Miaka mitatu michungu mtaani

Miaka mitatu michungu mtaani

Kuna kazi wametangaza advans bank deadline tar 2 february 2015 post ni finance assistant....
 
duh hizi kazi balaah, ni wakati sasa wa kusomea fani ambazo ni rahisi kujiari hasa ufundi ufundi kama vile umakanika,kompyuta,umeme,nk angalau unaweza kujiokotezea sarafu,ila hizo ambazo ni za kinadharia zaid labda uwe mwalimu
 
yaani hili Li Laki Sipesa sijui limelaaniwa?hv mtu unaweza ukawa na akili timamu ukatoa ishauri wa hvo? alaf utakuta lenyewe limeajiriwa kwa mhindi linafua c.h.u.p.i za kanjibai
 
Omba Mungu hapo maana teyar imeshajizihirisha kwa nguvu zako hutapata.. kila mahali utakapo peleka bahasha yakupasa kuombea kabla ya kuiacha.. Me ninaushahidi.. usikate tamaa utapata.. Mungu akutangulie!
 
omba hata nafasi za f6 uhamiaji,au zimamoto wanazotangazaga unaweza tokea huko amini usiamini mm nlifit mwaka na nusu na nlikua na kigugumizi jenga picha kwenye interview nlivyokua napata shda ila sikukata tamaa nlifanya aplications kama 150 na interview 15.,ambayo nlifanikiwa ilikua ya 16..,japo ma hr wengi walikua wananzarau na kunkeje5i ila sikukata tamaa, mwezi october 2014 nlipata kazi nzuri tena serikalini..,ila sitowasahau erolink,spanco,icon na wengne wengi walivyokua wakinyima kazi eti kwa kua nna kigugumizi....MUNGU awasaidie wote wanaotafuta kazi bila kukata tamaa

Pole mkuu kwa kunyanyasika ila hongera kwa kupata kazi
 
Mtie mimba binti wa jirani yako ndo akili ya kupata ajira itafunguka
 
kwani ukimwaga ndo unakuja chukua kitengo mkuu, jiandae kisaikolojia huku ni zaidi ya udhaniavyo.
zipompa
yani umekurupuka vibaya sana kijana, post yangu imeendana wazi na janga la mleta uzi, wewe kwa fikra zako za wivu umeona mimi kusema ''na sisi tunamwagwa mwezi wa sita umeona labda nimesema mwezi wa sita napata kitengo bandari'' mkuu usipanik, maisha ndo haya haya!
 
Last edited by a moderator:
zipompa
yani umekurupuka vibaya sana kijana, post yangu imeendana wazi na janga la mleta uzi, wewe kwa fikra zako za wivu umeona mimi kusema ''na sisi tunamwagwa mwezi wa sita umeona labda nimesema mwezi wa sita napata kitengo bandari'' mkuu usipanik, maisha ndo haya haya!
hahahahha yaani nkuonee wivu, sikujui unijui utakuwa na matatizo mkuu
 
Dah pole sana mkuu! Huo ndo uhalisia wa maisha yetu watanzania. Usichoke, keep praying as much as it can be done. Chengine, kwa sisi wengine wengine huwa tunaamini endapo sehemu moja maisha yamekushinda ni vyema uhame ukaombe Mungu mahala kwengine, so na mm nakushauri hivyo.

Pia, inaweza ikatokea issuez ambazo ww utakua over qualified, please ziombe hizo. Sie wengine huwa tunaamini kwamba first you get into the system, then channels will follow you.

Keep moving mdau,

Pamoja
 
pole saana Kamanda mm pia nilikaa kitaa miaka ka 2 na bsc ya engineering Mungu si athuman sikukata tamaa nimekuja paa shafu Oilfield Service bila mchongo daily nasafr nje na mafunzo ya kutosha USIKATE TAMAA
 
Hawa wapuuzi wanasema tujiajiri mbona wao hawajajiajiri!waondoke maofisini wakajiajiri na sisi tuchukue nafasi zao
 
Wana jukwaa habari...nina miaka mitatu sijapata kibarua...nimeanza kupanick...nimejaribu kila njia kutafuta kazi, omba sana matangazo mbali mbali, mpaka ela ya bundle application, kufanya certification vyeti nauli za kuzunguka zinanipiga chenga, ombi langu msaada hata kujitolea sehemu nina Bach in Finance, sichagui kazi! Nimetamani na kujaribu kujiajili ila kama ilivyo kawaida kwa watanzinia wengi mtaji umekua kikwazo. Nakaribisha mawazo pia kama kuna sehemu nina kosea nirekebishe Natanguliza shukrani

Bachelor ya Finance mwaka wa tatu upo kitaa!!!!!!!!!!!!! mwananangu huna shida nyingine ianonekana elimu yako ni desa oriented ila upgrade yourself man penda sana kusoma vitabu, najua hapa tatizo ni uwoga na kujieleza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom