Mhe. Mnyika live ITV katika 'Malumbano ya hoja'

Mhe. Mnyika live ITV katika 'Malumbano ya hoja'

mitutwe pazi

Senior Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
150
Reaction score
28
sasa hv wanajadili kuhusu utaratibu wa urushwaji wa vipindi vya matangazo ya bunge...akisisitiza juu ya serikali iache ubepari wa kutorushwa kwa matangazo hayo live ili wananchi wasione ukandamizaji unaofanywa na muheshimiwa spika pale bungeni juu ya upinzani.
 
Kama kuna kukamatwa uongo basi ni kipima joto live itv. Tunachoambiwa na wabunge kuhusu kuvunjwa kwa kamati na ufafanuzi wa bunge ni kizungumkuti. Hata ile ya kurushwa live bunge ufafanuzi haulingani na majazba na maelezo ya wabunge. Endelea kupata mbivu na mbichi itv
 
Kama kuna kukamatwa uongo basi ni kipima joto live itv. Tunachoambiwa na wabunge kuhusu kuvunjwa kwa kamati na ufafanuzi wa bunge ni kizungumkuti. Hata ile ya kurushwa live bunge ufafanuzi haulingani na majazba na maelezo ya wabunge. Endelea kupata mbivu na mbichi itv

wachangiaji wengi ni viwavi wa cdm ,kipindi kimepoteza ladha
 
sasa hv wanajadili kuhusu utaratibu wa urushwaji wa vipindi vya matangazo ya bunge...akisisitiza juu ya serikali iache ubepari wa kutorushwa kwa matangazo hayo live ili wananchi wasione ukandamizaji unaofanywa na muheshimiwa spika pale bungeni juu ya upinzani.

Hawa jamaa wa ccm wanakurupuka sana et kashilila katangaza mambo ake! Mbona hajamwajibsha?
 
Kila anayeongea anaitaja CHADEMA.Mpaka raha.
 
Mimi ni mwananchama wa NHIF (NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND) dukuduku langu ni kutaka kujua eti huduma ya matibabu ya meno hailipiwi na huu mfuko. Mn nimetembele hospitali moja leo nikiwa na tatizo meno kuuma nilipofika hapo hospitali wakasema natakiwa kusafishwa meno lkn kusafisha meno ni laki moja, na hii huduma.NHIF hailipi kwa huduma hizi lazima.nilipe.toka mfukoni mwangu ss ebu nijuzeni ili jambo ni kweli, mana mhusika kanifafanulia eti NHIF hawatambui matibabu ya kusafisha meno ss sijui wao NHIF wanatambua nini.

Mimi mdau Kishimba75
 
Jana Alkhamisi usiku kulikua na kipindi cha MALUMBANO YA HOJA. mada ilikuwa MJADALA JUU YA UAMUZI WA BUNGE KUTOKURUSHA VIPINDI VYA BUNGE MOJA KWA MOJA. wageni wa meza kuu walikua muh. mnyika, afisa wa bunge na mwananchama wa ccm.

wachangiaji waliokua ukumbini walitoka katika vyama mbalimbali vya kisiasa pamoja na asasi a kiraia. mjadala ulikua mzuri. wapo waliyounga mkono kutooneshwa kwa bunge moja kwa moja na waliyo wengi hawakuunga mkono usitishwaji wa kurusha vipindi vya bunge moja kwa moja.

muheshimiwa mnyika ni kijana mwenye akili na ni mzuri wa kujenga hoja. ni mtafiti mzuri kwa sababu kawaida yake yake huwa hachangii kitu bila ya kukifanyiwa utafiti. anatekeleza usemi usemao "no research, no right to speak".

licha ya kupenda michango ya mnyika, huwa nattizwa na jazba anayoitumia pindi anapo changia. muh mnyika jana alipandwa na hasira hadi akawa anazungumza kwa tabu sana kutokana na kukosa pumzi. alikua tayari kuzipiga na mjumbe wa ccm. walipopewa dkk za mwisho kuhitimisha, mnyika aliongea kwa jazba sana hadi waendesha kipindi wakawa wanaingilia kati kumtuliza. walimuambia muda umekwisha lkn aliendelea kuzungumza huku akipandisha midadi.

