Kungu Kayuki
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 351
- 203
Kishada ni alijojo, subiri 2019 utupe karata yako kwenye polling box using'ang'anie hayo maelezo yako ya hoja za nguvu!
Wewe Kishada jiongeleshe tu hapa hamna mtu anaetazama CUF kama mtazamo wako ulivo, Cuf imelala Lipumba tu mmoja amewakalisha watawezaje mziki wa CCM chama dola. Kuhusu hatma ya Zanizbar i believe you know the drill.
Kishada ni alijojo, subiri 2019 utupe karata yako kwenye polling box using'ang'anie hayo maelezo yako ya hoja za nguvu!
KISHADA SIJAELEWA UNATAKA NINI NAKUONA UNATAKA KUTU-REMOTE TUFUATE UNACHOAMINI WEWE
Kwanza ukiangalia historia ya chama cha cuf mara nyingi utaona ni watu wanaosimamia na wasiotetereka katika misimamo yao. Juhudi unazoziita za kimataifa zipo na hazikuanzia leo ingawa mara hii zimekuwa na kasi ya ajabu na athari kubwa kwa pande zote za muungano kwa sababu aliyoyafanya babu jecha ilikuwa ni ujambazi wa wazi kabisa. Angalia tu kidogo wala sio sana athari yake utaikuta hata Tanganyika kwenyewe. Nikuhakikishie Juhudi hizi za Mataifa zitazaa matunda. Hilo halina shaka kabisa. Diplomasia maamuzi yake huwa yanachelewa sana lakini huwa ni uhakika na jamaa wanaonekana kushinda.
HahahahaSultani hana mlango Wa kurudi Zanzibar
Balozi Mahiga?Jee hapa hakuna muunganiko wa Diplomasia yetu kuibeba CCM na watawala kulipuuzia suala la Zanzibar ? Kwa mfano Role ya Wizara ya mambo ya nje ya Tanzania kule UN na Balozi mbali mbali, hazijatumika kufunika kombe na kulainisha jumuiya za kimataifa kwa Maslahi ya CCM labda ?
Ninahofahamu sizungumzii "Alternate Universe" yako wewe ndiyo maana unashindwa kuniafahamu.. my point is clear nobody care kama znz kuna mgogoro sipokuwa nyinyi tu na kila leo mnapiga picha na wazungu kuwadanga watu eti mko mbioni kutafuta haki yenu na karibu mtapewa wakati hao mnaopiga piha nao hawana umuhimu wowote. subiri 2020 na jiandae kisaikolojia kwani kipigo chajaunazungumza dunia ipi wewe ? Point yako ni nini ?
Ninahofahamu sizungumzii "Alternate Universe" yako wewe ndiyo maana unashindwa kuniafahamu.. my point is clear nobody care kama znz kuna mgogoro sipokuwa nyinyi tu na kila leo mnapiga picha na wazungu kuwadanga watu eti mko mbioni kutafuta haki yenu na karibu mtapewa wakati hao mnaopiga piha nao hawana umuhimu wowote. subiri 2020 na jiandae kisaikolojia kwani kipigo chaja
Balozi Mahiga?
Link http://www.mwananchi.co.tz/Wagombea-urais-11-CCM-wapewa-kazi-Serikalini-/-/1596774/3165442/-/mtl8lk/-/tzwebmail.tz.nationmedia.com%3A9090owa
Wewe unaauliza kama India wanapenda na kutumia mbaazi?
Hiyo kitu haitaki darubini kuiona.
Umesema juhudi zinaendelea sawa. Nadhani hili ni kuhusu jumuiya ya kimataifa. sasa mkuu ikitokezea juhudi hazikuzaa matunda ipi itakuwa hatma ya CUF kule Zanzibar na Tanzania wategemee miujiza gani ?