Sista Sophia
Member
- Feb 6, 2010
- 50
- 26
mambo ya kuiga iga haya ....mtoto wa watu kavaa gauni halijamkaa chuchu zote nje ..
matusi unayajua mkuu? ebu tupe mfano...do! mbona hamjatukana sana kama nilivyowazoea?
Kama una 5ml unampata huyo dada na anakupa bila shida kabisa. Kwa hiyo ni biashara.
hahahaaaaa.. una point mkuu..huyu akiumwa wakisema wanampeleka india sitoi mchango.
hilo gauni kalifanyia editing kwa fundi wa mtaani kwake..ukiliangalia vizuri gauni alilovaa utagundua kuna makosa ya kiufundi kidogo, ni kama lilivutwa na kitu chini hivi