyo mzungu anayataka baada ya kukusaidia.

pia mzungu anawawekea mashart mepes ktk ulipaj wa maden sababu anawalipa fidia za ushenz aliowatendea babu zetu(ukoloni) ikiwa kama kifuta machozi ama kuwasahaulisha ushetan wao na muwaone wema sana, lkn mngetafakar kuwa kile wanachokichuma afrika ni kikubwa kulko wanachowakopesheni, hata wakisamehe madeni hawapungukiwi kwa lolote,

muacheni mchina apige biashara na wapumbavu, ilimladi hakuna aliewaforce mkubali mashart ya mikopo na misaada yake.

Afrika kuendelea inamuhitaji sana mchina na mkoloni mwenye roho mbaya ili akili ziwakae sawa, hayo mambo ya demokrasi hayana faida na hayawez leta maendeleo kwa taifa lolote lile, hata hao wanaowaforce mfuate demokrasia, ktk nchi zao hakuna iyo kitu, na wala hawakuitumia wakat wanajenga nchi zao.

wanakundi fulan wakisika demokrasia si chanzo cha maendeleo wanapanik sana, maana wamejikita ktk kuulilia huu upuuzi si kwa manufaa ya nchi bali kwa manufaa ya genge lao ili wapate chance ya kupata madaraka.
Asante kwa mchango mrefu usio na ukweki wowote.

1) Ufahamu kuwa mpaka sasa nchi inayoongoza kutafuta na kuvutia wawekezaji wa kigeni kutoka Ulaya na America, ni China. Ni hayo makampuni ya Ulaya na America yaliyowekeza China kwa sababu ya cheap labour na huge market ya China, ndiyo yanayotengeneza bidhaa zenye ubora wa kiwango cha juu, na masoko yao makubwa ni huko huko kwao, Ulaya na America.

2) Makampuni ya China yanayomilikiwa na wachina wenyewe, ndiyo yanayotengeneza bidhaa duni, ambazo zaidi ni za kuiga, na wanaziuza zaidi Afrika.

3) Wakati viongozi wa China kila wakati wapo Ulaya na America kutafuta wawekezaji, Waafrika wanaamini kuwa Wachina wana uwezo mkubwa wa kuwekeza na wanaweza kubadilisha uchumi wa Afrika

4) Ni uwongo mkubwa kuwa eti ili upate maendeleo unahitaji mfumo wa kidikteta kuongoza nchi. Ipo mifano mingi kuthibitisha hilo. Kama udikteta ungekuwa unasababisha nchi kuwa tajiri, North Korea ingekuwa tajiri sana, Cuba ingekuwa tajiri sana, Togo ingekuwa tajiri sana, Burundi ingekuwa tajiri sana. Yatazame mataifa yenye demokrasia kubwa kama Botswana. Linganisha South Korea yenye demokrasia vs North Korea, China vs Japan, Singapore, Hong Kong na Malaysia. China, pamoja na uwekezaji mkubwa wa mataifa ya kigeni, bado ni nchi inayoendelea. Ni nchi ya 89 kwenye human development. Pato lake kubwa linatokana na uwingi wa watu na ukubwa wa nchi lakini siyo quality of living. Ukienda kwenye quality of living, China is in a developing country category. Ndiyo maana, hata China yenyewe ililikataa pendekezo la US kwenye UN security council lililotaka nchi ya China iingizwe kwenye mataifa tajiri. Waziri Mkuu wa China alikataa akieleza kuwa wananchi wake wengi bado wanaishi kwenye umaskini mkubwa.
 
Hawataki yeyote aonewe, sasa viongozi Miungu Mtu waliokulia kwenye maisha ya umaskini vijijini huko hawaelewi kabisa, mateso ya utoto wao wanataka wayafidie kuwakomoa wengine! Siku zote nitamsapoti Rich politician, aliyetoka kwenye background inayoeleweka
Upo sahihi sana. Watazame watu kama Mwigulu, marehemu, Mahela, Kingai, Makonda, Siro, n.k. They all act primitively.
 
"China inaiona Afrika kama ndilo bara litakaloifanya ibadilishe maisha ya wananchi wake, ambao wengi wapo kwenye umaskini mkubwa."

Note taken
 
Shida tuliyonayo kwa sasa wengine tungependa tununue bidhaa nzuri kutoka Japan, USA na nchi za ulaya lakini ingia kwenye soko siku hizi havipo kabisa mfano vifaa vya umeme utafikiri vyote vinatoka china hamna brand za ulaya hii ni hatari. Wa kulaumiwa ni shirika la viwango Tannzania wamezidiwa. Vitu vya china vinavyokuja TZ tofauti na SA kwa ubora vya kwetu ni hafifu mno sababu wa kukosa mamlaka yenye nguvu ya udhibiti.
Umezungumza ukweli mtupu. Mimi ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakihangaika sana kupata vitu vya kutoka Japan, Ulaya au America, hupati. Zimejaa takataka za China.
 
Back
Top Bottom