andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,006
5M sitoi hapo. hata chuchu zenyewe hana.Kama una 5ml unampata huyo dada na anakupa bila shida kabisa. Kwa hiyo ni biashara.
5M sitoi hapo. hata chuchu zenyewe hana.Kama una 5ml unampata huyo dada na anakupa bila shida kabisa. Kwa hiyo ni biashara.
Kama una 5ml unampata huyo dada na anakupa bila shida kabisa. Kwa hiyo ni biashara.
Kama una 5ml unampata huyo dada na anakupa bila shida kabisa. Kwa hiyo ni biashara.
Kumbe nilikuwa sijui huyu Irene ndio yule tuliekuwa nae mafleti ya Mbezi, masikini, jamani alionywa sana mapema lakini hakusikia, matokeo yake amekuwa malaya!
jamani mwenzenu nasikitika nakumbuka irene zamani!
Anyway, destiny za watu wanaumbwa nazo.
Hiyo tatoo inabidi ionekane au vipi? ki ukweli wanapendeza hongera zao!! wanaume acheni zenu hizo za "sizitaki mbichi hizi"
Duh Haika, comments zako full utata na very subjective.., Je umalaya wake ni hayo mavazi ?, wengine wanaweza kusema alivaa mshono ambao kwa bahati mbaya umeteleza labda aliyempiga picha ndio anamakosa na ni (peeping Tom)..
Hapo kwenye destiny za watu wanaumbwa nazo ndio kabisaaaa full utata...; wale wanaosema kwamba "Our Choices Today.., Determines who we are Tomorrow" sidhani kama wanadanganya.., Binadamu tuna choices kila siku za kubadilisha who we are.., and making wrong choices ni makosa yetu wenyewe and no one else.
Nakubaliana na yote ila hapo why people makes choices they know its not right lakini wanafanya ni sababu ya mambo makuu mawili:-Pia nakubaliana nawe kuwa we make our choices, every instant, ila pia, there is a power above us. sometimes you just wonder why you are making the choice you know is not right and you hate yourself for doing it.