Miaka miwili bila kusex

Miaka miwili bila kusex

Kwani una miaka mingapi ndugu??, na hujafanya hiyo kitu kwa sababu gani? Ubaguzi wa rangi au umejiamulia tu mwenyewe?

Ila hongera
 
Mimi naomba unipe connection nami nije huko kujilipua...
Siriaz
Sikuwah kuwaza kama itatokea nikapitisha hata wiki bila kusex
Sasa natimiza Miaka miwili bila kukutana na Mwanamke kimwili baada ya kutoka Tanzania kuja kutafuta maisha nchi za kiarabu
 
ZOZA hao watoto wa kiarabu na wao pia wanapenda dushe ila uwe makini wanaweza wakakukata shingo AKA kukuchinja wakikugundua.

Sikuwah kuwaza kama itatokea nikapitisha hata wiki bila kusex
Sasa natimiza Miaka miwili bila kukutana na Mwanamke kimwili baada ya kutoka Tanzania kuja kutafuta maisha nchi za kiarabu
 
Kuna rafk yangu alienda china kusoma ,3yrs hakugegeda,..hata enz tuko chuo alikua domo zege kwel,so naamin kabsa hii inawezekana to some
 
ZOZA hao watoto wa kiarabu na wao pia wanapenda dushe ila uwe makini wanaweza wakakukata shingo AKA kukuchinja wakikugundua.
Ukinusurika kuchinjwa huku unarudishwa kwenu hivyo hivyo jinsi ulivyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna rafk yangu alienda china kusoma ,3yrs hakugegeda,..hata enz tuko chuo alikua domo zege kwel,so naamin kabsa hii inawezekana to some
Kaka kila kitu kinawezekana Kabisa Mie bongo nilivykuwepo ikipita Siku tatu au nne shemeji yko alikua lazima aniulize vipi Mzee kuna Tatizo au
 
kama umefanikiwa kufika huko pambana utoke wanawake watakuja tu
 
Sikuwah kuwaza kama itatokea nikapitisha hata wiki bila kusex
Sasa natimiza Miaka miwili bila kukutana na Mwanamke kimwili baada ya kutoka Tanzania kuja kutafuta maisha nchi za kiarabu
Huko ni vizuri ukatulia tu na ukizidiwa ni heri upige nyeto...ila ukiparamia dada zake na mtume utaambulia kufirwa tu.
 
We Una experience ya Miaka mingapi kukaa bila kufanya!??
Inategemea labda kama niko jela ntavumilia hata karne nzima
Lakini eti nipo mtaani naviona vimiss vilivyobinuka migongo vinapia ntaanzaje kuvumilia?
 
kwa hiyo wabongo hawapo huko...kama uliondoka hujawai sawa ila kama unajua mchezo lazimauwe na mastress hapo
 
Back
Top Bottom