Mheshimiwa Edward Lowassa-Karibu Mahenge

Mheshimiwa Edward Lowassa-Karibu Mahenge

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Mheshimiwa Edward Lowassa Waziri Mkuu wa zamani akiwa miongoni mwa wageni waalikwa katika Jimbo Katoliki la Mahenge, Tanzania, linaloadhimisha kilele cha Jubilee ya miaka 50 tangu lilipoanzishwa kunako mwaka 1964



EVT21221000890000.jpg


EVT1046006000000.jpg

EVT723596810000.jpg

Chanzo: Edward Lowassa Official Online Office
 
Wakora na wahuni wataumia sana wakiona hili, safi sana Lowassa, kwa hakika bado mita chache tu upangishe lile jengo opposite ya Wizara ya Elimu
 
Loo!mzee yuko fit kama morani!ukawa tutakupa kura
 
dah afadhali mimi ni mpinzani lakini dhamira yangu inanionesha kama kuna kaukweli kwa huyu jamaa madhali mnafiki namjua yupo pale ikulu na mwenzie wa bunge la kinyesi.
 
Ngoja Chabruma aje na mafaili yake tuone maana tuliambiwa hawezi hata kushika kalamu
 
Kiongoz wa kweli na makini utamjua..tu wala hachafuki....yaan hata ukimchafua hachafuriki . ..Sana sana utachafuka wew..!!
Lowasa ni tumaini LA.wengi....!!
 
Huyo chabruma hana jipya...!! Hoja zake chakavu..!! Bt anatambua nguvu ya mtoto wa mfugaji ndani ya chama na nje ndio maana anaweweseka .hajiamini. .!! Pole San chabruma ......
 
Kiongoz wa kweli na makini utamjua..tu wala hachafuki....yaan hata ukimchafua hachafuriki . ..Sana sana utachafuka wew..!!
Lowasa ni tumaini LA.wengi....!!
 
Back
Top Bottom