Sefet
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 476
- 191
We Chimbuvu nakuona unatoa mijicho hapa wakati kwenye ile thread wana jf dar wing Ben Saanane kamchukua mkeo saivi wanapanga safari ya kwenda MBUDYA Island. Ni taarifa tu
Last edited by a moderator:
ID yako nyingine inaitwaje? Nimekushtukia..
Hahahah...hilo jina umebadili hadi kwa mods au kimya kimya!!!
Hahahah...hilo jina umebadili hadi kwa mods au kimya kimya!!!
Nimebadili kwa mods,kwani unaweza kubadili jina mwenyewe?
Karibu Jacaranda.
Nimebadili kwa mods,kwani unaweza kubadili jina mwenyewe?
Karibu Jacaranda.
We Chimbuvu nakuona unatoa mijicho hapa wakati kwenye ile thread wana jf dar wing Ben Saanane kamchukua mkeo saivi wanapanga safari ya kwenda MBUDYA Island. Ni taarifa tu
Royal village ipo wapi.........?
Hahah...mpwa mulika mwizi meeen!!
wewe ndo unacheza na kadudu24? Sasa mbona wote ni me? Uuuwi dont tell me jamani! Afu mlivo mahandsome...yeuuwimchezo wa baba na mama....nimeshaandaa vifuu
wewe ndo unacheza na kadudu24? Sasa mbona wote ni me? Uuuwi dont tell me jamani! Afu mlivo mahandsome...yeuuwi
Hahahah hivyo vifuu nimekuandalia weye ucheze na Kadudu24 kibaba baba na kimama mama!!!wala usinipakazie miye loh!!!
yeuuuwiih! Ungejuaaah! Na utu uzima huu nikahangaike na vivulana vya kawa.mbwa!!