Miaka 20 kifo cha Brig. Gen Moses Nnauye

Miaka 20 kifo cha Brig. Gen Moses Nnauye

Kwani ukiwa mzalendo ndio hulipwi mshahara, au mshahara unapeleka wapi?
Amini nakuambia, mshahara wa watumishi wa serikali hautoshi!, mfano Mshahara wa mtumishi wa umma No. 1 Tanzania, (Rais wa JMT) ni TZS.9,500,000!, VP, 8,500,000, PM, 7,500,00, Ma KM, Mawaziri, wabunge wakurugenzi etc, ni chini ya hapo.

Nyerere alikuwa na watoto 8, na big extended family pale Msasani, akajipunguzia mshahara, sasa kwa mshahara huo unategemea mtu angefanya nini?

Ukiwa mzalendo wa kweli huwazi nyumba, huwazi mali, unawaza nchi. Watu wa Nyerere wengi wamekufa masikini wa kutupwa!. Enzi hizo za miiko ya uongozi, kiongozi haruhusiwi kumiliki mali kwa kufanya biashara yoyote!.

P
 
Uzi huu wa Kumbukumbu ya Brg.Mnauye ni kielelezo tosha cha kuanza kupoteza Kwa mwelekeo wa Jukwaa hili.

Kuanzia Kwa mleta Uzi na wachangiaji wote wameshindwa kuanisha au kuchangia maudhui ya hiyo Kumbukumbu ya Mstaafu huyu!
Ilitarajiwa mleta mada atuambie Kwanini kulifanyika Kumbukumbu hii,kulijadiliwa Nini,na na nani!

Hapa tulitarajiaa kujua Huyu mzee alikuwa naani,alifanya Nini amabacho kizazi Cha Leo king3jifunza! Nafikiri hata Kumbukizi yalijadiliwa hayo!

Matokeo yake tunasoma ...Hakuwa na nyumba,alikiwa mlevi, watoto was nje nk! Kwa kijana ambaye hakuwai kumjua au kUmsoma angejifunza kitu gani kupitia Uzi huu!

Cha kisikitisha na kukera hata member wakongwe was Jf,wasomi na waandishi wa habari nao wameishia kueleza kuwa huyu mtu hakuwa na nyumba,alikuwa moto chini ...na mambo meengine ya kifamilia...Hakika huu ni upuuzi was kiwango Cha juu!

Huu Uzi ulitakiwa upelekwe JUKWAA LA UMBEYA NA UDAKU!
 
Uzi huu wa Kumbukumbu ya Brg.Mnauye ni kielelezo tosha cha kuanza kupoteza Kwa mwelekeo wa Jukwaa hili. Kuanzia Kwa mleta Uzi na wachangiaji wote wameshindwa kuanisha au kuchangia maudhui ya hiyo Kumbukumbu ya Mstaafu huyu...
The dark side ya mtu pia ni somo ,inatukumbusha kujenga na kupunguza starehe,starehe zinaua
 
Kwani ukiwa mzalendo ndio hulipwi mshahara, au mshahara unapeleka wapi?

..wazee waliohudumu wakati wa mwalimu nyerere walikuwa na mishahara midogo.

..pia kulikuwa na miiko ya uongozi ambapo viongozi walikuwa hawaruhusiwi kuwa na " mishahara miwili. "

..Yaani ukiwa mtumishi wa umma, au.mkuu wa idara serikalini, huruhusiwi kuwa na mradi binafsi, kwa mfano; daladala, au nyumba ya kupangisha.

..Na wazee wengi wa miaka ile walibarikiwa watoto wengi. Nadhani on average walikuwa na familia za watoto watano, pamoja na extended family.

..hapa nazungumzia wazee waliotumikia na kustaafu ktk awamu ya kwanza. Wengi walistaafu wakiwa hawana nyumba, au wana nyumba ambazo ujenzi haujakamilika.

..Na hali hiyo ilikuwa haichagui kwamba mhusika alikuwa waziri, katibu mkuu, au mkuu wa idara.

..wakati wa Mzee Mwinyi ndipo miiko ya uongozi ilipolegezwa, na viongozi na watumishi wa umma wakaweza kuwa na vimiradi vidogo vidogo majumbani kwao.

..hapo sasa ndipo baadhi wakaanza kufuga ng'ombe, kuku, kumiliki daladala, n.k.

..Kipindi cha Mzee Mwinyi ndipo watumishi wa umma walianza kutajirika, au kujitajirisha, kupitia nafasi zao.
 
..wazee waliohudumu wakati wa mwalimu nyerere walikuwa na mishahara midogo.

..pia kulikuwa na miiko ya uongozi ambapo viongozi walikuwa hawaruhusiwi kuwa na " mishahara miwili. "

..Yaani ukiwa mkuu wa idara serikalini huruhusiwi kuwa na mradi kwa mfano daladala, au nyumba ya kupangisha.

..Na wazee wengi wa miaka ile walibarikiwa watoto wengi. Nadhani on average walikuwa na familia za watoto watano, pamoja na extended family.

..hapa nazungumzia wazee waliotumikia na kustaafu ktk awamu ya kwanza. Wengi walistaafu wakiwa hawana nyumba, au wana nyumba ambazo ujenzi haujakamilika.

..Na hali hiyo ilikuwa haichagui kwamba mhusika alikuwa waziri, katibu mkuu, au mkuu wa idara.

..wakati wa Mzee Mwinyi ndipo miiko ya uongozi ilipolegezwa, na viongozi na watumishi wa umma wakaweza kuwa na vimiradi vidogo vidogo majumbani kwao.

..hapo sasa ndipo baadhi wakaanza kufuga ng'ombe, kuku, kumiliki daladala, n.k.

..Kipindi cha Mzee Mwinyi ndipo watumishi wa umma walianza kutajirika, au kujitajirisha, kupitia nafasi zao.
I see!
 
Hata hapo kwa Makamba si ni nyumba ya serikali pia? Si yalikuwa ni makazi ya Rc? Au sivyo?

Mzee Mnauye si alikuwa anakaa upanga nyumba za NHC? Na mzee Malecela mpaka leo si ana flat Upanga sea view za National housing?

Sofia Simba si anakaa National housing flat nyuma ya Tambaza upanga?

Hizi tamaa zenu za kifisadi kujenga mahekalu sijui nani aliwafundisha tabia hizi.

Mzee Nnauye hakuwa mjinga aliishi kwa haki na kiasi.

Sophia anakaa zake bahari beach nyumba ya upanga anakaa mwanae
 
Huyu mzee hakuacha hata kibanda,hakuwahi kumiliki nyumba iwe duniani au mbinguni,siku anakufa tulikosa sehemu ya kufunga maturubai na kufanyia msiba tukaenda nyumbani kwa makamba
Alifariki ghafla?
 
Hata hapo kwa Makamba si ni nyumba ya serikali pia? Si yalikuwa ni makazi ya Rc? Au sivyo?

Mzee Mnauye si alikuwa anakaa upanga nyumba za NHC? Na mzee Malecela mpaka leo si ana flat Upanga sea view za National housing?

Sofia Simba si anakaa National housing flat nyuma ya Tambaza upanga?

Hizi tamaa zenu za kifisadi kujenga mahekalu sijui nani aliwafundisha tabia hizi.

Mzee Nnauye hakuwa mjinga aliishi kwa haki na kiasi.
Waliuziwa hiizo kipindi cha Mkapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom