Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,084
- 122,429
Hahahaaaa. Ndio wanasema inawezekana eti.Wote hao waongo. Ile kitu haivumiliki asee.. Ukikaa muda mrefu sana kuna wakat mpka inakakamaa. Labda kama ni oya oya au wanapuchuka. Kwa mwanaume kamili haiwezekani asee
Itakuwa labda hayo ya kukakamaa hawajakutana nayo bado.

