Kwa kusema ukweli hii ni aibu kubwa nchi kutimiza miaka hamsini ya uhuru huku wananchi wake wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.mbunge wa kwela nae kathubutu kumkoromea diwani na kusema miaka 5 unakaa na shule ya namna hii,tokea nimezaliwa sijawahi kuona shule ya namna hii tokea nimezaliwa.ndo tuseme "tumethubutu,tumeweza na tunasonga mbele?"wadau...kazi kwetu!nawasilisha.