Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,569
- 16,017
Wanafanana kabisaMark mwandosya eti hear say
Wanafanana kabisaMark mwandosya eti hear say
Samahani Paskali hapo ulipoandika VC ndio umemaanisha makamu wa rais?Amini nakuambia, mshahara wa watumishi wa serikali hautoshi!, mfano Mshahara wa mtumishi wa umma No. 1 Tanzania, (Rais wa JMT) ni TZS.9,500,000!, VC, 8,500,000, PM, 7,500,00, Ma KM, Mawaziri, wabunge wakurugenzi etc, ni chini ya hapo. Nyerere alikuwa na watoto 8, na big extended family pale Msasani, akajipunguzia mshahara, sasa kwa mshahara huo unategemea mtu angefanya nini?.
Ukiwa mzalendo wa kweli huwazi nyumba, unawaza nchi. Watu wa Nyerere wengi wamekufa masini wa kutupwa!. Enzi hizo kuliko na miiko ya uongozi, kiongozi haeuhusiwi kufanya biashara yoyote!.
P
Waliuziwa hiizo kipindi cha Mkapa
Ok! Kuna mtu anasema alifariki vitani, sijui kwavile alikuwa mjeshi ndio maana akasema hivyoPresha
Vita ya wapi 2001,alikuwa ameshastaafu,alikuwa ameshazeeka na miaka 64Ok! Kuna mtu anasema alifariki vitani, sijui kwavile alikuwa mjeshi ndio maana akasema hivyo
Braza brazani the Pass to go.Mayala blaza yupi tena?
Wewe unamkubali Shetwain?Duh Ila Jiwe Superstar, anatajwa kwenye huu Uzi sijui kaingiaje!!!
Ukiona hivyo ujue walikuwa wanamkubali kiaina.
Labda Afghanistan, ila kama alistaafu basi itakuwa preshaVita ya wapi 2001,alikuwa ameshastaafu,alikuwa ameshazeeka na miaka 64
Kitanda hakizai haramu!Kuna wakati kumbukumbu hii miaka ya nyuma ilileta mtafaruku humu, baada ya Tangazo la familia kuwataja watoto wa marehemu, huku mtoto mmoja akiwekwa kando, kwa hoja alikuwa ni mtoto wa nje!. Na Mungu alivyo mkubwa, lile jiwe Walilolikataa waashi wa familia, likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!. Leo anayeliishi jina la Mnauye ndie yule aliyekataliwa, halafu hao watoto wa ndani, are nobodies!.
P
Uzi huu wa Kumbukumbu ya Brg.Mnauye ni kielelezo tosha cha kuanza kupoteza Kwa mwelekeo wa Jukwaa hili.
Kuanzia Kwa mleta Uzi na wachangiaji wote wameshindwa kuanisha au kuchangia maudhui ya hiyo Kumbukumbu ya Mstaafu huyu!
Ilitarajiwa mleta mada atuambie Kwanini kulifanyika Kumbukumbu hii,kulijadiliwa Nini,na na nani!
Hapa tulitarajiaa kujua Huyu mzee alikuwa naani,alifanya Nini amabacho kizazi Cha Leo king3jifunza!
Nafikiri hata Kumbukizi yalijadiliwa hayo!
Matokeo yake tunasoma ...Hakuwa na nyumba,alikiwa mlevi, watoto was nje nk!
Kwa kijana ambaye hakuwai kumjua au kUmsoma angejifunza kitu gani kupitia Uzi huu!
Cha kisikitisha na kukera hata member wakongwe was Jf,wasomi na waandishi wa habari nao wameishia kueleza kuwa huyu mtu hakuwa na nyumba,alikuwa moto chini ...na mambo meengine ya kifamilia...Hakika huu ni upuuzi was kiwango Cha juu!
Huu Uzi ulitakiwa upelekwe JUKWAA LA UMBEYA NA UDAKU!
Na wazazi wako wanafurahia huko waliko.Jiwe huko aliko anateseka tu
Kuna watu Wana CV nzito,MIAKA 20 KIFO CHA BRIG GEN MOSES NNAUYE
Viongozi mbali mbali wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar, waasisi wa TANU na ASP, wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wastatafu, Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba, Mawaziri Wastaafu, Makatibu Wakuu Wakuu Wastaafu wa CCM (Kinana, Makamba na Mkama), Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka, Wabunge na viongozi kadhaa wa vyama vya siasa Jumapilli 5 Desemba, 2021 wakiongozwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete, wamehudhuria Kongamano Maalum la kumbukizi ya Miaka 20 ya kifo cha Marehemu Brig. Gen. Moses Nnauye yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
#Wazeenihazina
#TuwaenziView attachment 2034254View attachment 2034255View attachment 2034256View attachment 2034257View attachment 2034258
Ulitaka waazimishe mwaka mmoja wa kifo Cha diktetaAna umuhimu gani huyo Nnauye?
