Miaka miwili ya Dr. Shein na hatma ya CUF, Je jumuiya ya kimataifa imeitupa mkono Zanzibar ?

Hahahahaa KISHADA naona bado unaenelea kuweweseka. si ulituambia hapa mwaka haumalizi Shein ataondoshwa madarakani? Serikali ya ZNZ ni ya umoja wa kitaifa ambayo inajumuisha vyama 4 angalia baraza la mwaziri la znz..
Pole sana 2020 siyo mbali kama bado seif atakuwa yupo CUF
Jumuiya ya kimataifa hajaitupa Zanzibar juu ya fitna zenu lakini mmepwerewa. na serikali ya umoja wa kitaifa hivi sasa hama kimoja tu ndiyo chenye uwakilishi na ukiisoma katiba vizuri haijakitaja hama cha CUF au CCM au JAHASI asilia. lakini kwa uungwana wa Dr shein na sprit ya kuona kuna umuhimu wa serikali yake kuwa inclusive na vyama vyengine ndiyo akawateuwa mawaziri 3 kutoka vyama vya upinzani. Na kuhusu CUF naona kama Seif/ Mazrui atagombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA
 
Wa kuitoa Zanzibari hapa ilipo ni sisi wazanzibari wenyewe kwa kusubiri jumuia za kimataifa ni ndoto za mchana kweupe hizi hao jamaaa ni wanafiki wa kiwango cha 4g.
 
Kweli Mkuu,lakini umesikia kauli za kina Lukuvi kuhusu Zanzibar na dini ya Kiislam,propaganda ya kuwa ugaidi utapitia pwani za Zanzibar kama Zanzibar haitadhibitiwa ndio zinazosambazwa na wenzetu wa Tanganyika kwa jumua za kimataifa,Uislam unapigwa vita kila kona,binafsi sifikirii kama wana nia ya kuisaidia Zanzibar ili kutatua hali ya kisiasa hapa Zanzibar.,wanaenda Zanzibar ibaki kama ilivyo

Seif Sharifu amejitahidi sana kupigania maslahi ya Zanzibar na wazanzibari,mungu atamlipa,wazanzibari watamkumbuka,lakini kumbuka mkuu madhumuni ya mapinduzi ya Zanzibar yalikwa kudhibiti Uislam,huo ndio ukweli usiofichika,historia za mapinduzi ya Zanzibar imeweka wazi.,Nyerere alishawahi kusema kuwa kama angelikuwa na uwezo visiwa vya Zanzibar angelivitupa mbali sana..

Wazanzibari watawala(CCM Zanzibar) ambao ni wachache ambao wengi wao wana asili ya Tanganyika wamejazwa propaganda kuwa Sultan atarudi,humu katika huu uzi ukisoma "comments" za watu wengine utashanga kuwa mpaka hii miaka tunayoishi bado mtu anakubali kuwa warabu watarudi Zanzibar..

Chakufanya ni wazanzibari wenyewe wapiganie nchi yao kama walivyompindua mkoloni Sultan,wajipange wampindue mkoloni CCM,kila kitu kina ugumu wake lakini hakuna kisichowezekana,,


Aliyepinduliwa si Sultan ni Waziri Mkuu , Muhammed Shamte , Mpemba wa Ole. Laanatullahi Nyerere aliivamia Zanzibar na kumkamata Muhammed shamte pamoja na baraza lake la mawaziri . Waziri Mkuu aliyechaguliwa na wananchi na kumweka katika jela za Tanganyika kabla hata huo uitwao muungano haujafikiriwa
 
Jumuiya ya kimataifa hajaitupa Zanzibar juu ya fitna zenu lakini mmepwerewa. na serikali ya umoja wa kitaifa hivi sasa hama kimoja tu ndiyo chenye uwakilishi na ukiisoma katiba vizuri haijakitaja hama cha CUF au CCM au JAHASI asilia. lakini kwa uungwana wa Dr shein na sprit ya kuona kuna umuhimu wa serikali yake kuwa inclusive na vyama vyengine ndiyo akawateuwa mawaziri 3 kutoka vyama vya upinzani. Na kuhusu CUF naona kama Seif/ Mazrui atagombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA


