chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Huwezi kukubali ila kubali sababu sayansi ndio imekufikisha hapa unatumia JF.
Solar system tunayoisoma leo ilikuwa tofauti miaka bilioni 3.8 kabla ya dunia tuliyopo. DUNIA ilijikuta baada ya mabadiliko ya kianga kukumbwa na meteor zilizobadilisha muonekano wa solar system.
Kiufupi tuite kwa ujumla mawe, mawe makubwa ambayo yalikuja kubadilisha sayari nyingi zilizopo kama kila moja tukianza kuleza tutajaza JF.
Miaka bilion 3.8 solar system ilikuwa sio pana
ukilanganisha na leo. sababu inayopelekea kutanuka ni mabadiliko ya umri wa jua unavozidi kuishi mpaka utakopofikia tamati.
miaka bilion5 huko mbele jua litakapo kuwa linaishiwa nguvu na kuwa red star basi sayari yetu dunia itakuwa karibu na jua na ukanda ambao unaitwa habitable zone yani unaweza kuishi kiumbe kwa mazingira yoyote utakuwa umesogea kufikia uranus.
Picha ya iliyofanyiwa tafiti kulingana na chunguzi katika mfano wa taswira.
Solar system tunayoisoma leo ilikuwa tofauti miaka bilioni 3.8 kabla ya dunia tuliyopo. DUNIA ilijikuta baada ya mabadiliko ya kianga kukumbwa na meteor zilizobadilisha muonekano wa solar system.
Kiufupi tuite kwa ujumla mawe, mawe makubwa ambayo yalikuja kubadilisha sayari nyingi zilizopo kama kila moja tukianza kuleza tutajaza JF.
Miaka bilion 3.8 solar system ilikuwa sio pana
ukilanganisha na leo. sababu inayopelekea kutanuka ni mabadiliko ya umri wa jua unavozidi kuishi mpaka utakopofikia tamati.
miaka bilion5 huko mbele jua litakapo kuwa linaishiwa nguvu na kuwa red star basi sayari yetu dunia itakuwa karibu na jua na ukanda ambao unaitwa habitable zone yani unaweza kuishi kiumbe kwa mazingira yoyote utakuwa umesogea kufikia uranus.
Picha ya iliyofanyiwa tafiti kulingana na chunguzi katika mfano wa taswira.