Mi nataka nicheze na wewe..!!

Mi nataka nicheze na wewe..!!

We Chimbuvu nakuona unatoa mijicho hapa wakati kwenye ile thread wana jf dar wing Ben Saanane kamchukua mkeo saivi wanapanga safari ya kwenda MBUDYA Island. Ni taarifa tu
 
Last edited by a moderator:
Kubadili mwenyewe inawezekana kwa kuwa na ID zaidi ya moja....
Ndio maana kila nilipokua nikiangalia mwandiko wako jicho la kushoto lilikuwa linacheza likiashiria kama naufahamu vile...

Nimebadili kwa mods,kwani unaweza kubadili jina mwenyewe?
Karibu Jacaranda.
 
Can you. Handle the game? ?I'm the Fu****king GAMER! !!!!
 
Wee Kadudu24 unataka kucheza mchezo gani? Unaweza step zote?
 
Last edited by a moderator:
mchezo wa baba na mama....nimeshaandaa vifuu
wewe ndo unacheza na kadudu24? Sasa mbona wote ni me? Uuuwi dont tell me jamani! Afu mlivo mahandsome...yeuuwi
 
Hahahah hivyo vifuu nimekuandalia weye ucheze na Kadudu24 kibaba baba na kimama mama!!!wala usinipakazie miye loh!!!

wewe ndo unacheza na kadudu24? Sasa mbona wote ni me? Uuuwi dont tell me jamani! Afu mlivo mahandsome...yeuuwi
 
Hahahah hivyo vifuu nimekuandalia weye ucheze na Kadudu24 kibaba baba na kimama mama!!!wala usinipakazie miye loh!!!

yeuuuwiih! Ungejuaaah! Na utu uzima huu nikahangaike na vivulana vya kawa.mbwa!!
 
yeuuuwiih! Ungejuaaah! Na utu uzima huu nikahangaike na vivulana vya kawa.mbwa!!

Kule mwanzo wa thread nilikuona ukimchombeza kwa Kiinglishi chenu...nikajua ndio mnatafuta venyuuu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom