Okuberwa
Member
- Mar 17, 2011
- 68
- 34
Dogo hapo kwenye TV amenichekesha kusema Nape Kalegea ni Chifu mangungu Mbwa asiye na Meno ..
Inamaana anabweka tu bwa bwa bwa jiondoe mwenyewe.. nani ajiondoe wewe nape... fukuzeni mafisadi tuanze kuwapenda tena msimamie nchi vyema...
Hiyo ndiyo hali halisi mkuu!