Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Ndahani pitia hii thread pal... Then you will atleast get an idea ya why am
curious ni wana CCM wangapi/wepi wana sign hii kitu... Nothing personal - it is politics..
JK kakanusha hajakataa mawaziri kujiuzulu....kwamba hana taarifa bado....In fact Kikwete amekataa mawaziri wasijiuzulu na huenda ikifika Ijumaa akatangaza baraza jipya.
kumwondoa Pinda inaendana na kuvunja baraza la mawaziri
Rejao unawesa kuwa sahihi kabisa kwamba hii hoja haitapitishwa. Lakini ipite au isipite, watu waliotia sahihi watakuwa na capital & moral authority kuhoji utendaji wa serikali. Kwa maneno mengine mbunge yoyote ambaye sahihi yake haiko kwenye hiyo orodha hawezi kusimama tena mbele ya wananchi na kusema anawatetea! A line has been drawn!
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!Haha haha ha ha ha,
Haya Kaka. Vipi na wale wanachama wenu 3500 ambao Lema amevuna huko Mwanza na wenyewe walikuwa mzigo kwa CCM? Sijui utaweka wapi sura yako 2015.
JK kakanusha hajakataa mawaziri kujiuzulu....kwamba hana taarifa bado....
Si kweli kwani alishindwa nini kufanya reshaffle kabla hadi aje amwondoe kwa aibu. Sema mambo yamekuwa ndivyo sivyo walivyotegemea sasa ndipo wanasema Zitto katumwa na Kikwete, i can't buy that.lengo la kikwete ni kumuondoa pinda hapo kitini..
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
.....Mkuu Jasusi sikutegemea kabisa kama huyu naye angetia mkono wake wa kumuondoa Pinda madarakani.
Kumbe Mkono nea shujaa!.
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
ONLY 8 WHICH IS NOTHING OUT OF 260
hii hoja haitopita hizi ni sarakasi za MAJITAKA
naamini JK anasoma hii thread.
Nani anaonekana mpumbavu, 8 waliosign au zaidi ya 250 waliokataa? Hao nane wamekurupuka tu. Watarealize walichofanya ni kosa kubwa sana ambalo kwa namna moja au nyingine litawacost hapo baadaye.Rejao unawesa kuwa sahihi kabisa kwamba hii hoja haitapitishwa. Lakini ipite au isipite, watu waliotia sahihi watakuwa na capital & moral authority kuhoji utendaji wa serikali. Kwa maneno mengine mbunge yoyote ambaye sahihi yake haiko kwenye hiyo orodha hawezi kusimama tena mbele ya wananchi na kusema anawatetea! A line has been drawn!
Penye ukweli uongo hujitenga.Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!