Mudi_kidato
Senior Member
- Sep 6, 2019
- 145
- 183
- Thread starter
- #41
Sasa tutoe mda gani boss nisaidie week au mweziHuwezi kumpa mtu guarantee ya miaka 2 kuwa ataongea bure hasa kwa mambo ya mtandao maana kama kuna kitobo anytime linazibwa
Sasa tutoe mda gani boss nisaidie week au mweziHuwezi kumpa mtu guarantee ya miaka 2 kuwa ataongea bure hasa kwa mambo ya mtandao maana kama kuna kitobo anytime linazibwa
Ndo nimepost leo mkuu naona hadi kesho tutao feedbackYaaaaani mpaka page hii bado hakuna ushuhuda hata wa mtu mmoja ambaye umemuunga kiongozi...?
NawasubiliNgoja waje...
Ushawapata wangapi dogo freelancerJamani hii nikweli jaman mniamini sasa
Lakini mimi siwaibii ninawapa huduma ya kweli aah nishaunga watu wa 5 tuu nafkili wao wataleta wengineUshawapata wangapi dogo freelancer
Okey nipe namba yako ya whatsappOkay utanitumia picha ya kitambulisho Chako cha taifa ikakuwa kama dhamana hapo nitakuunga
Wambie kuwa haina guarantee muda wowote tobo likizibwa ndo basiSasa tutoe mda gani boss nisaidie week au mwezi
Cheki Pm mkuuOkey nipe namba yako ya whatsapp
dah nimefurahi sana kweli hii ni jamii forumsWambie kuwa haina guarantee muda wowote tobo likizibwa ndo basi
Hizi tamaa za kuja public kutangaza biashara kulifanya msesereko wa Data Halotel ufungiwe,niwe mkweli tu,kama imefika hii kitu inatangazea hadharani hivi haichukui hata week mbili hii kitu inafungiwa tu,unayetaka kujiunga kupitia tangazo hili achana na hii kitu utakuja nishkru baadaeAah habari za majukum member wa Jf leo tumekuja na huduma ya kuongea bure miaka miwili unapiga kwenda mitandao yote ukiwa na lain ya tigo kwa gharama ya elf 20 tu... Karibuni sana
MALIPO NI BAADA YA HUDUMA
ZINGATIA
UAMINIFU MTAJI NAPOKUUNGA ZINGATIA KUNITUMIA PESA MAPEMA KUEPUKA USUMBUFU UTAKAO JITOKEZA NIKIDHANI UNAITAJ KUNITAPELI
KAMA UNASWALI NJOO PM NAOGOPA KUWEKA NAMBA AU ACHA YAKO NAKUPIGIA
Haloteli walifunga kweli ila hii haitafungwaHizi tamaa za kuja public kutangaza biashara kulifanya msesereko wa Data Halotel ufungiwe,niwe mkweli tu,kama imefika hii kitu inatangazea hadharani hivi haichukui hata week mbili hii kitu inafungiwa tu,unayetaka kujiunga kupitia tangazo hili achana na hii kitu utakuja nishkru baadae
Others are real.When the deal is too good, think twice.
How do you guarantee that you will be able to use the service for two years continuously?Others are real.
nishawahi kuungwa nikaongea for free like ten minutes.
Muungaji nikamwambia subiri baadae nakutumia Hela yako
akaona kama namwibia.
akaniondoa kwenye mfumo chap kidogo
Dah badae nikaja kugundua kumbe ningeweza.kulipa na bado nikaondolewa either na huyo huyo muungaji au Mtandao husika
So, ukiamua kwendana na huu mseleleko, uwe tayari na Hasara ama Faida.
Pesa inapatikana kwa jasho sana, tusiwe warahisi kuzituma kusipojulikana
The same to what I was arguing of..How do you guarantee that you will be able to use the service for two years continuously?
Mtu anachezea mfumo wa service provider leo anaweza kukuunga kweli ukaongea non stop but then kesho service provider anagundua loophole anarekebisha na huduma kwako inakata.
Hufikiriii kitu kama hicho? Au unadhani huyu anakuunganisha kihalali?
Kwa kuwa NI MIAKA 2 .nilipe kila baada ya miezi 6 Kwa awamu 4Aah habari za majukum member wa Jf leo tumekuja na huduma ya kuongea bure miaka miwili unapiga kwenda mitandao yote ukiwa na lain ya tigo kwa gharama ya elf 20 tu... Karibuni sana
MALIPO NI BAADA YA HUDUMA
ZINGATIA
UAMINIFU MTAJI NAPOKUUNGA ZINGATIA KUNITUMIA PESA MAPEMA KUEPUKA USUMBUFU UTAKAO JITOKEZA NIKIDHANI UNAITAJ KUNITAPELI
KAMA UNASWALI NJOO PM NAOGOPA KUWEKA NAMBA AU ACHA YAKO NAKUPIGIA
Kwa hiyo unatoa huduma ya tigo pekee?Pole sana namimi sina voda nina tigo
Kwa hiyo unatoa huduma ya tigo pekee?