MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Watanzania tumetoka mbali sana ninakumbuka mzaz alikuwa akitaka kwenda kununua nguo zangu au viatu vyangu vipya vya sikukuu. Basi atachukuwa tepu na kunipima hata kama hakusomea ufundi wa kushona au atachukuwa karatas na kuchora mguu wangu alafu anakwenda navyo dukan kukununulia. Akirud kama kidogo atapewa nduguyo au kama kikubwa utavaa hata kama ninakubana je wewe miaka 50 iliyopita unakumbuka nini