Miaka 8 bila kutongozwa

Amshukuru munhu wake kwa kumuepusha na wadanganyi na wazinz,,,aendelee hvyo hvyo mpka mwsho,,lakin je nyuzi anazo au?
 
We mwenyewe mkuu umeshindwa kumtongoza, atakua na matatizo yake
 
Bushland si ungemtongoza wewe au ni ndugu yako? na kwa maana hiyo ina maana hajadinywa kipindi chote hicho?
 
Wewe umeshindwa nini mpaka uje utuambie sisi, BE A MAN
 
Jinsi ulivoileta mada watu wamejua ni dume ndio maana ukaambiwa kwa nini usimtongoze wewe.
 
Hana mkosi wowote huyo ww weka mawasiliano yake uone wadau watakavyomparamia hadi atakosa wa kuchagua
 
Anachagua wanaume kama mamdogo wangu hatimae alikuja kuzalishwa na kajamaa ka ajabu mambo ya ndoa ndo ikawa basiiiii
 
NIPE NAMBA YA HUYO DADA
 
weka picha zake humu ili tuthaminishe kama yuko vzr
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…