Miaka Miwili ya Rais Samia hakuna kilichosimama

Miaka Miwili ya Rais Samia hakuna kilichosimama

Shabani Ajaha

Member
Joined
Aug 18, 2021
Posts
78
Reaction score
60
UVCCM Taifa
13 February, 2023

Miaka miwili ya Mama hakuna kilichosimama

Kazi za ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR, sehemu ya 5 Isaka - Mwanza (KM 341) unaotekelezwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) kutoka China zikiendelea.

Ujenzi umefikia asilimia 22.67%

#HAKUNA KILICHO SIMAMA

Mengi ameyafanya Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye sekta ya Ujenzi na Uchukuzi toka alianza kuiongoza Nchi 19 March, 2021.

#AlipoMamaVijanaTupo
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee

IMG-20230213-WA0153.jpg
 
Back
Top Bottom