leprincess
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 282
- 456
Duh nilijua wewe ni MeMnataka nikamtongoze mwanamke mwenzangu?halafu tufanye nini sasa?
Anadai tangu anaanza la kwanza hadi la Saba, hakutongozwa, kaenda form one hadi four shule ilikuwa mchanganyiko hakuwahi hata kujaribiwa hata kwa utani kutongozwa, kaenda form five hadi six tena boarding mchnganyiko nako PIA hakutongozwa hadi anamaliza.Miaka 8? Wanatongozwa kina Wendy Williams, Gabourey Sidibe, Miss Nat...nvm, yeye kakosa nini?
Eeenh dah huyo Kifutu ana bahati zake asije kuwa katumia bwata ndoa hazidumugi... na wengine hununua Ndoa tu akishazaa mume atafute zake dah! Canada Matinginya ndio yanateseka na pa kukimbilia ni kwa wanaume Weusi... Sema wanakuwa ni ma Sugarmami..... Bongo Masugarmami nayo yanadeka kama vimodel kha!Bwana usiseme hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna wanaume wanapenda hao vibonge, nna rafiki yangu ni kifutu haswaaa ila kaolewa juzi kati hapo.
Mkuu hiyo sentensi ya mwisho naimani ndio lilikuwa lengo lako kuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwambie upunguze unene watu sikuhizi kutongoza matinginya ya nini? Mazoezi afanye hadi apungue na aache mambo ya kidume dume ndio maana haeleweki.
Atoe offer kwanza aone kama watu pia watakauka au lah... Nipe Namba yake
Naomba contact zake,,uaweza kuja kuja kushiriki partHivi jamani inakuwaje binti akae muda wote huo bila kutongozwa?
Binti kakamilika kila idara, shepu pia ipo, kazi inayomwongizia kipato anayo tatizo analalamika hatongozwi, anadai katika maisha yake yote katongozwa Mara 2 Tu . Umri umeenda sasa anahitaji mume la kumuweka ndani hapati maana hata wa kumtongoza hayupo.
Kweli nasema sidanganyi, sion sababu ya kufanya hivo
Hebu nipe namba yake nianze kitupia mistari kidogo kidogo aiseeHivi jamani inakuwaje binti akae muda wote huo bila kutongozwa?
Binti kakamilika kila idara, shepu pia ipo, kazi inayomwongizia kipato anayo tatizo analalamika hatongozwi, anadai katika maisha yake yote katongozwa Mara 2 Tu . Umri umeenda sasa anahitaji mume la kumuweka ndani hapati maana hata wa kumtongoza hayupo.
Duh sawa afanyeje