Mhhhh!

Mhhhh!

Nini Manyoni, hapo hapo Dar-es-Salaam. Nimekazania hilo swali la kwanza la name a country whose first letter starts with U, How many Tanzanians will remember that the official name for our country is the United Republic of Tanzania? Na ukisema kwa kiswahili nchi yetu inaanza na J as in Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sasa mtu ukiwa umekaa mahali unafikira vitu vingine halafu ghafla mtu anakuuliza kuwa nitajie nchi ambayo herufi yake ya kwanza ni J kwa kiswahili, nani atakumbuka kuwa Tanzania inaanzia na J?

Haya tuje kwenye majina ya currency, watanzania wangapi wa kawaida ( ambao huwa hawasfiri kama shangazi zetu, mama zetu na watu wengine wengi wanaokaa nje ya Dar wanajua hela ya Zimbabwe ni nini? how about Swaziland, Lesoto, Namibia Zambia na Malawi? Najua wengi humu mnazijua kwa sababu ya usomi wenu, na kusafiri lakini Watanzania wengi hawajui labda wanaoishi mipakani.

Ewaaaa....wewe ndio unaelewa mambo na hujaleta ushabiki.
 
Naona shabiki kesha badilisha mada na kuwa ya Manyoni, lol
 
Naona shabiki kesha badilisha mada na kuwa ya Manyoni, lol

Una tatizo na comprehension wewe. Manyoni ilikuwa ni mfano random tu. Sasa mada imebadilikaje? Sometimes I wonder how you got through school if at all you went to one....
 
Una tatizo na comprehension wewe. Manyoni ilikuwa ni mfano random tu. Sasa mada imebadilikaje? Sometimes I wonder how you got through school if at all you went to one....

Usipoteze muda wako kunifikiria mimi. Go and find a life.
 
Nini Manyoni, hapo hapo Dar-es-Salaam. Nimekazania hilo swali la kwanza la name a country whose first letter starts with U, How many Tanzanians will remember that the official name for our country is the United Republic of Tanzania? Na ukisema kwa kiswahili nchi yetu inaanza na J as in Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sasa mtu ukiwa umekaa mahali unafikira vitu vingine halafu ghafla mtu anakuuliza kuwa nitajie nchi ambayo herufi yake ya kwanza ni J kwa kiswahili, nani atakumbuka kuwa Tanzania inaanzia na J?

Haya tuje kwenye majina ya currency, watanzania wangapi wa kawaida ( ambao huwa hawasfiri kama shangazi zetu, mama zetu na watu wengine wengi wanaokaa nje ya Dar wanajua hela ya Zimbabwe ni nini? how about Swaziland, Lesoto, Namibia Zambia na Malawi? Najua wengi humu mnazijua kwa sababu ya usomi wenu, na kusafiri lakini Watanzania wengi hawajui labda wanaoishi mipakani.

Haya mambo ya kuonyeshwa upumbavu wa Marekani yanafanywa sana hata katika vipindi vya TV vya Wamarekani kama David Letterman na Jay Leno, tena wakati mwingine huuliza hata elimu ya hao wanaojibu maswali kama haya na wengi huonyesha kutojua mambo mbali mbali hata ndani ya nchi yao achilia mbali ya nchi za nje.

Miaka ya nyuma CNN waliamua kucover student exchange program kati ya High schools (moja ya Zimbawe na nyingine ya New York). Basi Wamarekani walikuwa wa kwanza kwenda Zimbabwe na wakaulizwa maswali mbali mbali kuhusu Zimbabwe na hakuna hata mwanafunzi mmoja wa Marekani aliweza kujibu hata swali moja kuhusu Zimbabwe. Wale wa Zimbabwe walipoulizwa kuhusu US walikuwa wanajua vitu vingi sana na hata nchi majirani na US katika mipaka yake, kitu ambacho baadhi ya Wanafunzi walikuwa pia hawafahamu ni nchi zipi zinapakana na US katika mipaka yake. Wakati huo rais wa US alikuwa ni Clinton.

Kuna Wabongo wengi tu nawafahamu hawajatoka hata nje ya Tanzania na wala si wasomi kihivyo wanajua currency ya UK inaitwaje. Inahitaji usomi wa madarasa mangapi ili kujua kama Utah siyo nchi!!!!? Unahitaji usomi wa madarasa mangapi ili kujua Yugoslavia starts with Y and not U!? Maybe one needs Phd nowadaysin order to comprehend those …LOL!

Nyani, hakuna ushabiki hapa. Hawa waliorekodi kipindi hiki ni Wazungu nadhani ni Waingereza (I am not 100% sure) wameamua kuonyesha hali halisi ya upumbavu wa baadhi ya Wamarekani na Utube ambayo ni subsidiary ya Google hawakuona ubaya wowote au ni ushabiki tu kama unavyodai wa kuiweka mtandaoni. Sasa kama kampuni ya Marekani hawakuona huu kama ni ushabiki, kama akina David Letterman, Jay Leno, (comedians) na wengine wengi tu mara nyingi huonyesha vitu kama hivi iweje wewe kuita huu ni ushabiki?
 
Miaka ya nyuma CNN waliamua kucover student exchange program kati ya High schools (moja ya Zimbawe na nyingine ya New York). Basi Wamarekani walikuwa wa kwanza kwenda Zimbabwe na wakaulizwa maswali mbali mbali kuhusu Zimbabwe na hakuna hata mwanafunzi mmoja wa Marekani aliweza kujibu hata swali moja kuhusu Zimbabwe. Wale wa Zimbabwe walipoulizwa kuhusu US walikuwa wanajua vitu vingi sana na hata nchi majirani na US katika mipaka yake, kitu ambacho baadhi ya Wanafunzi walikuwa pia hawafahamu ni nchi zipi zinapakana na US katika mipaka yake. Wakati huo rais wa US alikuwa ni Clinton.


Ukweli ni kwamba Wamarekani hawahitaji sana kujua nini kinachotokea Zimbabwe au sehemu ingine yoyote ile duniani. Kwa upande mwingine, Wazimbabwe na watu wengine kama sisi tunahitaji zaidi kujua kuhusu Marekani na kwingineko kwa sababu tuko masikini. Tunataka kuondoka kwenye nchi zetu na kwenda kiwanja. Hii ni ndoto ya watu wengi sana hasa huku kwetu. Kwa hiyo tuna kila sababu ya kujifunza na kujua kuhusu Marekani kwa mfano, kwa sababu ndoto zetu ni kwenda huko siku moja kutafuta maisha. Sasa Mmarekani ajihangaishe na kujifunza kuhusu Malawi ili iweje? Itamsaidia nini?

Kuna Wabongo wengi tu nawafahamu hawajatoka hata nje ya Tanzania na wala si wasomi kihivyo wanajua currency ya UK inaitwaje. Inahitaji usomi wa madarasa mangapi ili kujua kama Utah siyo nchi!!!!? Unahitaji usomi wa madarasa mangapi ili kujua Yugoslavia starts with Y and not U!? Maybe one needs Phd nowadaysin order to comprehend those …LOL!


Wanajua kuhusu currency za wengine kwa sababu ya umaskini wao tu. Dollar na Pound sterling zinatesa na kutawala duniani. Sasa kwa nini Mmarekani ahangaike kujifunza currency ya Tanzania inaitwaje wakati akiwa na Ben Frank mfukoni atakuwa safe popote pale duniani?

 
jamaa aliyeulizwa kuhusu Al-Queda amenichekesha sana,eti president wa group hilo ni Yasser Arafat nakuweka msisitizo anakupa "Everybody knows that" hahahahaha nimecheka sana

Yaani we acha tu. Nimeshaona wengine na madegree yao lakini wakianza kuongea pumba kuhusu mambo ya dunia unabaki mdomo wazi na kujiuliza hivi hawa watu wanaishi dunia ipi?
 
Country that starts with U? Hmm, Yugoslavia? Utopia? Ha ha!!
Ni kawaida kwao kudhani kuwa Yugloslavia inaanza na U kwa sababu kwa lugha yao herufi U kama na wewe unavyojua inatamkwa Yu. Hivyo Union, United, Unanimous etc. Actually, if you show them the word Ubungo or ugali without telling them how to pronounce they will say Yubungo.
Nakubaliana na wewe kuwa ni upwagu kufikiria kuwa Utopia ni nchi halisi na si nchi ya Kufikirika au Kusadikia
 
Back
Top Bottom