Magenge ya cabals haya yaliyojimilikisha nchi kiharamia hayana tija kwa taifa la leo!
Ujinga mtupu!
Alikuwa msanii wa jeshi... mhamasisahaji akiwa jeshini alikuwa na Lt Makamba.Uzi huu wa Kumbukumbu ya Brg.Mnauye ni kielelezo tosha cha kuanza kupoteza Kwa mwelekeo wa Jukwaa hili.
Kuanzia Kwa mleta Uzi na wachangiaji wote wameshindwa kuanisha au kuchangia maudhui ya hiyo Kumbukumbu ya Mstaafu huyu!
Ilitarajiwa mleta mada atuambie Kwanini kulifanyika Kumbukumbu hii,kulijadiliwa Nini,na na nani!
Hapa tulitarajiaa kujua Huyu mzee alikuwa naani,alifanya Nini amabacho kizazi Cha Leo king3jifunza!
Nafikiri hata Kumbukizi yalijadiliwa hayo!
Matokeo yake tunasoma ...Hakuwa na nyumba,alikiwa mlevi, watoto was nje nk!
Kwa kijana ambaye hakuwai kumjua au kUmsoma angejifunza kitu gani kupitia Uzi huu!
Cha kisikitisha na kukera hata member wakongwe was Jf,wasomi na waandishi wa habari nao wameishia kueleza kuwa huyu mtu hakuwa na nyumba,alikuwa moto chini ...na mambo meengine ya kifamilia...Hakika huu ni upuuzi was kiwango Cha juu!
Huu Uzi ulitakiwa upelekwe JUKWAA LA UMBEYA NA UDAKU!
Ni kama Paskali ameanza kuishiwa, ukisoma anachokiandika hata kuhusu mwendazake ambaye siku zote amekuja akimkubali, utafikir acc yake imehakiwa, lkn ukweli ni kwamba P anataka aonekane na kundi Fulani la SASA ambalo ndo limeshikilia nchi kuwa wako pamoja, tumesha mshitukia, P siyo wa kuandika udaku kma huu.Uzi huu wa Kumbukumbu ya Brg.Mnauye ni kielelezo tosha cha kuanza kupoteza Kwa mwelekeo wa Jukwaa hili.
Kuanzia Kwa mleta Uzi na wachangiaji wote wameshindwa kuanisha au kuchangia maudhui ya hiyo Kumbukumbu ya Mstaafu huyu!
Ilitarajiwa mleta mada atuambie Kwanini kulifanyika Kumbukumbu hii,kulijadiliwa Nini,na na nani!
Hapa tulitarajiaa kujua Huyu mzee alikuwa naani,alifanya Nini amabacho kizazi Cha Leo king3jifunza!
Nafikiri hata Kumbukizi yalijadiliwa hayo!
Matokeo yake tunasoma ...Hakuwa na nyumba,alikiwa mlevi, watoto was nje nk!
Kwa kijana ambaye hakuwai kumjua au kUmsoma angejifunza kitu gani kupitia Uzi huu!
Cha kisikitisha na kukera hata member wakongwe was Jf,wasomi na waandishi wa habari nao wameishia kueleza kuwa huyu mtu hakuwa na nyumba,alikuwa moto chini ...na mambo meengine ya kifamilia...Hakika huu ni upuuzi was kiwango Cha juu!
Huu Uzi ulitakiwa upelekwe JUKWAA LA UMBEYA NA UDAKU!
Hallooooo.....njoo huku Poti.Kuna wakati kumbukumbu hii miaka ya nyuma ilileta mtafaruku humu, baada ya Tangazo la familia kuwataja watoto wa marehemu, huku mtoto mmoja akiwekwa kando, kwa hoja alikuwa ni mtoto wa nje!.
Na Mungu alivyo mkubwa, lile jiwe Walilolikataa waashi wa familia, likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!. Leo anayeliishi jina la Nnauye ndie yule aliyekataliwa, halafu hao watoto wa ndani, are nobodies!.
P
Jiwe alizungukwa na wanafiq wengi sana
Brother,Kuna wakati kumbukumbu hii miaka ya nyuma ilileta mtafaruku humu, baada ya Tangazo la familia kuwataja watoto wa marehemu, huku mtoto mmoja akiwekwa kando, kwa hoja alikuwa ni mtoto wa nje!.
Na Mungu alivyo mkubwa, lile jiwe Walilolikataa waashi wa familia, likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!. Leo anayeliishi jina la Nnauye ndie yule aliyekataliwa, halafu hao watoto wa ndani, are nobodies!.
P
Kama mzee alikuwa na wanaharamu wa kutosha unauliza tena mshahara alikuwa anapeleka wapi?Kwani ukiwa mzalendo ndio hulipwi mshahara, au mshahara unapeleka wapi?