Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,615
Dr Bana una maana gani Kama msomi kusema hakuna chama mbadala cha kushika dola kwa sasa...fafanua?
Yahya soma maswali vizuri, muuliza swali Makamuzi anasema Je Nape anakiri kuwa CDM inawapa changamoto? Siyo vyama vya upinzani upinzani!