Miaka 8 bila kutongozwa

Miaka yote hiyo nyufa inaweza kuwa imegandana au buibui kibao... na ile kitu isipotumika sana huwa na Bakteria hatari mwanaume akiingia lazima awabebe na kumsumbua
unafk



unaongea vitu vya uongo bila utafit toka hapa huna lolote hizo taarifa umezitoa wap
 
Miaka yote hiyo nyufa inaweza kuwa imegandana au buibui kibao... na ile kitu isipotumika sana huwa na Bakteria hatari mwanaume akiingia lazima awabebe na kumsumbua
unafk



unaongea vitu vya uongo bila utafit toka hapa huna lolote hizo taarifa umezitoa wap
 
mwambie awe social....acjidai dai...
 
Niko serious mm mwenyewe nna miaka 7 sijatongoza.namkaribisha pm
 
unafk



unaongea vitu vya uongo bila utafit toka hapa huna lolote hizo taarifa umezitoa wap
Hutaki? unataka nikuambie kuwa Taarifa hizo nimetoa kwa dadako? mkuu maswali mengine usidadisi sana... Kasome Shule utaelewa Bakteria kwenye Uke wakikaa sana nini kinatokea baadae...
 
Hoja rahisi atongoze yeye mwenyewe. Tatizo Africa eti mpaka atongoze mwanaume !!? Atongoze yeye
 
Atakuwa mmoja wa wale mademu wenye ndevu, siipendi midemu yenye ndevu hata kuisemesha tu uongo!
 
Amepigwa kimavi. Omba omba Dana watu wao sembuse yy. ?.
 
Jibu limekwisha tolewa ana mume wa kiroho ,muulize kama ana hamu ya kugegedwa ,je amesha wahi kupenda mwanaume ghafla ikabadilika. Majibu mawili yatakupa muelekeo
 
Jibu limekwisha tolewa ana mume wa kiroho ,muulize kama ana hamu ya kugegedwa ,je amesha wahi kupenda mwanaume ghafla ikabadilika. Majibu mawili yatakupa muelekeo
Sasa afanyeje
 
Hutaki? unataka nikuambie kuwa Taarifa hizo nimetoa kwa dadako? mkuu maswali mengine usidadisi sana... Kasome Shule utaelewa Bakteria kwenye Uke wakikaa sana nini kinatokea baadae...
Punguza hasira kijana just be cool
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…