Usimlaumu ndio maana kwenye mtihani wengine lazima wapate alama "F".Tafadhali ingia kwenye mada kwa faida ya wengine.
Usimlaumu ndio maana kwenye mtihani wengine lazima wapate alama "F".Tafadhali ingia kwenye mada kwa faida ya wengine.
Mkuu kule Zenji Seif ndo chama chenyewe.Kwani seif ndiye anayeingia kwenye uchaguzi au chama Ndio kinachoamua??
Ukiona zimekaa kinywa ujue kila kitu kiko poa na wameridhika na hali iliyokuwepo hivi sasa. mlijitahidi kwenda kupiga picha umoja wa Mataifa na kuwadanganya jamaa zangu wa chokocho na Gando lakini matokeo yake ndiyo unayoyaona hivi sasa. siku zote njia ya muongo ni fupi.sijui hivi sasa anasema nini kwani kila baada ya miezi 3 maalim lazima awape drip misukule yake hahahahaa Kishada unakaribishwa ukongoroni njo unywe juice ya ukwajuEndelea na ushabiki.
Unamuuliza mpika pilau eti umeweka chakula cha wapishi ? Maajabu leo Tume iliyoundwa na CCM , ikachaguliwa mwenyekiti kada wa CCM, Ifute uchaguzi wote bila ushahidi wowote wa maana kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM ambaye ni rais na amir jeshi Mkuu wa JMT, Halafu ujipe matumaini eti tume imtangaze mpinzani huo ni umwehu.
Mnachokifanya CCM bara na Zanzibar mnakijuwa wenyewe hapo hatujadili maana tunajuwa kuwa mmeapa hamtoi kwa vikaratasi vya kura sisi huko hatujadili. .
Hapa tunazungumzia hizi jumuiya za kimataifa ziko wapi au ndio zimeitelekeza Zanzibar ?
Sijawahi kutoa na sitokuja kutoa.Ulishatoa mchango wa pesa za mafuta ya mwenge?
Sijawahi kutoa na sitokuja kutoa.
Wewe unaona vp kwani? wakati ni nkipofu?kumbe wewe ni wachumia tumbo tu ??? Utaona vipi mchana bila kumulika kwa mwenge
Seif kushiriki uchaguzi wa marudio ingekuwa sawa na kubariki uchafu wa Jecha. Uamuzi wa kutoshiriki ulibarikiwa na Wanzazibari wote.Mkuu mie naona suala la Zanzibar au hata mambo yanayoendelea kufukuta kwenye nchi za Kiafrika yanatakiwa kumalizwa na wananchi wa nchi husika kwa maridhiano na kuwa na utashi wa kisiasa. Haya mambo kupereka jumuhia za kimataifa hayatasaidia chochote hasa kama hakuna interest ya kiuchumi kwa hayo mataifa. Unakumbuka suala la Africa ya Kati wamechinjana mpaka wakapata akili ya kumaliza mambo yao wenyewe. Huku jumuhia hizo zipo lakini kwa kuwa hakuna interest za kiuchumi kwao hawana msaada.
Back to suala la Zanzibar, Seif alidanganyika (kudanganywa) kususia uchaguzi (hata kama ilikiwa na mushkel) akidhani jumuhia za kimataifa watakuja kumtoa Shein madarakani na kuwekwa yeye. Bora angekuwa na wabunge wake wa kuisemea kwenye baraza lao. Kwa hali hii ilivyo, Seif was the architect of his own downfall.
Oooooh.... So kinana na dr shein ni watu weupe? Matatizo yenu waafrika mnashindwa kuyatatua mnawasingizia watu wengine na ndo maana miaka na miaka matatizo hayaishi sababu ya kukosa akili za kutatua na badala yake kusingizia watu wengineUdini unatumika kila pahali duniani kuleta fitna, usiwaamini watu weupe kwenye mambo hayo.
Si mnatumurikia mwenge mchana umurike tupate kuona sisi vipofu kama mnavyotuambiaWewe unaona vp kwani? wakati ni nkipofu?
Mbona inatokea sana mkuu lakini kwa vile mpo karibu na shetani na hamtaki haki mnabiruwa matokeo, mwaka gani mlishinda? Ndio maana viongozi wenu siku za ijumaa wakiingia msikitini mnasusiwa msali wenyewe manaki ni wanafiki tuKumbe niingie! Haya sikia CUF hasa ile isiyotambuliwa na msajili ni kikundi chenye nia ya kumrudisha sultan tuliyempindua 1964.
Haita kuja itokea chama hicho kushinda uchaguzi
Kishada ni mawazo yako na Kizibao ni mawazo yake, Kishada usilazimishe mawazo yako ayakumbatie Kizibao. Hata mimi nasema Jamshid au jamaa zake hawatokuja kurudisha ufalme wa kiarabu hapa visiwa vya Zanzibar sahau kabisà bwana Kishada. Jumuia ya Kimataifa haitashughulika na upuudhi wa Maalimu Seif Sharifu Hamad kama ule unaorudiwarudiwa na Radio Swahiba FM Mbweni na kujibiwa na Raisi Shein kuwa wataanzia wapi na watamalizia wapi. kwa sasa ni serikali iliyopo ya CCM mpaka 2020.
Ukiona zimekaa kinywa ujue kila kitu kiko poa na wameridhika na hali iliyokuwepo hivi sasa. mlijitahidi kwenda kupiga picha umoja wa Mataifa na kuwadanganya jamaa zangu wa chokocho na Gando lakini matokeo yake ndiyo unayoyaona hivi sasa. siku zote njia ya muongo ni fupi.sijui hivi sasa anasema nini kwani kila baada ya miezi 3 maalim lazima awape drip misukule yake hahahahaa Kishada unakaribishwa ukongoroni njo unywe juice ya ukwaju
Asili ya muungano ni kuidhibiti ZNZ hapa ndipo kwenye kiini cha tatizo.
Asubiri 2019 atupe tena karata ya ursisi Zanzibar