Hata hapo kwa Makamba si ni nyumba ya serikali pia? Si yalikuwa ni makazi ya Rc? Au sivyo?Huyu mzee hakuacha hata kibanda,hakuwahi kumiliki nyumba iwe duniani au mbinguni,siku anakufa tulikosa sehemu ya kufunga maturubai na kufanyia msiba tukaenda nyumbani kwa makamba
Mark mwandosya eti hear sayIlisemekana kuwa Marehemu alibambikiwa na kuwa Biological father ni Profesa fulani hivi mpole mpole kutoka Nyanda za Juu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hii akaunti ya Pascal sijui kama anaandika PascalNyamaza, hujui kitu wewe, mwenzako saa hizi ndie Mkuu wa malaika.
P
Huyu mzee hakuacha hata kibanda,hakuwahi kumiliki nyumba iwe duniani au mbinguni,siku anakufa tulikosa sehemu ya kufunga maturubai na kufanyia msiba tukaenda nyumbani kwa makamba
SwadaktaaaMark mwandosya eti hear say
Hayo mambo ya kubambikiwa sio mambo!. Hata Chief Burito, ilisemekana alibambikiwa!. Bi mdogo alitoroshwa na mchunga ng'ombe wao wa Kitusi, akatorokea Usukumani. Chifu alipomfuata akaambiwa it's too late, tayari kuna kiumbe!. Chifu hakujali akabeba mzigo wake na kiumbe chake. Hivyo kichanga kikazaliwa kwa Chifu. Hata yule Blaza, inasemekana lile jina ni la baba wa kufikia!.
P
Hayo mambo ya kubambikiwa sio mambo!. Hata Chief Burito, ilisemekana alibambikiwa!. Bi mdogo alitoroshwa na mchunga ng'ombe wao wa Kitusi, akatorokea Usukumani. Chifu alipomfuata akaambiwa it's too late, tayari kuna kiumbe!. Chifu hakujali akabeba mzigo wake na kiumbe chake. Hivyo kichanga kikazaliwa kwa Chifu. Hata yule Blaza, inasemekana lile jina ni la baba wa kufikia!.
P




duuh kwanini?Huyu mzee hakuacha hata kibanda,hakuwahi kumiliki nyumba iwe duniani au mbinguni,siku anakufa tulikosa sehemu ya kufunga maturubai na kufanyia msiba tukaenda nyumbani kwa makamba
Naona sahv wazee wananeemekaFire Extinguisher Zipo Wapi
Naona Watu Wanawasha Moto Taratibu
Kwani alikuwa hana kwake, msiba ufanyike kwa Makamba!RIP
Nakumbuka msiba ulifanyikia kwa mzee Makamba Dar es salaam!
Kumbe Mbunge Nnauye ni mtoto haramu au ni mtoto yupi ni mtoto wa nje ya ndoa!Kuna wakati kumbukumbu hii miaka ya nyuma ilileta mtafaruku humu, baada ya Tangazo la familia kuwataja watoto wa marehemu, huku mtoto mmoja akiwekwa kando, kwa hoja alikuwa ni mtoto wa nje!. Na Mungu alivyo mkubwa, lile jiwe Walilolikataa waashi wa familia, likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!. Leo anayeliishi jina la Mnauye ndie yule aliyekataliwa, halafu hao watoto wa ndani, are nobodies!.
P
Unataka kutwambia yule aliye tole wa bastola kumbe ni bao la njeeKuna wakati kumbukumbu hii miaka ya nyuma ilileta mtafaruku humu, baada ya Tangazo la familia kuwataja watoto wa marehemu, huku mtoto mmoja akiwekwa kando, kwa hoja alikuwa ni mtoto wa nje!. Na Mungu alivyo mkubwa, lile jiwe Walilolikataa waashi wa familia, likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!. Leo anayeliishi jina la Mnauye ndie yule aliyekataliwa, halafu hao watoto wa ndani, are nobodies!.
P
Kwake wapi?Kwani alikuwa hana kwake, msiba ufanyike kwa Makamba!
Ni kama le mutuz!Kumbe Mbunge Nnauye ni mtoto haramu au ni mtoto yupi ni mtoto wa nje ya ndoa!
Mdingi alikuwa mselamavi kinoma.Kwani alikuwa hana kwake, msiba ufanyike kwa Makamba!