Ukisoma kitabu cha Padri Sivallon , anasema lengo la kanisa katoliki ni kuuwa uislamu Tanganyika na wamefanikiwa , sasa lengo lao kubwa ni kuuwa uislamu Zanzibar.
lengo ni kuona zile khulka za kiisalmu zinaondoka kabisa Zanzibar, ulevi uwe vururu, umalaya, ushoga, wizi, unafiki na kila aina ya uchafu uzidi.
Zile khulka za mtu kwenda kusali na kutofunga duka zimeshaondoka, zile khulka za kupoteza kitu na kutafutwa mwenyewe zimeshaondoka , ujirani ndio bye bye uchafu umekithiri hili ndio lengo.

Ikifika ile stage waitakayo hapo wanaweza kufikiria kuiwacha huru nchi

soma kitabu cha padri sivalon , adui wa kanisa ni nani ??

Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985. kilichochapishwa na shirika la Kanisa Katoliki la wa-Benediktini, Ndanda

au sikiliza hii clip upate kuamka vizuri




 
Ukisoma kitabu cha Padri Sivallon , anasema lengo la kanisa katoliki ni kuuwa uislamu Tanganyika na wamefanikiwa , sasa lengo lao kubwa ni kuuwa uislamu Zanzibar.
lengo ni kuona zile khulka za kiisalmu zinaondoka kabisa Zanzibar, ulevi uwe vururu, umalaya, ushoga, wizi, unafiki na kila aina ya uchafu uzidi.
Zile khulka za mtu kwenda kusali na kutofunga duka zimeshaondoka, zile khulka za kupoteza kitu na kutafutwa mwenyewe zimeshaondoka , ujirani ndio bye bye uchafu umekithiri hili ndio lengo.

Ikifika ile stage waitakayo hapo wanaweza kufikiria kuiwacha huru nchi

soma kitabu cha padri sivalon , adui wa kanisa ni nani ??

Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985. kilichochapishwa na shirika la Kanisa Katoliki la wa-Benediktini, Ndanda

au sikiliza hii clip upate kuamka vizuri





Hahahahahaa, wale wazanzibar wanaofanya umalaya nchi za kiarabu na UK pia ni tanganyika? wale walawiti wakubwa na mnasifia mtu kwa kulawiti watu je pia ni tanganyika. Naona vihwa vyenu mmevifunika kwenye vichaka vya ukoka.. huku pemba wanaongoza kwa kuharibu watoto wadogo pia ni Tanganyika?
 
Hatma ya Zanzibar ipo Tanganyika. Anguko la CCM Tanganyika kishindo kikubwa Zanzibar- mapandikizi yatasambaratika kwa kasi ya ajabu. Ukombozi wa Mnzanzibari u wanja wa vita Tanganyika.
 
Ukisoma kitabu cha Padri Sivallon , anasema lengo la kanisa katoliki ni kuuwa uislamu Tanganyika na wamefanikiwa , sasa lengo lao kubwa ni kuuwa uislamu Zanzibar.
lengo ni kuona zile khulka za kiisalmu zinaondoka kabisa Zanzibar, ulevi uwe vururu, umalaya, ushoga, wizi, unafiki na kila aina ya uchafu uzidi.
Zile khulka za mtu kwenda kusali na kutofunga duka zimeshaondoka, zile khulka za kupoteza kitu na kutafutwa mwenyewe zimeshaondoka , ujirani ndio bye bye uchafu umekithiri hili ndio lengo.

Ikifika ile stage waitakayo hapo wanaweza kufikiria kuiwacha huru nchi

soma kitabu cha padri sivalon , adui wa kanisa ni nani ??

Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985. kilichochapishwa na shirika la Kanisa Katoliki la wa-Benediktini, Ndanda

au sikiliza hii clip upate kuamka vizuri





Wakulaumiwa ni nani kama sio wazanzibari wenyewe,hao walioko madarakani hapa Zanzibar ni waislam,kama wazanzibar wataendelea kuzisikiliza hizi kasumba za mwarabu atarudi basi Zanzibar pamoja na utadunini wake utapotea kwenye dira ya dunia
 
Hatma ya Zanzibar ipo Tanganyika. Anguko la CCM Tanganyika kishindo kikubwa Zanzibar- mapandikizi yatasambaratika kwa kasi ya ajabu. Ukombozi wa Mnzanzibari u wanja wa vita Tanganyika.
Naunga mkono hoja,..kwa mzanzibari yeyeto anaishi Tanganyika lazima aunge mkono harakati za kuindoa CCM madarakani,CCM janga la taifa
 
Jumuiya ya kimataifa hajaitupa Zanzibar juu ya fitna zenu lakini mmepwerewa. na serikali ya umoja wa kitaifa hivi sasa hama kimoja tu ndiyo chenye uwakilishi na ukiisoma katiba vizuri haijakitaja hama cha CUF au CCM au JAHASI asilia. lakini kwa uungwana wa Dr shein na sprit ya kuona kuna umuhimu wa serikali yake kuwa inclusive na vyama vyengine ndiyo akawateuwa mawaziri 3 kutoka vyama vya upinzani. Na kuhusu CUF naona kama Seif/ Mazrui atagombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA

Wewe wacha kupotosha.
Hapa hatuzungumzii uungwana. Sharti la SMZ ni kuwa na sura ya GNU kwa ratio ya wawakilishi na kuwa na Rais, Makamo wa kwanza na wa pili. Kungetafutwa NJIA MUAFAKA YA KUPATIKANA SULUHU KWANZA ILI WADAU WASHIRIKI KWENYE GNU KWA NJIA NZURI badala ya CCM kulazimisha kurejea uchaguzi nzima wa Zanzibar kwa sababu tu walishindwa.. Lakini kwa kujali madaraka na ubinafsi hilo hawakulizingatia baadae wakatafuta wasaka tonge wakawaingiza serikalini eti wanamkomoa mtu fulani. Nini hatma ya Zanzibar ? na jee jumuiya za Kimataifa zimeiacha mkono Zanzibar ?
 
Wakulaumiwa ni nani kama sio wazanzibari wenyewe,hao walioko madarakani hapa Zanzibar ni waislam,kama wazanzibar wataendelea kuzisikiliza hizi kasumba za mwarabu atarudi basi Zanzibar pamoja na utadunini wake utapotea kwenye dira ya dunia

Ndio maana kukawa na "Party legacy" na maamuzi hufanywa kule Dodoma. Wenye malengo yao walijuwa hawatafanikiwa bila ya kuuwa ASP kwanza na kuunda CCM. Hapa ndipo inapokuja hoja ya Muungano na Mission ya Zanzibar. Nani aliyefanikisha kuuwa ASP na kuunda CCM wakati vyama havikuwa suala la Muungano ? Mtafuteni .
 
Hatma ya Zanzibar ipo Tanganyika. Anguko la CCM Tanganyika kishindo kikubwa Zanzibar- mapandikizi yatasambaratika kwa kasi ya ajabu. Ukombozi wa Mnzanzibari u wanja wa vita Tanganyika.

Nimetafakari.

Au ndio ukazuka mgogoro uliopandikizwa wa Lipumba ukiwa na lengo la kuvunja nguvu ya UKAWA ? Matokeo yale ni ishara mbaya kwa CCM huko mbele pengine ndio nguvu ya kuvunja vyama ikaja juu . CCM wana hofu siku mabadiliko yakija Tanganyika itakuwa fursa kwa Zamnzibar kuwa na uhuru wa maamuzi au sio ?

Au ndio tuseme Viongozi wa serikali ya Muungano ndio wakatumia nguvu kubwa kuulinda Muungano na utawala wa SMZ kwa gharama yoyote ile hata ya kuwekea vikwazo na kunyimwa misaada?

Hata hivyo iwapi nafasi ya Jumuiya za Kimataifa kutatua mgogoro wa Zanzibar kwa sasa ? au na huko CCM wameinvest ?
 
Mkuu mie naona suala la Zanzibar au hata mambo yanayoendelea kufukuta kwenye nchi za Kiafrika yanatakiwa kumalizwa na wananchi wa nchi husika kwa maridhiano na kuwa na utashi wa kisiasa. Haya mambo kupereka jumuhia za kimataifa hayatasaidia chochote hasa kama hakuna interest ya kiuchumi kwa hayo mataifa. Unakumbuka suala la Africa ya Kati wamechinjana mpaka wakapata akili ya kumaliza mambo yao wenyewe. Huku jumuhia hizo zipo lakini kwa kuwa hakuna interest za kiuchumi kwao hawana msaada.
Back to suala la Zanzibar, Seif alidanganyika (kudanganywa) kususia uchaguzi (hata kama ilikiwa na mushkel) akidhani jumuhia za kimataifa watakuja kumtoa Shein madarakani na kuwekwa yeye. Bora angekuwa na wabunge wake wa kuisemea kwenye baraza lao. Kwa hali hii ilivyo, Seif was the architect of his own downfall.
 
Wewe wacha kupotosha.
Hapa hatuzungumzii uungwana. Sharti la SMZ ni kuwa na sura ya GNU kwa ratio ya wawakilishi na kuwa na Rais, Makamo wa kwanza na wa pili. Kungetafutwa NJIA MUAFAKA YA KUPATIKANA SULUHU KWANZA ILI WADAU WASHIRIKI KWENYE GNU KWA NJIA NZURI badala ya CCM kulazimisha kurejea uchaguzi nzima wa Zanzibar kwa sababu tu walishindwa.. Lakini kwa kujali madaraka na ubinafsi hilo hawakulizingatia baadae wakatafuta wasaka tonge wakawaingiza serikalini eti wanamkomoa mtu fulani. Nini hatma ya Zanzibar ? na jee jumuiya za Kimataifa zimeiacha mkono Zanzibar ?
Zanzibar iko katika hali nzuri tu. na kila kitu kiko poa. Uchaguzi ulifanyika na CCm imeshinda na sijawahi kusikia CCM ilishindwa kwenye uchaguzi kwa Tume haikutangaza mshindi mwengine zaidi ya CCM. poleni sana karibuni 2020 mugombanie kwa ticket ya Chadema.
 
Zanzibar iko katika hali nzuri tu. na kila kitu kiko poa. Uchaguzi ulifanyika na CCm imeshinda na sijawahi kusikia CCM ilishindwa kwenye uchaguzi kwa Tume haikutangaza mshindi mwengine zaidi ya CCM. poleni sana karibuni 2020 mugombanie kwa ticket ya Chadema.

Endelea na ushabiki.

Unamuuliza mpika pilau eti umeweka chakula cha wapishi ? Maajabu leo Tume iliyoundwa na CCM , ikachaguliwa mwenyekiti kada wa CCM, Ifute uchaguzi wote bila ushahidi wowote wa maana kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM ambaye ni rais na amir jeshi Mkuu wa JMT, Halafu ujipe matumaini eti tume imtangaze mpinzani huo ni umwehu.

Mnachokifanya CCM bara na Zanzibar mnakijuwa wenyewe hapo hatujadili maana tunajuwa kuwa mmeapa hamtoi kwa vikaratasi vya kura sisi huko hatujadili. .

Hapa tunazungumzia hizi jumuiya za kimataifa ziko wapi au ndio zimeitelekeza Zanzibar ?
 
