Mhe. Ngugai ndiye kituko!! Someni hapa!

Mhe. Ngugai ndiye kituko!! Someni hapa!

Ndugai kachemka hata akijibaraguza vipi. Aliyoyatamka yeye ndio yale yale aliyosema Mh.Mnyika dhidi ya Kikwete
 
Mimi ninaye andika thread hii ni mpiga kura wa Mhe. Ndugai ambae ndiye naibu spika, sisi wapiga kura wake ndiyo tunaye mwona yeye kituko na wala siyo Mh. Sana Halima MDEE laiti angejua hata sisi tunapenda kuwa na mbunge kama Halima Mdee asingengemwambia vile. Tunamwona ni kituko kwa sababu zifuatazo: 1. Ubunge wake alinunua kwa hela nyingi kweli kweli kwani ubunge huo walikuwa wanapigania na Shamsha Mwangunga Yule aliyekuwa wazuri wa mali ya asili bunge lililopita, alinunua pikipiki nyingi kama 18 hivi kuwagawia wapiga debe wake mmoja wapo Ndugu Jack Tito Fungo anayo mpaka leo, wakati Halima Mdee alichaguliwa na wapiga kura wa kawe kwa kuwa ni jembe na wala si kwa kupenyeza mlungula. Angalia juzi magorofa ya mabillioni ya mbezi beach yalivyokuwa yanaporomoka kama yeye Ngugai angeweza na marushwa yao wanayopewaga. 2. Kituko cha pili ndiyo babu kubwa, alivyokuwa mheshimiwa alianza uhawala Na aliyekuwa DMO wa Kongwa wakati huo Dr Fatuma ambaye ni mpare. Hapa Kongwa ndipo panapoongoza kwa ugonjwa wa Tracoma (vikope) pana NGO kadhaa zinazopambana na ugonjwa huo mfano KTP, Macdonard Tracoma Initiative, Hellen Keller International (HKI) NA CEHEPHO . Sasa ilifika wakati wa kurenew mikataba Yule Doctor Fatuma aidha kwa kuelekezwa na Mh Ndugai akaomba rushwa ili awapigie debe waongezewe mkataba, basi wale wazungu wakamtolea inje wakaondoka. Sasa wanainchi wa Kongwa wameendelea kuwa vipofu wafadhili wamekimbia hawala yake Ndugai amewakorofisha. Kuona hivyo baraza la madiwani likamuadhimia huyu Daktari akahamishwa fasta fasta. Sisi wapiga kura wa Kongwa tunajiuliza hivi hizi chupi za kipare zikoje ! mbona wagogo wanaweweseka sanaaa, na kaka yake Ndugai Malacela naye hivyo hivyo akachelewa na chupi ya kipare kiwanda cha soda kikaenda Mbeya japokuwa kule kuna baridi. Sisi wapiga kura wake Ndugai jioni hii ndiyo tumemwona yeye kituko analiambia jembe kituko wakati mwenyewe ni ****** tu.

nilijuwa kwenye 'chupi' itaweka ***** kumbe nasing kwa kweli. ngoja na mimi niseme.....chupi
 
Ametekeleza mke na familia tabata segerea baada ya kupata ubunge!
 
Kituko zaidi ni kuongoza bunge gizani,baadae kajistukia na kuahirisha kabla ya mda bila kutaja kanuni yoyote inayotumika kuahirisha bunge bila kujiridhisha kuwa hali iliyopo hairekebishiki!mzani ni kitu kizuri sana tumepima kati ya mdee na Ndugai
 
Unahangaika na hizi pumba za huyu jamaa. huyu ni hovyo achana nae time will tell
 
ebaeban. Haya bwana ulishambulia post yangu kuwa nimekurupuka kuandika haraka imhusuyo ndugai. Sasa wewe hilo neno NGUGAI na KITIKO ndio nini kwenye heading yako?
 
Last edited by a moderator:
Moderator thread hii ina matusi ya nguoni kudhalilisha akina mama wa kipare na wapare! mbaya zaidi n halima mdee ni mpare,nshauri thread hii iondolewe kwa heshima ya JF na Ban ifuate!
 
Jf raha tupu nilitoka na mastres yangu ya kusaka pesa na ful hasira nafungua hii thread nabaki kucheka peke yangu tu hadi wyf anashangaa
 
Duuu kumradhi..... kwakeli hili neno chupi ya mpare.... nakua sielewi kabisa. unataka kusema sie wagogo 2kikutana na chupi ya mpare kwisha hkhabari yake...?
 
Jf raha tupu nilitoka na mastres yangu ya kusaka pesa na ful hasira nafungua hii thread nabaki kucheka peke yangu tu hadi wyf anashangaa

Shemeji hapo angekuwa mpare, angegundua unacheka nini ungekiona cha mtema kuni.
 
Kumbe Ndugai si jina lake bali ni Ngugai, hiki nacho ni KITUKO.
 
Moderator thread hii ina matusi ya nguoni kudhalilisha akina mama wa kipare na wapare! mbaya zaidi n halima mdee ni mpare,nshauri thread hii iondolewe kwa heshima ya JF na Ban ifuate!

Matusi yanasababishwa na viongozi wasio fair.

UCCM umewajaa hadi nguoni.

Hivi kuwa CCM kunamfanya mtu kukosa hekima ?
 
Dalili ya mtu niongozi kurusha miguu na mikono na dalili ya CCM ni viongozi wake kukosa hekima na staha
 
Moderator hii thread imeachwa kwa maslahi ya kutukanwa Ndugai au kudhalilishwa akina mama wa kipare? mbona huiondoi mod?
 
