Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Rais na kiongozi makini huwezi kujitapa hadharani kuwa ulipiga picha na Rhihana alafu unasikitika kutopatiwa picha hiyo uliyopiga.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.
Wakati wewe ukiwa madarakani rushwa na ufisadi ulitamalaki. Umasikini na maisha duni yakawa ndio jambo la kawaida. Maana akina Lugumi waliiba mali za umma huku ukichekelea mijino pembe wewe na Riz.
Hayati JPM katawala miaka tano tu. kakusanya mapato. Kajenga vituo vya afya kibao, hospital kibao. Pia kadhibiti mianya ya rushwa mpaka yakatokea yaliyomkuta. Hatukusikia kwenda USA kuuza sura na akina Rhihana.