Miaka 30 ya Bongo flavor

Miaka 30 ya Bongo flavor

karonga

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2017
Posts
770
Reaction score
1,268
Hili tamasha la miaka 30 ya bongo fleva limeibua mambo mengi tusioyajua, ni bora kusikiliza zile nyimbo zao za zamani kuliko kuwasikiliza hawa wasanii,

Sauti zao zimepotea kabisa, sijui ni uzee au washazilia unga, bangi na pombe sielewi, ninachojua ni kuwa Dudu baya ndie pekee mwenye sauti yake tatizo wamempa nyimbo moja tu pamoja na kusindikizwa na mishangazi kuingia ulingoni, sijui walikuwa wanaogopa asije kinukisha 🤣🤣🤣
 
Tofautisha live na sauti iliyopitishwa kwenye vyombo. Mimi binafsi naenjoy hata kama sauti zimeanza kukata. Karibu hapa roookeeeyCIRI kukicha supu ya sato
 
Tofautisha live na sauti iliyopitishwa kwenye vyombo. Mimi binafsi naenjoy hata kama sauti zimeanza kukata. Karibu hapa roookeeeyCIRI kukicha supu ya sato
Niko hapa
Magari barabarani na stendi zote za karbu zmejaa hadi wamepeleka hapn furahisha
 
Back
Top Bottom