- Thread starter
- #61
Muungano unapohusishwa na kudhoofisha Haki na demokrasia Zanzibar inafanana. Ule uchaguzi wa 2015 lilitumika jeshi letu (JWTZ) kuvamia kule kituo cha majumuisho Bwawani na Polisi kumchukua Makamo Mwenyekiti wa ZEC jaji Hamid na kumpeleka Kituoni , Hafla JECHA aliyewaambiwa wenzake kuwa alikuwa anaumwa na Tumbo siku hiyo kwa hivyo angeshindwa kuja Kazini kutangaza Matokeo ghafla akaonekana kwenye televisheni ya ZBC sehemu isiyojulikana akifuta uchaguzi peke yake.
Hata uchaguzi wa marudio kulionekana Vifaru vya JWTZ mitaani vikitisha watu.
Jeshi chombo cha muungano kilitumika kudhoofisha Haki za Watu kule Zanzibar. Huu MUUNGANO HUU .
Hata uchaguzi wa marudio kulionekana Vifaru vya JWTZ mitaani vikitisha watu.
Jeshi chombo cha muungano kilitumika kudhoofisha Haki za Watu kule Zanzibar. Huu MUUNGANO HUU .