Hahahahahaa, wale wazanzibar wanaofanya umalaya nchi za kiarabu na UK pia ni tanganyika? wale walawiti wakubwa na mnasifia mtu kwa kulawiti watu je pia ni tanganyika. Naona vihwa vyenu mmevifunika kwenye vichaka vya ukoka.. huku pemba wanaongoza kwa kuharibu watoto wadogo pia ni Tanganyika?

Soma bila jaziba kile nilichokiandika na uisikilize clip with open mind baadaye ndiyo uandike
 
Mkuu mie naona suala la Zanzibar au hata mambo yanayoendelea kufukuta kwenye nchi za Kiafrika yanatakiwa kumalizwa na wananchi wa nchi husika kwa maridhiano na kuwa na utashi wa kisiasa. Haya mambo kupereka jumuhia za kimataifa hayatasaidia chochote hasa kama hakuna interest ya kiuchumi kwa hayo mataifa. Unakumbuka suala la Africa ya Kati wamechinjana mpaka wakapata akili ya kumaliza mambo yao wenyewe. Huku jumuhia hizo zipo lakini kwa kuwa hakuna interest za kiuchumi kwao hawana msaada.
Back to suala la Zanzibar, Seif alidanganyika (kudanganywa) kususia uchaguzi (hata kama ilikiwa na mushkel) akidhani jumuhia za kimataifa watakuja kumtoa Shein madarakani na kuwekwa yeye. Bora angekuwa na wabunge wake wa kuisemea kwenye baraza lao. Kwa hali hii ilivyo, Seif was the architect of his own downfall.

Kwani seif ndiye anayeingia kwenye uchaguzi au chama Ndio kinachoamua??
 
Zanzibar iko katika hali nzuri tu. na kila kitu kiko poa. Uchaguzi ulifanyika na CCm imeshinda na sijawahi kusikia CCM ilishindwa kwenye uchaguzi kwa Tume haikutangaza mshindi mwengine zaidi ya CCM. poleni sana karibuni 2020 mugombanie kwa ticket ya Chadema.

Ulishatoa mchango wa pesa za mafuta ya mwenge?
 
Ndio maana kukawa na "Party legacy" na maamuzi hufanywa kule Dodoma. Wenye malengo yao walijuwa hawatafanikiwa bila ya kuuwa ASP kwanza na kuunda CCM. Hapa ndipo inapokuja hoja ya Muungano na Mission ya Zanzibar. Nani aliyefanikisha kuuwa ASP na kuunda CCM wakati vyama havikuwa suala la Muungano ? Mtafuteni .
Bado wakulaumiwa ni wenyewe wazanzibari,usiende mbali sana katika utafutwaji wa vyama va siasa,juzi katika sakata la rasimu ya katiba mpya sio uliona vipi wazanzibari walivyogeukana pale Bungeni Dodoma..

Wazanzibari badala kwenda pale kama nchi iliyoungana na nchi nyengine,walikwenda pale dodoma kwa uchama na umimi katika ule mstakabali wa kutafuta katiba mpya..

Matatizo ya wazanzibari walioko madarakani (CCM)ni unafiki,njaa na uchu wa madaraka,lakini wakondoa hayo wakaaa wakaitetea Zanzibar basi watafanukiwa bado muda upo,..

Inasikitisha kuona hadhi ya Zanzibar kama nchi imepotea,elimu imepotea,uchumi umeanguka,na bado watanzaganyika wanazidi kuidhoofisha Zanzibar kiuchumi,..

Mfano kisa cha juzi cha uuzaji wa sukari ya Zanzibar kule Tanganyika,lakini bado wana ccm Zanzibar,propaganda na kasumba za mwarabu atarudi Zanzibar ziwajaa vichwani mwao,wanakwenda Bungeni Dodoma kuwaangukia miguu mabwana zao..
 
Back
Top Bottom