ko unamaanisha.........OGOPA KICHAA AKISHIKA RUNGUU
AWALI ALITAMANI KUWA NA AMEKUWA
we mnafiki tuambie maana ya rais,tokea padri wenu apigwe chini kugombea urais mmehamia ccm na mnatetea hadi uharo!!!Lazima muelewe maana ya Rais.!
Vipi yule wa hotuba za Dakika 3Docta ushwara anatamani hata katibu kata amteue yeye.Unafiki unafiki tanzania utatuua
Ivi Polisi nao ni watumishi wa Umma?Ni takribani mwezi na nusu toka mtukufu Rais asimamishe upandishwaji wa vyeo kwa wafanyakazi wa umma mpaka hapo atakapotangaza vinginevyo lakini tumeona yeye akiwapandisha na kuwahamisha wengine tu kama kawaida.
Mfano wale waliokua polisi wanajua kilichotokea cjui kutoka SACP hadi ACP na wale wa chini kupandishwa kuwa SACP. Pia wale wakurugenzi waliopandishwa na wengine kuhamishwa, ni nini hiki kinatokea?
Kweli Nyerere alisemaga ile katiba unaeza kuitumia utakavyo na usiivunje. Nadhani nimeeleweka hapo.
walirudishwa waishe kama mashetaniKuna watu walipandishwa kabla ya tangazo la kusitisha.Cha ajabu ni kuwa walirudishwa chini kwenye madaraja ya zamani