Mheshimiwa Makonda afanye nini ili media imsamehe

Kusameheana tulipokwazana ni jambo la kheri.duniani tunapita wapo wengi waliotangulia mbele za haki kabla yetu.Nawaombeni enyi waandishi wahabari.mjadilini jinsi ya kumsamehe na kuonyesha ukomavu kwa taaluma yenu.Kama kujifunza tayari amejifunza.
Aende kuzimu
 
Ajiuzulu kwanza kaidanganya Serikali kuhusu majina yake na pia elimu yake. Kisha uvamizi wake Clouds. Kwa nchi zenye kufuata utawala wa sheria huyu alistahili kuwa kishatimuliwa siku nyingi sana na kufunguliwa mashtaka.
Kwa sababu tu ni mkolomije wa Kolomije anakingiwa kifua kitu ambacho kimeendelea kuwashangaza Watanzania wengi sana kutokana na huu undumilakuwili wa nanihii.

Kusameheana tulipokwazana ni jambo la kheri.duniani tunapita wapo wengi waliotangulia mbele za haki kabla yetu.Nawaombeni enyi waandishi wahabari.mjadilini jinsi ya kumsamehe na kuonyesha ukomavu kwa taaluma yenu.Kama kujifunza tayari amejifunza.
 
Mpaka sasa hivi hajawaomba msamaha sijui anafikiria nini...Mbona kuomba msamaha ni jambo la kiungwana na halihitaji malipo??
Mjanja, atafanya hivyo kipindi cha kampeni Magu akiwa anamaliza muda wake. Jinsi anavyojua kunyenyekea, anajua atawakamata wengi na mtamsamehe, kwa sasa ni KWA RAHA ZAKE mshahara na malipulupu kama kawa......
 
Mpaka sasa hivi hajawaomba msamaha sijui anafikiria nini...Mbona kuomba msamaha ni jambo la kiungwana na halihitaji malipo??



wasukuma ndo walivyo hasahasa wanaume wana asili ya kiburi ngumu sn kujishusha believ me
 
Mjanja, atafanya hivyo kipindi cha kampeni Magu akiwa anamaliza muda wake. Jinsi anavyojua kunyenyekea, anajua atawakamata wengi na mtamsamehe, kwa sasa ni KWA RAHA ZAKE mshahara na malipulupu kama kawa......
kwani unadhani wanahabari wamemsahau ?
 
Shika adabu yako! Makonda sio Mheshimiwa, wala hajawai kuwa Mheshimiwa na hatokaa hawe Mheshimiwa. Tafadhali!!
 
kauli yake kwamba kilichotokea clouds ni igizo la uvamizi, inaonyesha huyu jamaa kiburi kinamsumbua, wacha media ziendelee na msimamo wao.
 
Hakuna kitu kinaboa kama kumsamehe mtu ambae hata shida na msamaha we hujui tu!
 
Kusameheana tulipokwazana ni jambo la kheri.duniani tunapita wapo wengi waliotangulia mbele za haki kabla yetu.Nawaombeni enyi waandishi wahabari.mjadilini jinsi ya kumsamehe na kuonyesha ukomavu kwa taaluma yenu.Kama kujifunza tayari amejifunza.

Naona timu Bashite mmezinduka
 
Back
Top Bottom