Moderator thread hii ina matusi ya nguoni kudhalilisha akina mama wa kipare na wapare! mbaya zaidi n halima mdee ni mpare,nshauri thread hii iondolewe kwa heshima ya JF na Ban ifuate!

Asee hata mimi naona hii thread ni "KITIKO" kabisa haifai
 
Mimi ninaye andika thread hii ni mpiga kura wa Mhe. Ndugai ambae ndiye naibu spika, sisi wapiga kura wake ndiyo tunaye mwona yeye kituko na wala siyo Mh. Sana Halima MDEE laiti angejua hata sisi tunapenda kuwa na mbunge kama Halima Mdee asingengemwambia vile.

Tunamwona ni kituko kwa sababu zifuatazo:

1. Ubunge wake alinunua kwa hela nyingi kweli kweli kwani ubunge huo walikuwa wanapigania na Shamsha Mwangunga Yule aliyekuwa wazuri wa mali ya asili bunge lililopita, alinunua pikipiki nyingi kama 18 hivi kuwagawia wapiga debe wake mmoja wapo Ndugu Jack Tito Fungo anayo mpaka leo, wakati Halima Mdee alichaguliwa na wapiga kura wa kawe kwa kuwa ni jembe na wala si kwa kupenyeza mlungula.

Angalia juzi magorofa ya mabillioni ya mbezi beach yalivyokuwa yanaporomoka kama yeye Ngugai angeweza na marushwa yao wanayopewaga.

2. Kituko cha pili ndiyo babu kubwa, alivyokuwa mheshimiwa alianza uhawala Na aliyekuwa DMO wa Kongwa wakati huo Dr Fatuma ambaye ni mpare. Hapa Kongwa ndipo panapoongoza kwa ugonjwa wa Tracoma (vikope) pana NGO kadhaa zinazopambana na ugonjwa huo mfano KTP, Macdonard Tracoma Initiative, Hellen Keller International (HKI) NA CEHEPHO .

Sasa ilifika wakati wa kurenew mikataba Yule Doctor Fatuma aidha kwa kuelekezwa na Mh Ndugai akaomba rushwa ili awapigie debe waongezewe mkataba, basi wale wazungu wakamtolea inje wakaondoka. Sasa wanainchi wa Kongwa wameendelea kuwa vipofu wafadhili wamekimbia hawala yake Ndugai amewakorofisha.

Kuona hivyo baraza la madiwani likamuadhimia huyu Daktari akahamishwa fasta fasta.
Mkuu wengine tuko kijijini,hatuna access ya kouna bunge live,hebu tudadavulio kilichojiri mpaango mzima!
 
Mimi ninaye andika thread hii ni mpiga kura wa Mhe. Ndugai ambae ndiye naibu spika, sisi wapiga kura wake ndiyo tunaye mwona yeye kituko na wala siyo Mh. Sana Halima MDEE laiti angejua hata sisi tunapenda kuwa na mbunge kama Halima Mdee asingengemwambia vile. Tunamwona ni kituko kwa sababu zifuatazo: 1. Ubunge wake alinunua kwa hela nyingi kweli kweli kwani ubunge huo walikuwa wanapigania na Shamsha Mwangunga Yule aliyekuwa wazuri wa mali ya asili bunge lililopita, alinunua pikipiki nyingi kama 18 hivi kuwagawia wapiga debe wake mmoja wapo Ndugu Jack Tito Fungo anayo mpaka leo, wakati Halima Mdee alichaguliwa na wapiga kura wa kawe kwa kuwa ni jembe na wala si kwa kupenyeza mlungula. Angalia juzi magorofa ya mabillioni ya mbezi beach yalivyokuwa yanaporomoka kama yeye Ngugai angeweza na marushwa yao wanayopewaga. 2. Kituko cha pili ndiyo babu kubwa, alivyokuwa mheshimiwa alianza uhawala Na aliyekuwa DMO wa Kongwa wakati huo Dr Fatuma ambaye ni mpare. Hapa Kongwa ndipo panapoongoza kwa ugonjwa wa Tracoma (vikope) pana NGO kadhaa zinazopambana na ugonjwa huo mfano KTP, Macdonard Tracoma Initiative, Hellen Keller International (HKI) NA CEHEPHO . Sasa ilifika wakati wa kurenew mikataba Yule Doctor Fatuma aidha kwa kuelekezwa na Mh Ndugai akaomba rushwa ili awapigie debe waongezewe mkataba, basi wale wazungu wakamtolea inje wakaondoka. Sasa wanainchi wa Kongwa wameendelea kuwa vipofu wafadhili wamekimbia hawala yake Ndugai amewakorofisha. Kuona hivyo baraza la madiwani likamuadhimia huyu Daktari akahamishwa fasta fasta. Sisi wapiga kura wa Kongwa tunajiuliza hivi hizi chupi za kipare zikoje ! mbona wagogo wanaweweseka sanaaa, na kaka yake Ndugai Malacela naye hivyo hivyo akachelewa na chupi ya kipare kiwanda cha soda kikaenda Mbeya japokuwa kule kuna baridi. Sisi wapiga kura wake Ndugai jioni hii ndiyo tumemwona yeye kituko analiambia jembe kituko wakati mwenyewe ni ****** tu.
POLE MKUU NAONA UNAHASIRA SANA ,ila na nyie wakongwa mnavituko kuchagu mbunge mwenye vituko kama Ndugai na wenye vituko zaidi ni hili bunge legelege kuchagua naibu spika mwenye vituko vya hovyo km Ndugai.
ila Shamsa mwangunga si aligombea Ubungo huyo akashinda ,akapita yule hawa?
na hapo kwenye chupi za kipare patakuwa na ishu si bure ,hata mdogo wangu mimi amekolea kwa mpare hasikii wala haambiwi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom