Mhe. Nimrod Mkono asaini kumwondoa waziri Mkuu!

Mjumbe wa NEC CCM na mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Nimrodi Mkono muda huu amesaini waraka ambao utapelekwa Bungeni kesho kuhusu kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu. Huyu amekuwa Mbunge mwingine miongoni mwa wabunge wa CCM ambao wameamua kuusaini waraka huo kabla ya kuwasilishwa Bungeni kesho siku ya jumatatu. Huyu ni mjumbe wa NEC ya CCM , tafsiri ya jambo hili nini maana yake .....
maana yake ni kuwa anakerwa na namna serikali ya ccm inavyoongoza nchi kama kampuni binafsi!
 
Tupo hapa hapa nyumbani kwetu..naona mnashabikia sana. Msidhani kuwa hii hoja itapitshwa na bunge.
Mkuu Rejao, kinachofanyika kesho sio hoja kupitishwa bali kuwasilishwa rasmi!.

Spika hana mamlaka kuzuia kuwasilishwa ila anayo mamlaka kuzuia usijadiliwe mpaka kikao kijacho by then JK atakuwa ameisha safisha nyumba yake hivyo kuifanya hii hoja iwe redundanty!.
 
Who is Mkono anyway? Does he even talk?

I can swear I don't remember when I last heard him talk in parliament let alone sponsor any kind of significant piece of legislation.

Kuna kipindi mwanasiasa mmoja maarufu alilaumiwa kwa kutouliza maswali kabisa bungeni (I can't remember if it was Mzindakaya, Kitwana Kondo, Malecela or Kingunge, I believe it was Kondo. Akajibu something to the effect of maswali mengi si tija kwa maana yeye ni champion wa one on one deals na mawaziri husika.

So on the one hand kuongea sana kunaweza kusiwe na mantiki sana.

On the other hand you have a point. Legislators must not only do their work, they must seem to be doing their work. Utakuta wabunge wengine wanapiga ma deal na mawaziri, wanawaambia kabisa mawaziri maswali yatakayoulizwa, halafu wanauliza maswali bungeni kwa faida ya rekodi, vitu viwekwe kwenye hansard hata kina Kiranga wakitaka kutafuta habari wajue. Kwa hili nakubaliana nawe kwamba hata kama mbunge anafanya kazi kwa backdoor deals, ni muhimu kuhakikisha habari zipo rasmi for the sake of transparency.
 
Mjumbe wa NEC CCM na mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Nimrodi Mkono muda huu amesaini waraka ambao utapelekwa Bungeni kesho kuhusu kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu.

Huyu amekuwa Mbunge mwingine miongoni mwa wabunge wa CCM ambao wameamua kuusaini waraka huo kabla ya kuwasilishwa Bungeni kesho siku ya jumatatu.

Huyu ni mjumbe wa NEC ya CCM , tafsiri ya jambo hili nini maana yake .....
Ujumbe wa Nec ya CCM, utaisha mwaka huu.
 
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!

Rejao, mbele ya watanzania CHADEMA is perfect, say all you like but that is the situation. Jambo ambalo ccm ningeshauri CCM waanze kulifanyia kazi kuanzia dakika hii, ni kujiandalia maandalizi mazuri ya upinzani. Wako wengi bungeni, watunge sheria zitazowapa oxygen wakati wakiwa upinzani. Vingenevyo wata-suffocate kimoja.
 
Zittokabwe: Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM ndg. Nimrod Mkono amekuwa Mbunge wa 74 ktk #sahihi70 #OperesheniUwajibikaji

Mh Zitto on twitter
 
Last edited by a moderator:
Now this is significant. I am not so much impressed by the redeeming nature of this act, some aspects of Mr. Mkono's record are hardly redeemable.

I am watching this closely because Mr. Mkono is a shrewd, well connected politician who wouldn't lend this move if there is no hope of some heavy moves.

Mkono kwa kutia sahihi list hii ametuonyesha kwamba hii movement inakubalika na wabunge wa upinzani na wa CCM,wenye uzoefu na connections tofauti.

Lazima kuna political intrigues kubwa sana hapa. Na kuna bonge la legal strategy tayari. Hata sabotage / counter espionage moves are not exactly improbable.

Mkuu umeni pre empty. This move is unprecedented. I hope they took a photo of him during the process. They may think for manouvrebility of the move. What if any of the signatory withdraw before the secret vote?. Anyway whatever the outcome may be I hope this move shows the true face of CCM.

Otherwise Mkono deserves to show his constituent which is leaning CDM that he is for them.
 
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
Hahahaa hasira za mkizi mlikuwa wapi hadi jahazi linataka kuzama, acha uchizi.
 
Zittokabwe: #Mkono ameamua kuwa upande sahihi wa historia na atawatoa woga wabunge wengi sana. Picha na sababu zake mtapata kesho
 
Last edited by a moderator:
Hongera Mhe Nimrod Mkono kwa kusahini Chadema wamekusafisha rasmi na wamekutoa kwenye orodha yao ya List of shime.
 
Nimefurahishwa sana na kitendo cha huyu Mzee.
Ameamua kujiunga na Upande sahihi, kwa wakati muafaka. Hakika historia itamkumbuka kwa kuvuka mstari wa unafiki.
Bila shaka atawatoa uoga wabunge wengi sana.
Ninaimani kuna wabunge wa CCM wataongezeka kabla hoja hii haijawa tabled kwa Speaker
 
Who is Mkono anyway? Does he even talk?

I can swear I don't remember when I last heard him talk in parliament let alone sponsor any kind of significant piece of legislation.
Money talks mkuu, alisema yeye ni mtu wa vitendo akitoka bungeni haendi wizarani kuomba pesa anakwenda moja kwa moja jimboni kwake kukagua madarasa mangapi yamejengwa.
 
Unajua mapaka sasa watu hawajaifahamu zaidi CDM. Wanaikurupukia tu. Tuna mikakati ya kuanika all about CDM. Stay tunned!
Mkuu wengine ni wanamageuzi na hatuna Chama ila tunajua ukubwa na nguvu za CCM ndio kunapelekea kutokuwa na Upinzani wa kweli.., kwahio furaha kwetu ni KIFO CHA CCM.., just imagine life bungeni kama kukiwa na atleast 60/40 percent ya wabunge chama tawala na upinzani..

Kwahio mkuu ukiangalia hii kitu vizuri hata wewe nina uhakika deep down utafurahia kifo cha hili Jinamizi in the name of CCM, Pia kumbuka hata hao CHADEMA wakiingia madarakani sio kwamba ndio basi wakichemsha na wenyewe wapigwe chini

That's the difference between politics na ushabiki wa Simba na Yanga
 
Kumbe Mkono nea shujaa!.


watanzania wengi hawamjui kuwa mheshimiwa mkono ana uchungu sana kwa nini watanzania wako nyuma na ni mzalendo wa kweli ILA TU WATU WANATUMIA VIBAYA NENO FISADI NA KUDHANI KUWA KILA TAJIRI NI FISADI!

MKONO UKIKAA NAYE HUWEZI AMINI KUWA NDIYE YULE WANAMSEMA VIBAYA WASIOMJUA HUYU NI ASSET KUBWA KWA WAPENDA MAENDELEO NA WATANZANIA KWA UJUMLA



YEYE JIMBONI KWALE ANASHIKILIANA NA WAPINZANIA NK KATIKA KUSEKUMA MAENDELEO.

HEBU ANGALIA NI WABUNGE WANGAPI WANWEZA KUWA AU KUFAYNA HAYA KATIKA KUONDOA UMASIKINI NA UJINGA

Musoma Rural Website
 
Back
Top Bottom