Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Mheshimiwa Rais nchi inasambaratishwa na udini, chanzo kikiwa ilani ya uchaguzi wa chama chako cha CCM kilichoingiza mambo ya udini katika ilani ya uchaguzi, Mh rais. wewe hauioni hatari hii?
Uliapa hadharani kuilinda katiba ya nchi inayokataza udini, itetee sasa. Mh. rais bora ukose kura kuliko nchi isambaratike mikononi mwako. Mh. rais wewe uliomba kuwa rais kwa ridhaa yako ili uongoze nchi, sasa ongoza nchi, suala la kusambaratika kwa nchi siyo dogo. Toa uongozi unaoendana na katiba uliyoapa kuilinda. Nchi hii ni ya watanzania wote, dini mbalimbali na makabila mbalimbali, wote tuko sawa. Rudisha umoja wa watanzania, ulioapa kuulinda, Linda katiba, na vizazi vya watanzania vitakukumbuka daima. Vinginevyo mheshimiwa rais, utakumbukwa kwa kusababisha nchi kusambaratika kwa sababu ya udini ambao umeletwa na chama chako.
Uliapa hadharani kuilinda katiba ya nchi inayokataza udini, itetee sasa. Mh. rais bora ukose kura kuliko nchi isambaratike mikononi mwako. Mh. rais wewe uliomba kuwa rais kwa ridhaa yako ili uongoze nchi, sasa ongoza nchi, suala la kusambaratika kwa nchi siyo dogo. Toa uongozi unaoendana na katiba uliyoapa kuilinda. Nchi hii ni ya watanzania wote, dini mbalimbali na makabila mbalimbali, wote tuko sawa. Rudisha umoja wa watanzania, ulioapa kuulinda, Linda katiba, na vizazi vya watanzania vitakukumbuka daima. Vinginevyo mheshimiwa rais, utakumbukwa kwa kusababisha nchi kusambaratika kwa sababu ya udini ambao umeletwa na chama chako.