Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Huyu alikuwa mpiga debe wa Shamsha bwana 2005. Hadi sasa bado anaweweseka. Issue ya Dr Fatuma na ****** iko too personal,haiwasaidii lolote wana Kongwa,au anataka kutuambia Job angeoa mgogo mwenzake angebadilika ?!! Kama wagogo haohao waupinzani walimwacha Baba Nyemo apite bila kupingwa 2010 wanalalamika nini leo ?!! Eti ****** alihonga tukutuku,elezea basi na zile hongo za Shamsa mlizokula halafu dili ikawa dirisha(kila mwanakongwa anajua wazi Shamsa alimwaga pesa nyingi kushinda Ba Nyemo,ila alipungukiwa mbinu za ushindi). Hellen Keller / KTP kazi yao ilikuwa ni kutoa kinga dhidi ya trachoma,tiba ilikuwa kitu cha ziada tu ambacho hata KDH (Kongwa District Hospital) wanaweza. Kinga ya trachoma hutolewa kwa 5 yrs tu,wewe ulitaka KTP waendelee kutulisha zithromax hadi lini ?!!! Ongea na wagogo wenzako wanawe uso bhana wapunguze idadi ya vipofu. Sio viZuri kuwamaind mademu wetu wa kipare, eti ndo wanampoteza Job !!!.
Hapa na Shaka yeyote kuwa Job Yustinho Ndugai, toka Kijiji Cha Ibwaga, Kitongoji Cha Mission, Kalewa Madaraka. Na nadhani ni Kwavile anajua hatarudi tena Mjengoni hapo 2015 (Kwani wananchi wengi kwasasa hawana imani naye tena) ndo maana anaamua "liwalo na liwe", hata hivyo anapaswa kulinda hadhi yake kwakuwa "fair" kuliko afanyavyo sasa.
Huyu JYN, ungebahatika kukaa na kuongea naye kabla ya kupata Ubunge hapo 2000 huwezi amini kama ndiye, lakini NDIYE!! Na kwavile kaonja Unaibu Spika, akili yake yooooote kwasasa inawaza Uspika na ndo maana Kaamua kujinafikisha kwa Unafiki Bungeni ili pengine aje asimamishwe na CCM kugombea Uspika, iwapo atashinda Ubunge hapo 2015.
Sisi wa-Kongwa, yetu macho!!! "...the truth will be revealed soon or later..."