ndugu mnyika, ukitaka kufikisha jambo lako vizuri kwa ufasaha, tulia na jiepushe na jazba. jana ulidhihirisha usivyo na subira katika mijadala! si jambo zuri hata kidogo. wewe ni jembe! wewe ni kichwa! nakukubali1 lakii ili ufanikiwe zaidi, tulia unapo jenga hoja. utatisha zaidi.


nimetoa ushauri huu nikitanguliza uzalendo na maslahi ya taifa. sina chuki na mnyika bali ni mmoja kati ya mashabiki wake.
 
Haha!!Bunge limeibaka Demokrasia!!!!,Kazi kushinda mnadani wakati wa Lunch kula nyama na pombe then wanarejea kikaoni wako tungi wanaishia kulala(magamba)ITV kimenoga hapa LIVE

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mimi ni mwananchama wa NHIF (NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND) dukuduku langu ni kutaka kujua eti huduma ya matibabu ya meno hailipiwi na huu mfuko. Mn nimetembele hospitali moja leo nikiwa na tatizo meno kuuma nilipofika hapo hospitali wakasema natakiwa kusafishwa meno lkn kusafisha meno ni laki moja, na hii huduma.NHIF hailipi kwa huduma hizi lazima.nilipe.toka mfukoni mwangu ss ebu nijuzeni ili jambo ni kweli, mana mhusika kanifafanulia eti NHIF hawatambui matibabu ya kusafisha meno ss sijui wao NHIF wanatambua nini.

Mimi mdau Kishimba75

Yawezekana ndio utaratibu wa mifuko hii, kwani hata mimi nimekutana na kitu kama hicho nikiwa nje ya nchi kwa masomo. Mfuko ulikua ukilipia magonjwa yote isipokua meno. Anaejua sababu atujuze tafadhali
 
Ni sawa watu wameamka ila hata hvyo naona watanzania kiukweli uwezo wa kujenga hoja yenye mantiki ni mdogo sana. Yan inanisikitisha sana.
 
Mimi ni mwananchama wa NHIF (NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND) dukuduku langu ni kutaka kujua eti huduma ya matibabu ya meno hailipiwi na huu mfuko. Mn nimetembele hospitali moja leo nikiwa na tatizo meno kuuma nilipofika hapo hospitali wakasema natakiwa kusafishwa meno lkn kusafisha meno ni laki moja, na hii huduma.NHIF hailipi kwa huduma hizi lazima.nilipe.toka mfukoni mwangu ss ebu nijuzeni ili jambo ni kweli, mana mhusika kanifafanulia eti NHIF hawatambui matibabu ya kusafisha meno ss sijui wao NHIF wanatambua nini.

Mimi mdau Kishimba75

Terms and conditions apply.. labda huko ndio wamekubana mkuu!
 
Mimi ni mwananchama wa NHIF (NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND) dukuduku langu ni kutaka kujua eti huduma ya matibabu ya meno hailipiwi na huu mfuko. Mn nimetembele hospitali moja leo nikiwa na tatizo meno kuuma nilipofika hapo hospitali wakasema natakiwa kusafishwa meno lkn kusafisha meno ni laki moja, na hii huduma.NHIF hailipi kwa huduma hizi lazima.nilipe.toka mfukoni mwangu ss ebu nijuzeni ili jambo ni kweli, mana mhusika kanifafanulia eti NHIF hawatambui matibabu ya kusafisha meno ss sijui wao NHIF wanatambua nini.

Mimi mdau Kishimba75

Mkuu hii mada haihusiana na thread hii ya CHADEMA - ingefunguliwa kama thread mpya kule jukwaa la afya kwa mfano.
 
Back
Top Bottom